Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,754
ogopa sana...somo la leo huwezi kumkomoa binadamu unajikomoa mwenyewe hapa duniani amini hivyo...aaisee..lakini roho ulizoziangamiza utakuja zilipia..tu usifikiri kuokoka ni kuyakimbia maovu uliyoyatenda amini hivyo..ati..ni principle za Mungu hizo..sio maneno yangu..over.. this is to whoever it may concern...