johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
===
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amekemea vitendo vya wizi na uzembe katika miradi akiwa ziarani Mkoani Mara. Majaliwa akibainisha kuwepo kwa mtandao wa wizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, unapelekea huduma kuchelea. Pia ameagiza kichukuliwa hatua watumishi wasio waadilifu.
Wananchi TV
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
===
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amekemea vitendo vya wizi na uzembe katika miradi akiwa ziarani Mkoani Mara. Majaliwa akibainisha kuwepo kwa mtandao wa wizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, unapelekea huduma kuchelea. Pia ameagiza kichukuliwa hatua watumishi wasio waadilifu.
Wananchi TV