Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mbunge mmoja alitaka kujua kwanini serikali haibadilishi sheria na taratibu zake ili kuwezesha ununuzi wa mitambo ya kuazlisha umeme ambayo imeshatumika ili iweze kuingia nchini kwa haraka? Naibu Waziri Malima (Nishati na Madini) anajibu kwanza, na Waziri Mkuu anaingilia kati kuongezea uzito...
Last edited by a moderator: