Ponda hali mbaya

Status
Not open for further replies.
udini hauta ondoka kwa kufa Ponda ila utaondoka ukiondoka mfumo kristo ambapo nchi itaendeshwa kwa misingi ya haki usawa na bila kujali dini za watu.. tukifika hapo udini utaondoka....
sana akifa ponda ndio matatizo yatazidi....tutachukulia ameuliwa na mfumo ambao hautaki kuona unaondoka

hili jamaa taahira kweli,hivi kuna watu kama hawa humu kumbe..eti mfumo ukristo!? Watu wanaenda seminary kutafta dvsn 1 wewe unaenda madrasa kujifunza kupga dufu,halafu mfumo ukristo eti! Mtalalamika mpaka mwisho wa dunia
 
Maswala ya udini kwa sasa yanataka mjadala wa kitaifa bila hivyo shida itazidi kuongezeka hata kama Sheikh Ponda akifa.... Mwenyezi Mungu aepushe hilo na amponye haraka.

Tayari kuana akina Ponda kwa mamia nchini ambao wako tayari kuchukua nafasi.

Bila mjadala wa kitaifa, uwazi, ukweli na haki kutendeka hatma hapana iko njema!!!!
 
Maswala ya udini kwa sasa yanataka mjadala wa kitaifa bila hivyo shida itazidi kuongezeka hata kama Sheikh Ponda akifa.... Mwenyezi Mungu aepushe hilo na amponye haraka.

Tayari kuna akina Ponda kwa mamia nchini ambao wako tayari kuchukua nafasi.

Bila mjadala wa kitaifa, uwazi, ukweli na haki kutendeka hatma hapana iko njema!!!!
 
Ni bora afe tu ili mambo ya udini tusiyasikie tena!!

Mpendwa, kumbuka kuwa kila nafsi itaonja mauti, na anayejua mwanzo na mwisho wa maisha ya binadamu ni Mungu pekee. Tushikamane kumuombea apate afya njema, hukumu tumwachie mwenye mamlaka ya kutoa adhabu.
 
"NACHUKIA KUSIKIA NCHI ETI INAMFUMO KRISTO" ni upuuzi wa hali ya juu,rais wetu ni islam,makamu ni islam,bakwata ni ya islam,tatizo hapa ni nini?kama bakwata hiyo haiwafai undeni bakwata ingine nadhani nchi inaruhusu ambayo itawafaa kuliko kadhia ambazo tunazipata
 
udini hauta ondoka kwa kufa Ponda ila utaondoka ukiondoka mfumo kristo ambapo nchi itaendeshwa kwa misingi ya haki usawa na bila kujali dini za watu.. tukifika hapo udini utaondoka....
sana akifa ponda ndio matatizo yatazidi....tutachukulia ameuliwa na mfumo ambao hautaki kuona unaondoka

Elimu imekuwa tatizo kwenu ndo maana mnaona hivyo ila njia nzuri ya kukabiliana na hilo ni kuwapeleka watoto wenu shule ili nao baadae wasijefikiria kama mfikiriavyo
 

Maalim Mzizi, tumekusikia na nategema ndugu zako woote wamekusikia vile vile. Inshaalah, siku moja watakuelewa kuwa Chuki za akina Ustaadh Ilunga na Ponda kamwe sisi WAKRISTO hatujawai kuzifanya.

Yesu Mungu awarehemu.

Wacha kuwa na sura mbili wewe!

leo Unamuita huyo adui yako maalim!?

Unatukana waislamu na dini yao kila siku halafu unajifanya kusema "inshallah"
Unamjua huyo unaesema"Allah akipenda!"
Au umeropoka tu!

Laanatullahi! Ilaa yaumi diin!

We ni adui wa mungu na ni adui wa waislamu wote! Usijipendekeze hapa kujifanya sympathetic!

Siku zote ndio muanzilishi wa chuki humu JF ! Halafu unataka kuleta unafiki wa kusema "KAMWE WAKRITO HATUJAFANYA"! we ni mnafiki mbaya sana!

Hakuna anaejiita mkiristo yoyote humu JF mwenye kuanzisha thread za chuki kama wewe!

Na hali hii wewe ni maskini ambae huna uwezo!!
Je! Hebu fikiri kama ungekuwa kiongozi serikalini!! Au tajiri mwenye mapesa mengi!! Si ungewatilia hata sumu waungwana wewe!?

Hakuna asie kujua kwa kubadilibadili majina na kuchafua threads za watu humu JF!!

Unatumia majina na ids kama 60 hivi! Na kila moja ina chuki za namna moja!

