Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
"Mtoto wa mkulima" kawapiga chini polisi kusimamia zoezi la kuzuia utoroshaji wa sukari nje ya nchi, kisa WANAHUSIKA kufanya escort ya "mzigo".
Rungu wamepewa wanajeshi.
Hapa nina mawazo mawili
1. Kwa hiyo polisi wameshindwa kazi na wakuu wanajua!
2. Hawa wanajeshi nahisi nao wataangukia kwenye rushwa jamani, na wakipotea hawa ndo tumekwisha.
Lazima tukiri Tanzania kuna waziri mkuu jina.