Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,952
- 5,982
Nipo Musoma Mjini kuna Gari linatembea likipiga Muziki ya TOT na kuwatangazia watu kuwa Kesho Mchana Spika Mstaafu Bw. Msekwa atautubia wakazi wa Musoma na Vitongoji vyake juu ya hali mstakhabali wa siasa Nchini
Matangazo yanasema akuna chama Wananchi wote wanakaribishwa.
Matangazo yanasema akuna chama Wananchi wote wanakaribishwa.