Mi sioni huruma kwa hawa jamaa..yaaani wao wakiua wa israel poa tu..lkn kibao kikijeuka wanakimbilia magazetini ma kwenye tv kulia.aliyewaambia warushe roketi israel ni nani..si kwamba waliyataka wenyewe....dawa ya moto ni moto
Kwanini Israel anakalia kwa nguvu maeneo ya Palestine?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza kuliko kuongea pumba!