Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #41
Huna lolote blah blah dot com.
Easy Mkuu, unapata pressure na mambo madogo madogooo saaaaaana. Hii ni thread sawa na thread nyingine na uko huru kuandika lolote. Hainipi tabu.
Further sina copy right wala silipwi wala sijatumwa. Kama unaweza unaweza kuanzisha lako uone jinsi ilivyo rahisi kama kucheza kiduku . . .
Get your life man na leta urguments kwenye vitu vya kimsingi. Ni mtu gani usielewa mambo madogo hata ukielezwa kwa kina?
QED