amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
WanaJF,
Kuna taarifa za uhakika kabisa kuwa polisi wamekatwa 100,000/= kila mmoja kutoka kwenye mishahara yao ya mwezi huu ili serikali iweze kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi.
Ni jambo la kusikitisha sana kwa vile linawanyima haki yao polisi wetu hasa ikizingatiwa mishahara yao ni midogo na mazingira magumu ya kazi zao. Sijui ni kwanini wamekata mishahara ya polisi pekee na sio watumishi wengine wa umma kama JWTZ, mahakama, TRA, n.k, n.k...
Tujadili............
Source: Taarifa za ndani ya Polisi
Magazeti ya leo
Kuna taarifa za uhakika kabisa kuwa polisi wamekatwa 100,000/= kila mmoja kutoka kwenye mishahara yao ya mwezi huu ili serikali iweze kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi.
Ni jambo la kusikitisha sana kwa vile linawanyima haki yao polisi wetu hasa ikizingatiwa mishahara yao ni midogo na mazingira magumu ya kazi zao. Sijui ni kwanini wamekata mishahara ya polisi pekee na sio watumishi wengine wa umma kama JWTZ, mahakama, TRA, n.k, n.k...
Tujadili............
Source: Taarifa za ndani ya Polisi
Magazeti ya leo