Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Samahani lakini:
jaman wana Jf,members na visitors,nimeangaika sana kutafuta ajira hapa Tanzania mpaka basi! Nimetoa photocopy kibao za vyeti na passport size kupeleka kwenye ofisi za watu,lakini wapi!
Mpaka dakika hii am Jobless.
Sasa nilikuwa nawaza na naomba,kwa yeyote mwenye uwezo,awe yeye binafsi au kampuni,aninunulie BAJAJ[matairi matatu] nitakuwa narejesha taratibu. Nasikia Bajaj mpya inachezea kwenye milioni 5.5-6.
Hata nikipata used ili mradi nami niweze kujikimu kimaisha. Namhakikishia mwajiri tutawekana wazi ili nipate huo mradi.
Mimi naishi Mbezi ya Kimara-Dsm.
Kwa aliye tayari please use +255718651174 au +255768252589.
All the best.
jaman wana Jf,members na visitors,nimeangaika sana kutafuta ajira hapa Tanzania mpaka basi! Nimetoa photocopy kibao za vyeti na passport size kupeleka kwenye ofisi za watu,lakini wapi!
Mpaka dakika hii am Jobless.
Sasa nilikuwa nawaza na naomba,kwa yeyote mwenye uwezo,awe yeye binafsi au kampuni,aninunulie BAJAJ[matairi matatu] nitakuwa narejesha taratibu. Nasikia Bajaj mpya inachezea kwenye milioni 5.5-6.
Hata nikipata used ili mradi nami niweze kujikimu kimaisha. Namhakikishia mwajiri tutawekana wazi ili nipate huo mradi.
Mimi naishi Mbezi ya Kimara-Dsm.
Kwa aliye tayari please use +255718651174 au +255768252589.
All the best.