Pigo la Pili kwa Lowassa, bado la Tatu na la Mwisho!

Nimewahi msoma 6 akipinga selikali tatu. Sikumbuki ni wapi.

Ni kweli kuna kipindi alipinga lakini badae akasema amebadili msimamo baada ya kumsikiliza Jaji warioba kwa umakini,sasa sijui nini kitafuata maana mkuu wa kaya juzi kati kule dodoma aliulizwa nini msimamo wake juu hili suala la serikali tatu au mbili lkn hakutoa majibu........ngoja tukae mkao wa kupokea chochote.
 
Hao jamaa ndo zao,chuki za kidini na matusi,na wakishajuwa wewe si mwenzao kwenye hayo mambo,tambuwa utatukanwa tu.Ndo maana nikajiuliza kama wanastahili kuwepo kwnye mitandao yenye mijadala ya maana kwa Taifa na mslahi yake.
Asante kwa kunielewa, kumbuka lile neno "usishindane na mtu ...". Kunyamaza ni hekima. Ukiona watu wanalikana ili wasaidiane kuporomosha matusi ujue kuna shida kubwa sana ktk kutafakari kwao. Natamani sana tuwe tunashindana kwa kutoa hoja za kujengana, kuhamasishana ili kuleta maendeleo katika vijiji vyetu na sio kutusiana. Matusi hayajengi taifa bali huliangamiza. Tujirekebishe pale tulipopotoka, tupaimarishe pale tunapoona tunafanya vizuri kwa maslahi ya sasa na baadaye
 
Wajapan na Wachina kwenye ile habari yao yao Kun-Fu, Karate nk wanajifunza kupigana na kushinda bila kutumia nguvu zozote au kurusha konde. Wanatumia maguvu yako mwenyewe kukumaliza. Kama huyu domo kubwa wa kituruki hapo Berlin ambapo walinzi wangeliweza kumtandika vilivyo, ila wakamlainisha kwa ULIMI tu.

Lissu Chadema watatumia nguvu nyingi, why? Weka Sitta mwenye hasira na CCM na mambo yanakwenda kilaini.


Mzee wa viwango anafaa. Nanyi kama mna ubavu msimamisheni Lisu muone atakavyoaibika
 
Last edited by a moderator:
Unaonaje ukianza kusoma na kutafakali kwanza na si kusoma na kuelewa unavyoelewa?

Zitto na mabaya yake, kaifanya CHADEMA ibadilike sana na itaendelea kubadilika kwa kuhofia Zitto mwingine.

Lowassa muda wa kuibadili CCM ndiyo unaanza. Huyu hamuwezi Kum-Kolimba wala kum-Kombe. Sasa hivi wanambana tu ila muda ukifika, mtaachia wenyewe maana TAKURURU mlishaing'oa meno zamani na UWT mmewapa likizo.
hakuna mtu wa kigoma atakuja kuleta mapinduzi nchi hii
 
mimi nilikuwa mmoja wa watu waliomchukia sana lowasa lakini naanza kuhisi kama anaonewa, mbona wanamsakama sana?, mimi naona kuna jambo kubwa ambalo ni siri kubwa sana ya lowasa ambayo nahisi wakati ukifika ataisema. mh. lowasa wewe ni mwanaume ukifika wakati tafadhali weka mambo hadharani tutakusaidia kwa sababu takwimu zinaonyesha tusiokuwa na vyama ni wengi zaidi kuliko walio na vyama tena kuna wengine ndani ya vyama hivyo hivyo watakuunga mkono, sema ukweli ili tujue vinginevyo watu wataendelea kuamini kitu ambacho pengine sio kweli au mlikuwa wengi ila wamekuchagua wewe uwe mbuzi wa shughuli. lakini naomba useme wakati ambao wewe utaona ni salama kwako. tukijua ukweli tutakusamehe na tutakuunga mkono. kwa upande mwingine mimi simuamini sana 6 kwa sababu mara nyingi huwa anaropoka mambo tena wakati mwingine anawashambulia upinzani. sasa kwa sisi wapenda demokrasia huwa anatukwaza ingawa hatuna chama.
MKUU UMESEMA UKWELI,ILA PALE PA KUMSAIDIA el WATANZANIA HATUWEZI,WANGAPI WAMEWEKA MAMBO HADHARANI LKN TUNAISHIA KUSEMA TUMEJUA UKWELI AFU TUNANYAMAZA WAKATI ALIYEJITOA MUHANGA AKIENDELEA KUPATA SULUBA,MFANO MZURI NI GAZETI LA -----------,NAUNGA MKONO el NI JEMBE ILA TUMSHAURI AENDELEE KUPAMBANA AKIONA VIPI AGOMBEE BINAFSI AU ATAFUTA CHAMA CHENYE USAJILI AJIUNGE.

