elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
RIP marehemu wote. Mimi sina comment hapa inawezekana polisi ndio walikuwa na makosa au raia ndiye alikuwa na makosa maana muamba ngomba uvutia upande wake.
Mara kadhaa nashuhudia raia wakivimbiana na polisi na mara nyingine raia wakitamba kuwapiga polisi wanadharaulika.
Na mara nyingi pia nimeshuhudia polisi wakiwaonea raia.
Kuna matukio mengi nimeshuhudia polisi wanakosa jinsi inabidi watumie risasi za moto.
Lakini la mtu mmoja kupigwa risasi 2 hili lina mashaka lakini pia haingii akilini wampige risasi tu wakati wa kubishana kuna mengi yamejificha nyuma ya story maana mtu huandika story kwa maono yake
Mara kadhaa nashuhudia raia wakivimbiana na polisi na mara nyingine raia wakitamba kuwapiga polisi wanadharaulika.
Na mara nyingi pia nimeshuhudia polisi wakiwaonea raia.
Kuna matukio mengi nimeshuhudia polisi wanakosa jinsi inabidi watumie risasi za moto.
Lakini la mtu mmoja kupigwa risasi 2 hili lina mashaka lakini pia haingii akilini wampige risasi tu wakati wa kubishana kuna mengi yamejificha nyuma ya story maana mtu huandika story kwa maono yake