Pitia hii Marketing Company (Startup) utoe mtazamo

October man

JF-Expert Member
Nov 23, 2017
3,635
5,000
Wadau Kwenye Biashara jana nilivyokuwa natoka chimbo langu la mishikaki mwanangu mmoja alini-Invite tukutane.

Jamaa ameniambia anataka kuanzisha Startup Company mimi niwe Co-founder wa Startup hiyo amenielezea wazo zima. Idea nzima ni Startup Company itayojihusisha na Advertisement/Marketing anasema kampuni zinaweka pesa nyingi kwenye Marketing kufikia walaji.

Startup Blueprint
_Hii kampuni itajihusisha na kutangaza bidhaa/Huduma mbalimbali za kampuni katika mitaa wanapoishi target market in Affordable price.

Kwakuanza itaanza na kuweka Frame za matangazo ambazo zitawekwa kila mtaa/balabala kubwa kimtaa tangazo za kampuni itayoingia tender ya kutangaziwa zitawekwa humo...Bango linakuwa ni chuma ambalo juu lina frame ya kuweka Tangazo.

Mahesabu randomly yaliyopigwa; Kampuni itaanza na wilaya ya Temeke (Mbagala) kila balabala kutawekwa mabango at least 40 kwa umbali wa interval ya meter sawa zile balabala zinazotokea balabala kuu (kilwa road) Mfano; Mbagala Zakhiem balabala inayotoka Zakhiem kwemda mbagala kuu yanakuwa mabango kama 40 mpaka Mbagala kuu, balabala kutoka Zakhiem mpaka kirungure yanawekwa mabango 40...jumla kimakadilio balabala zote muhimu kwa Mbagala/charambe mabango yatakuwa 400.

Bango moja litatozwa 600 Tzs kwasiku mabango 400 yatatozwa 240,000 Tzs sawasawa na 7,200,000 Tzs kwa mwezi mkataba unaweza kuwa wa miezi 3 ambapo itakuwa 7,200,000×3= 21,600,000 Tzs.

Sawa na 21 Million kampuni italipa kutangaziwa wilaya Temeke (Mbagala/Charambe) ambayo 45℅ ya wilaya ya Temeke.

Kuna kampuni Inaweza kuingia tenda ya 21 Million kuweka Tangazo zake za bidhaa katika eneo nililoelezea au kuingia tenda ya 40 Million kuwekewa matangazo wilaya nzima ya Temeke kwa muda wa miezi mitatu.

Hii sawa na kampuni kulipa tenda ya kuwekewa Tangazo kwa Million 100 (punguzo) kwa muda wa miezi mitatu kwa DSM mzima kila balabala.

According to randomly Calculation investment DSM nzima Inaweza ikala 60 Million inamaana tender moja Inaweza rudisha pesa ya uwekezaji wote na faida.

Hili wazo linaweza kuwa applicable kweli kwamulio na experience ya marketing inayowekeza hizi kampuni na hizo hesabu ni randomly kama Blueprint tu je zinaweza wezekana.
 
Boss nakuPM ... Nna some ideas in the same field of advertising/marketing ..we can discuss as well as modify your startup idea coz naona mmebase sana offline wakat mm naona opportunities nyingi zipo online pia.. Let's talk
 
Boss nakuPM ... Nna some ideas in the same field of advertising/marketing ..we can discuss as well as modify your startup idea coz naona mmebase sana offline wakat mm naona opportunities nyingi zipo online pia.. Let's talk
Sawa Boss.
 
Wazo zuri ila pia hayo mabango yanalipiwa so hizo calculation siyo realistic. Dig deeper mje na realistic figures.
 
Wazo zuri ila pia hayo mabango yanalipiwa so hizo calculation siyo realistic. Dig deeper mje na realistic figures.
Boss soma mahesabu yanalenga nini hayo mahesabu ambayo kampuni inalipa ndio yameandikwa ili kujua je kampuni zinaweza Afford hapo haijapigiwa faida yetu sisi au mahesabu yetu. Umeelewa tukisema 100M wanalipa tumelipa bado tujapigia faida yetu ngapi.

