Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya watu wamekuwa wakihoji PODIUM anayotumia Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwamba (haijakamilika) yaani haina Bibi na Bwana pamoja na Mlima Kilimanjaro kama ilivyo kwenye Nembo ya Taifa.
UFAFANUZI:
Ukiona 'Podium' yenye nembo inayoonekana hapo chini, jua kwamba ni ya Mheshimiwa Rais pekee kama ilivyo kwenye Bendera yake. Nembo hiyo ni Alama ya Rais (The President). Tofauti na Nembo ya Taifa ambayo inajumuisha Bibi na Bwana pamoja na Mlima Kilimanjaro.
UFAFANUZI:
Ukiona 'Podium' yenye nembo inayoonekana hapo chini, jua kwamba ni ya Mheshimiwa Rais pekee kama ilivyo kwenye Bendera yake. Nembo hiyo ni Alama ya Rais (The President). Tofauti na Nembo ya Taifa ambayo inajumuisha Bibi na Bwana pamoja na Mlima Kilimanjaro.