Kama ana ubavu apige mikutano ya hadhara si hiyo ya ndani ya kijani pekee.
Nawale wengine mbona hawaendi hukoSi wangeenda Moshi, Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM? Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika
Kinandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!Walllah ipo siku utajadaiwa hizi nyara za taifa letu,na utazilipa hata kwa damu yakoooooooooooooo....inauma sana jamani!!!Mayooooonene,sijui nilie kilingala au nilie kiwapi jamaaaaaaani.
ukweli upi wanaoujua wananchi ambao pia hawapaswi kuambiwa/ mamluki wameandaliwa kwa kazi gani? tunavyofanyaje / siasa za maji taka zipi?wananchi hawahitaji kuelezwa ukweli,wanaujua. Ao wote ni mamluki wameandaliwa. Nani asiejua ndivyo mnavyofanya? Siasa zenu za majitaka zinafikia kikomo.
KINANA,NAPE,KHATIB WATUA MTWARA..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.
ukweli upi wanaoujua wananchi ambao pia hawapaswi kuambiwa/ mamluki wameandaliwa kwa kazi gani? tunavyofanyaje / siasa za maji taka zipi?
mtwara bado hawajaamuka.
Si wangeenda Moshi, Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM? Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika
Huku SIKONGE hatuwataki. Labda waende Urambo na Kaliua kwa Sitta na Lipumba.