Pia TRA hawatozi mabango bali kampuni ikiwa inatoza Bango basi inabidi ifute kodi ya kampuni kama Biashara.
 
Hivi unajua kua mabango ya biashara tu yenyewe yanalipiwa TRA?
Kampuni inahusika na matangazo je TRA wanaotoza kampuni mala mbili kodi kama Biashara na kodi za mabango HOW.

Biashara itatoa kodi ya TRA Bango ni sehemu ya kazi ya kampuni ukitoza bango futa kodi ya kampuni How Double Tax.
 
Kampuni inahusika na matangazo je TRA wanaotoza kampuni mala mbili kodi kama Biashara na kodi za mabango HOW.

Biashara itatoa kodi ya TRA Bango ni sehemu ya kazi ya kampuni ukitoza bango futa kodi ya kampuni How Double Tax.

Mkiweza kuwashawishi TRA then you’re good to go. Pia ni vizuri mka-test viability ya hii idea kwanza kabla ya kuingia sokoni na miguu miwili. Mfano ku-pitch kwa 2-3 potential clients na kuona kama watakua interested.
 
Mkiweza kuwashawishi TRA then you’re good to go. Pia ni vizuri mka-test viability ya hii idea kwanza kabla ya kuingia sokoni na miguu miwili. Mfano ku-pitch kwa 2-3 potential clients na kuona kama watakua interested.

I think about it, safi sana.
 
Mabango yote unayoona yanawekwa barabarani mostly ybnalipiwa ushuru halmashauri/serikali za mitaa.

Kwa Kuwa ardhi unayoweka mabango siyo yako.

Kwenye Offline Advertising naona kuna Mikono Speakers, Outdoor wanafanya 'the same'

Njia nzuri ya kudisrupt hii industry ni:

1. Kupunguza Gharama
2. Kufikia Watu Wengi watakaonunua ( leads that converts )
3. Ukiongeza thamani itakuwa bora zaidi.
Mfano: Shujaaz wanafanya, kuna free public magazines kama Advertising Dar, Dar Life, posta kuna kampuni wamesimika 'dustibins' then kupitia kwazo wanafanya advertising.

Note.
Kiini Cha Marketing ni mauzo, kama ukiweza kuwasaidia watu wauze bidhaa/huduma zao umemaliza.
 
Mabango yote unayoona yanawekwa barabarani mostly ybnalipiwa ushuru halmashauri/serikali za mitaa.

Kwa Kuwa ardhi unayoweka mabango siyo yako.

Kwenye Offline Advertising naona kuna Mikono Speakers, Outdoor wanafanya 'the same'

Njia nzuri ya kudisrupt hii industry ni:

1. Kupunguza Gharama
2. Kufikia Watu Wengi watakaonunua ( leads that converts )
3. Ukiongeza thamani itakuwa bora zaidi.
Mfano: Shujaaz wanafanya, kuna free public magazines kama Advertising Dar, Dar Life, posta kuna kampuni wamesimika 'dustibins' then kupitia kwazo wanafanya advertising.

Note.
Kiini Cha Marketing ni mauzo, kama ukiweza kuwasaidia watu wauze bidhaa/huduma zao umemaliza.

1)Unaongezaje thamani kwa model tunayotumia.

2)Unawasaidiaje kuuza kwa model hiyo ya Marketing si teyari inawasaidia kuuza.

Mikono Speakers & Outdoor wamefanya vipi kama nilivyoeleza ?
 
Ingekuwa bei ndogo hivyo wengi wangetangaza, bango linalipiwa halmashauri tena wanatoza kwa sq. Sentimita. Mimi kabango kadogo ka jina la biashara walilamba 120,000 kwa mwaka.

