Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
- Thread starter
- #21
sababu ya tanganyika kuendelea na muungano wa zanzibar ndo kama hii kudumisha mila na desturi za kibantu na kuondokana na ule ukiritimba wa kimanga wanaofanyiwa wabantu wenzetu huko visiwani
Nilishika kikombe cha chai, umeniumiza mbavu hadi chai kunimwagikia, mambao haya ya wakuu wetu yanafikirisha zaidi ya kuchekesha.
Niambieni hapo angefanya hivyo mheshimiwa Mbowe, Zito, Mnyika, Dr. Slaa magazeti yangepamba habari hiyo na gazeti la Uhuru lingetoa habari hiyo kwa mwezi mzima. Lakini kwa hawa magamba wanafanya jitihada zote kuzima isijulikane.