 
Zitto ni chaguo la Mungu. Zitto ni msomi. Zitto anajua siasa. Zitto si mnafiki kama ulivyo wewe. Zitto hapendi kujikomba kama ufanyavyo wewe. Zitto hana dhiki ya fedha tofauti na wewe. Zitto si mbinafsi tofauti na viongozi wengine wa chadema. Zitto hana roho mbaya tofauti na Mbowe

mpumbaaaaaaaaaaaavu wewe ,elimu ngani?, zito ambayo anayo wengine hawana?, pesa sawa nakubaliana na wewe
zile alizopewa na maccm ili chadema aifishe.
 
Nimewahi msoma 6 akipinga selikali tatu. Sikumbuki ni wapi.

6 aliwah kupinga se 3 tangu kipindi cha rasimu ya kwanza ilivyotoka hapo alikua anahojiwa na itv kwenye taarifa yao ya habari,kwa msimamo wake hapendelei kabisa suala la serikari 3,hvyo kutakua na mpambano mkali sana kati ya waunga mkono wa se 3 na wale wanaopinga mfumo huo huku mwenyekiti kama kweli atakua samuel sita na msimamo wake unaeleweka sijuh tutegemee nini,lakini mwenye macho hambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia...yangu ni hayo
 
Yericko hapo umemkosea Mkuu ni kijana mmoja tu katika kumbu kumbu zangu aliye wahi kufaidi siasa za kuvizia naye amepata yaliyompata hata liprado wala li ligari jingine haliendesheki lowassa ni mapromoko ya victoria falls maji yake hayazuiliwi na masufuria

Hapo kwenye red kama barabara ya nyerere road vileee!!!!
 
Ha ha ha ha

too hell!

Leo mmekiri wazi kuwa CDM ni mkusanyiko wa watafuna posho tu na si vinginevyo?

kwahiyo unaposema ni EL pekee mwenye uwezo wa kuizika CCM inamaanisha mmekata tamaa? mmeshindwa? mmekwisha?

Tulisema toka awali mnapotezea watu mda nyie si lolote si chochote....

Ha ha ha ha akina babu wanarusha chopa huku moyoni wakiamini EL pekee ndo anaweza kuizika CCM!!!!!

Ritz MSALANI abakorakamo Simiyu Yetu Mingoi Njooni msikie watu wamesalimu amri huku...

teh teh teh

Mkuu Lusungo Chadema ni wasindikizaji na wanalitambua hilo.
 
Yericko hapo umemkosea Mkuu ni kijana mmoja tu katika kumbu kumbu zangu aliye wahi kufaidi siasa za kuvizia naye amepata yaliyompata hata liprado wala li ligari jingine haliendesheki lowassa ni mapromoko ya victoria falls maji yake hayazuiliwi na masufuria

Bado mapigo mawili tu ukurasa wa siasa za Laigwanani ufutike.
 
YERICKO NYERERE naye amekuwa mtu wa mipasho siku hizi kweli hii fani imeingia facebok. mi nlikuwa namwona kama ni mtu anayethink kidogo, but hapa namwona ameandika mipasho na hamna jipya la maana la kisomi. kama hakuwa na cha kuandika si angesoma tu ya wenzie? kwan lazima kila mtu abandike post hapa?
 
Hatima ya Muungano kivipi? Kwani Muungano si upo na utaendelea kuwepo?! Sema Muundo wa Serikali ndani ya Muungano, na si hatima, Muungano utaendelea kuweko kadri nijuavyo mimi, ila Muundo kimsingi lazima ubadilike na ofcoz ni serikali3, ijapokuwa ilipaswa iwe 1, ila wenzetu hawataki kusikia hiyo 1, eti wanamezwa!?!!

Mkuu,huyo Lusungo kuelewa kwake hakuna tofauti na kuelewa kwa kenge sharti azimuliwe masikio mpaka damu zitoke huko masikioni. Kiujumla uelewa wa hawa LB7 ni shida kweli kweli.
 
Back
Top Bottom