tibwilitibwili
Senior Member
- Sep 12, 2006
- 184
- 10
Mchundo you have made your point so clear mkuu . Nadhani it is time Upinzani kuanzia huko kwa kasi ya pekee maana siku zinaisha na huko ndiko CCM wanako iba kura pamoja na kuwanyanyapaa wananchi. Mfano Kiteto wameona Mjini walitoa kura lakini kijijini walitishwa na kuamka kubwaga Manyanga.
Siasa za vijijini ni ngumu sana hata kuliko siasa za Bungeni na Mikoa na Kitaifa . Vijijini wana visa na kuuana na hata kuendeana gizani .Siasa za Kule you need to be smart na ucheze ngoma yao vinginevyo watacheka ukiondoka tu wanafanya maajabu yao .Ninajua kwa kuwa mimi ni Mwenyekiti wa Kijiji na si kiongozi ama mwenyekiti nwa Mtaa no ni Kijiji nawajua wananchi walivyo wagumu na wa ajabu .
Siasa za vijijini ni ngumu sana hata kuliko siasa za Bungeni na Mikoa na Kitaifa . Vijijini wana visa na kuuana na hata kuendeana gizani .Siasa za Kule you need to be smart na ucheze ngoma yao vinginevyo watacheka ukiondoka tu wanafanya maajabu yao .Ninajua kwa kuwa mimi ni Mwenyekiti wa Kijiji na si kiongozi ama mwenyekiti nwa Mtaa no ni Kijiji nawajua wananchi walivyo wagumu na wa ajabu .