EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Hongera makanda wa Tunduma kumbe nguvu ya uma haishindwi kitu
baada ya makamu wa raisi kushindwa kufika eneo la tukio kwa muda muafaka kutokana na mkanganyiko wa vijana wa tunduma na polisi kwa kung'oa bendera ya chadema hatimaye polisi wamerejesha bendera.na serikali imeamua kumtuma mh. Silinde mb kutuliza hasira za wananchi kabla mheshimiwa makamu hajafika na vijana wamekubali kutulia kwa mashariti kuwa asijaribu kuongelea lolote lile kuhusu ccm.hivi sasa tunamsubiri makamu wa rais japo ametuweka kuanzia saa nne asubui mpaka muda huu hajafika.