Sasa 600 yako mara 360 days ni 216,000, vip cost nyingine? Gharama ya kuandaa matangazo ni ya nani?. Vip investment cost? Mmekadilia kila bango litakula mpunga kiasi gani?
 
Ingekuwa bei ndogo hivyo wengi wangetangaza, bango linalipiwa halmashauri tena wanatoza kwa sq. Sentimita. Mimi kabango kadogo ka jina la biashara walilamba 120,000 kwa mwaka. Sasa 600 yako mara 360 days ni 216,000, vip cost nyingine? Gharama ya kuandaa matangazo ni ya nani?. Vip investment cost? Mmekadilia kila bango litakula mpunga kiasi gani?

120,000 Tzs kwa bango lako sawa na 330 Tzs kwasiku ushuru.

600 Tzs ya kuitoza kampuni almost 40% itakula halmashauri sie kampuni tuna mabango mengi 500+ ushuru utapunguzwa kwa kila bango randomly kwenye 600 Tzs unaweza halmashauri yao ikawa 250 Tzs na sisi kubaki na 400 Tzs na hii ndio expense kubwa kwenye Mradi.

Gharama ya kuandaa matangazo ni yakwao hiyo ni kazi ya Printing Company sio sisi but tender iki include vyote hamna tatizo.

Kila Frame itagharimu 15,000 Tzs makisio pesa ndogo ni kwasababu zitatengenezwa in Big volume wataotengeneza watafanya in negotiable price.

Mradi wote Starting Capital 60 Million kwa tathmini ya idadi ya Frame za matangazo but ni Starting Capital.
 
120,000 Tzs kwa bango lako sawa na 330 Tzs kwasiku ushuru.

600 Tzs ya kuitoza kampuni almost 40% itakula halmashauri sie kampuni tuna mabango mengi 500+ ushuru utapunguzwa kwa kila bango randomly kwenye 600 Tzs unaweza halmashauri yao ikawa 250 Tzs na sisi kubaki na 400 Tzs na hii ndio expense kubwa kwenye Mradi.

Gharama ya kuandaa matangazo ni yakwao hiyo ni kazi ya Printing Company sio sisi but tender iki include vyote hamna tatizo.

Kila Frame itagharimu 15,000 Tzs makisio pesa ndogo ni kwasababu zitatengenezwa in Big volume wataotengeneza watafanya in negotiable price.

Mradi wote Starting Capital 60 Million kwa tathmini ya idadi ya Frame za matangazo but ni Starting Capital.
Washindani wenu kibiashara ni kina nani na ni nini ninyi mtafanya tofauti ?
 
Washindani wenu kibiashara ni kina nani na ni nini ninyi mtafanya tofauti ?
Kampuni zinazo Base kuweka Billboard balabala kuu I.e Alliance Media...tofauti wao wanafanya marketing General balabalani sie tunaenda locally kwenye Jamii sijafahamu kama kuna wengine wanafanya hili ndio maana nikauliza hao Out Door wanafanya vipi.
 
Kampuni zinazo Base kuweka Billboard balabala kuu I.e Alliance Media...tofauti wao wanafanya marketing General balabalani sie tunaenda locally kwenye Jamii sijafahamu kama kuna wengine wanafanya hili ndio maana nikauliza hao Out Door wanafanya vipi.
Wote wanafanya kama hao Alliance Media.

Na unaposema kwa jamii unamaanisha wapi ?
 
Wote wanafanya kama hao Alliance Media.

Na unaposema kwa jamii unamaanisha wapi ?

Mitaani Mf huwezi kukuta Frame za hao balabala za ndani...Mzunguko wangu kwasiku nzima nikiwa sina ratiba ya kutoka siwezi kuona Tangazo za Alliance hapo ndipo nataka mtu hata kama ajaenda safari ndefu aone matangazo ndio pale juu nitaandika “Ilipo Target market in affordable price”
 
Back
Top Bottom