Polisi wamkamata Gwajima tena. Afanyiwa upekuzi upya na kuachiwa

Endeleeni kumdanganya aendelee kugeuza Kanisa kuwa jukwaa la siasa...kama alikosewa alipaswa yeye kama kiongozi kuonesha njia kwa kutopitia mlemle anakokulalamikia...
Hilo LA Bashite kapatia kabisaaa
 
Aliendelea kuongea sana kuonyesha anaficha mambo mengine anayofanya, amejitakia mwenyewe. Wamjuao wamemsema


Ivi huwa ni lazima uchangie mada dada?
Kama huwa unakosa cha kuongea chenye manufaa na jamii aheri unyamaze kuliko kudhihirisha ubashite wako.

Its a kind of shame.
 
Daaaah kweli sasa nchi inaelekea pabaya sasa naona kabisa ndani ya miaka hii minne iliyobaki naona kabisa kuna zuio la kutembea mwisho saa 12 jion twende tu tutaona mengi
 
Inamaana hawakulidhika na upekuzi walio ufanya awali au ndio wanataka kumpandikizia
 
mimi nashangaa watendaji wa magu na yeye mwenyewe!!!!!! kila siku ni kukimbizana na watu njiani. tulieni jipangeni mtatue kero za wananchi mbona ni nyingi sana. mr, magu mbona unapwaya hivyo! kama komedy miaka yote mitano utakuwa kama under five, akiona mtoto mwenzake kashika mwanasesele naye anaanza kulilia. focus foward, that is the vision of good leadership.
 
Kwahio ni sahihi kwa mtumishi wa umma kujibu mapigo tena kwa njia za kihuni kabisa yani uongo???

Ile dhana ya samehe mara saba sabini haipo tena kwenye bibilia???
VIP kama angedai fidia ya mabilioni Kwa kuchafuliwa jina si kodi zetu ndo zingetumika, kawa muungwana katuhurumia kodi zetu,Yeye kaweka wazi mjue sababu ya chuki ni nn,atatukana MTU wala kumsema uongo MTU kasema kweli na anao ushahidi,sisi ngoja tuone miamba wanavovuana nguo.
 
Hii nchi inaelekea kubaya .... kamata kamata kila siku ?????? ni kupanda mbegu ya CHUKI .
 
Ivi huwa ni lazima uchangie mada dada?
Kama huwa unakosa cha kuongea chenye manufaa na jamii aheri unyamaze kuliko kudhihirisha ubashite wako.

Its a kind of shame.
Kwani lazima wewe uchangie ,unapenda mawazo yako ndio yachangiwe
 
Nia ni kumuweka ndani mpaka jumatatu ili jumapili yule mgeni kutoka ikolomije tusimsikie.
 
Hivi hii Serikali inaongozwa na Vichaa jamani?
Gwajima walimpekua na wakakuta hana hata pombe za kawaida achilia sigara na viroba na wakampa CERTIFICATE OF CLEARANCE kwamba hana DAWA ZA KULEVYA WALA VIROBA!!!!
Kumkamata Gwajima tena ni kutaka kujibu mapigo katika kumtetea Daudi Bashite wa Kolomije na Babayake mlezi John Pombe Magufuli!!! Huu ni ujinga na upuuzi na kwa ujumla ni kuwachokoza Watz.
Ngoja tusubiri matokeo maana nchi inakopelekwa sasa siko!!!
Unaongea mbele ya keyboard
 
Kwa sababu mpo juu ya sheria mkigusa wenzenu bila ushahidi ruksa,kumharibia mtu yakiwageuka mnakimbilia kulalamika,yule sio sawa na viongozi wa dini wanafiki yeye anakulipua hapo hapo na Kwa ushahidi,me naona sawa anavoweka wazi ili watu wajue chuki si kitu kizuri Kwa aliefanikiwa.
Gwajima ndio kubwa la wanafiki ,tatizo anageuza kanisa kuwa ulingo wa siasa
 
Wacha akatoe ushahidi wa elimu ya Makonda si anajifanya anamjua kuliko wazazi wake
Kama wewe unamfahamu zaidi kwa nini wewe usiutoe huo ushaidi? What's actually not happening in this country? Is this the same country that mwlm jk1 was the president for 24 yrs? Is it or ni nyingine? Kwa nini watu mnatetea vitu vya kipuuzi kabisa ambayo havina mantiki yoyote ile? It's no wonder hata mahakama nazo zinafanya mambo ya ajabu so shamelessly. Kweli jamani?We need and have to change pls.
 
Back
Top Bottom