Komeo
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 2,498
- 1,171
Jeshi la Polisi limewafukuza kazi askari wake waliokuwa wanatuhumiwa kwa mauaji ya kijana Hassan Mgalula wa Urambo, Tabora. Kwa mujibu wa RPC Tabora, askari hao wanne (Konstebo Aidano, Jonathan, Mohamed na Khakimu) sasa wanakabiliwa na tuhuma za mauaji, na kwamba wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani mara moja kusomewa mashtaka yao.
Source: Gazeti la Tanzania Daima la 06/03/2012
My take: Nice move if at all they will appear before the court of law as insisted by the RPC.
Source: Gazeti la Tanzania Daima la 06/03/2012
My take: Nice move if at all they will appear before the court of law as insisted by the RPC.