Usiwanye watu wajinga hapa! Na watu wengi sana humu wakiwemo wakiristo! Wanadhani kuwa wewe sio mtanzania!
Na kuna jamaa anasema kuwa wewe ni yale mabaki ya lord resistance army yaliokuwa uganda!!

kwa sababu unashabikia kuchonganisha watu siku zote!

Na hata kwenye normal threads unaingiza unafiki na uchonganishi!!
Halafu hoja huna! Unachojua ni matusi na kashfa km hao wahutu wenzako!

SASA WE ENDELEA NA CHUKI ZAKO! LKN USITULETEE SURA MBILI ZA KINAFIKI HAPA KWA KUSEMA
" SISI WAKRISTO KAMWE HATUJAWAHI KUFANYA"

Mods wanakuachia ukitoa povu lako la kashfa siku zote!
Na muislamu akikujibu tu kwa kashfa!
Thread inafungwa!!!!

Sababu?? You tell me!

Na siku ukitambulika wewe ni nani! Hio siku ndio utarudi kwenu rwanda!

"Sisi bla..bla..bla...my foot ... p.......!

cc Izz Nonda Ritz Ally Kombo Kikwajuni one

SASA WE LOG OFF HALAFU RUDI NA ID INGINE UNITUKANE!

lkn usijaribu ku sympathize na sisi!

Summun bukmun umyun! Laanatullah.
 
Last edited by a moderator:
Nachukia sana udini. Yeyote anayeeneza udini ni adui yangu mkuu. Hii inatokana na kutambua kuwa udini ni vita mbaya mno.
Watanzania kataeni na mchukieni yeyote yule anayeeneza udini!
 
Maswala ya udini kwa sasa yanataka mjadala wa kitaifa bila hivyo shida itazidi kuongezeka hata kama Sheikh Ponda akifa.... Mwenyezi Mungu aepushe hilo na amponye haraka.

Tayari kuana akina Ponda kwa mamia nchini ambao wako tayari kuchukua nafasi.

Bila mjadala wa kitaifa, uwazi, ukweli na haki kutendeka hatma hapana iko njema!!!!

Hakuna mjadala na magaidi. Period!
Dawa ni wakasome, tena kwa bidii na kisha wapambane na changamoto za maisha. Fursa zipo sawa kwa wote, Muslims & non Muslims.
 
Hakuna mjadala na magaidi. Period!
Dawa ni wakasome, tena kwa bidii na kisha wapambane na changamoto za maisha. Fursa zipo sawa kwa wote, Muslims & non Muslims.

We unajua maana ya gaidi?? Au unaskia raha tu kutamka!

Hebu tusaidie maana ya gaidi hapa! Manake hata mwizi wa kuku wengine tunadhani ni gaidi!
Tunasubiri jibu!
 
udini hauta ondoka kwa kufa Ponda ila utaondoka ukiondoka mfumo kristo ambapo nchi itaendeshwa kwa misingi ya haki usawa na bila kujali dini za watu.. tukifika hapo udini utaondoka....
sana akifa ponda ndio matatizo yatazidi....tutachukulia ameuliwa na mfumo ambao hautaki kuona unaondoka
[/QU

ma------ type utawajua tu!
 
We unajua maana ya gaidi?? Au unaskia raha tu kutamka!

Hebu tusaidie maana ya gaidi hapa! Manake hata mwizi wa kuku wengine tunadhani ni gaidi!
Tunasubiri jibu!

Acha kujitoa ufahamu wewe. Ninafanya kazi kwenye taasisi moja iliyo chini ya Ubalozi wa GERMANY. Mkurugenzi wetu wa fedha na utawala ni MUISLAM, tena swala 5. Ni mtu VERY INTELLIGENT na ana hofu ya Allah kiukweli. Tabia na mwenendo wake unamtia hamu kila mtu kuwa Muislam. Na wengi tunajifunza kwake (hata wasio waislamu)
Nimekupa tu sifa ya Waislam safi, wanaojitambua.. Kinyume chake, ndo nyie magaidi, maswahiba wa ponda.
 
Pondaaaaa, ukishapona karibu SHULE. Soma kidogo tu walau mpaka Form 4 upate akili na umaana wa kile unachokipigania. Ni kama bado upo gizani vile!

Huko form 4 umefundishwa nini cha maana!?
Binaadamu ametokana na kizazi cha nyani!
Na aliyegundua america ni Christopher culombus!?
Na wazungu ndio wavumbuzi wa yoote ya maana!!

Hizi elimu za ajabu ajabu ndio chanzo cha fitna ktk jamii za kiungwana!

We jivunie uzalendo ulionao na si hizi elimu mbuzi alizotuletea mkoloni.
Zinazo sababisha hata heshima ya mzazi wako kuporomoka!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom