cheusimangala_
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 114
- 174
Polisi mkoani Singida wamemkamata kijana mmoja mkazi wa Arusha kwa tuhuma za kujifanya afisa wa JWTZ mwenye cheo cha Luteni. Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Sweetbert Anjewike amesema baada ya kumhoji kijana huyo alisema yeye ni mkulima ni siyo mwajiriwa popote. #KwanzaHabari