Polisi wawili wauawa kwa mapanga na wananchi wenye hasira Ngara; kituo cha polisi chachomwa moto!

Sababu kubwa ya wananchi kufanyahivyo ni kuchoshwa na mjibu na vitendo vya polisi kama wakisha fanya hivyo utaskia BATIMBAYA,TULIPAMBANA NAYE 2KAMSHINDA, napia askari akiua uskia kaamishwa kituo, wananchi wamechoka %
napia kuchukua sheria mkonon ni kutokanan MAJIBU MEPESI YA ASKARI POLISI KTK MASWALI MAZITO
 
kutumia neno "NGUVU YA UMMA" KATIKA MATUKIO YA KIMAUAJI KAMA HII HASA HAO POLISINI NI KUCHONGANISHA CHADEMA NA POLISI
Chadema tunaamini katika nguvu ya Umma kwa maana hiyo difinition ya mapema kaisa kwa wananchi ukisea nguvu ya Umma imetumika kukata mapanga watu ni kuleta msuguano wa kisaikolojia kati ya WATU-CHADEMA-POLISI
 
Kha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa!! Swaaaafiiiiii! Na badooooo!! Makali kwa makali makali! Na hiyo ni traler tu!

TUMBIRI; Naunga mkono hoja!


Safi sana! Tuambiwe na wao wemepingwa na vitu vyenye ncha kali.

Nakala: IGP Said Mwema, RPC Kamuhanda, etc
 
Last edited by a moderator:
Habari za kusikitisha zilizonifikia kwa sasa ni kuwa Polisi wawili wameuwawa kwa kukatwakatwa na mapanga na wananchi baada ya kumuua mwendesha pikipiki katika eneo la Mgoma-Ngara-Kagera.

Baad ya polisi kumuua mwendesha bodaboda, wananchi walikuja juu kuvamia kituo cha polisi kuwaua hao polisi wawili na kukichoma kituo hicho kwa moto.
Chanzo cha unyama huu bado hakijajulikana

mkuu ni kituo kipi kilcho chomwa?ni cha wilaya chenyewe,Rulenge,kabanga au rusumo.
 
Hakindo msingi .hatawana nchi ni nguvu kwan NENO UMMA linamaana ya jamii hvyo wana haki ya kusema nguvu ya uma lakini niwanakjj wa ....c wanachamawa .....
 
Kitendo walicho kifanya watu wa Ngara ni kibaya lakini ni kizuri kwa upande mwingine ili kulipiza unyama ambao umekuwa ukifanywa na askari polisi pasipo hatua madhubuti kuchukuliwa kuwa wajibisha.

Tukio la Ngara lime kuwa kama ifuatavyo; Askari hao trafic na mwenzake walimsimamisha mwendesha bodaboda akakataa, ndipo wakapiga risasi ya mguuni na nyingine ya kifuani. Wananchi wakashikwa na hasira WAKAMCHINGA TRAFIC KAMA KUKU yule mwenzake akakimbia wakamkimbiza na kumkamata na kumuua papo hapo.

Mwendesha boda boda alikufa?
 
Back
Top Bottom