Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Hao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo
Inachofanya ccm ni human right abuseHao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo View attachment 1584823
Ukiangalia uso zao zimekosa nuru,yani hawajui kula ya kesho yakeHao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo View attachment 1584823
watu wamekaa kwenye viti kama wapo msibaniHao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo View attachment 1584823
Wako kwenye kuiombolezea ccmAisee, mbona wanaonekana kuwa na huzuni sana?
Hatari sanaHao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo View attachment 1584823
Wamekaaa kinyonge sana ! Naskia ukiingia uwanjani unafungiwa hadi mkutano uisheHao waliovaa nguo za chama ndio wafia chama hao waliovalishwa kofia ni wale waongeza vichwa wasiojua wamefuata nini waliokamatwa Kwa nguvu wamekuja kufungiwa hapo View attachment 1584823
hahahahahahahahahahahahahahahahhaNoma sana..
kwani kutukanwa kuzuri ?Aisee, mbona wanaonekana kuwa na huzuni sana?