sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Mazoezi haya mithili ya special unit za Mossad yalianzia katika gym na fukwe za Jiji la Dar es Salaam, ambapo zoezi zima liliongozwa na kocha mwenye leseni ya juu kabisa toka UEFA ( Grade A) "Mtalamu" Dylan Kerr, akisaidiwa na moja ya wachezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania, Seleman Matola.
View attachment 272305
View attachment 272307
View attachment 272309
View attachment 272312
View attachment 272314
Baada ya kazi ya wiki kadhaa, jeshi zima la Simba SC lilielekea Lushoto, kwa ajili ya mazoezi ya utimilifu mwili.. ambapo Kocha bora kabisa wa viungo mwenye heshima kubwa saaana nchini kwake(Serbia) Susan Momclovic, na huko mambo yalikua hivi;
View attachment 272319
Baada ya mazoezi hayo ya kijeshi.. Timu ilitua Zanzibar kwa ajili ya kujifua mbinu za uwanjani.. Na huko mambo yanaenda vizuri sana, kwani timu imeshakwiva.. Na anaeongoza hilo zoezi ni Kocha Mkuu Kerr, akisaidiwa na watalaamu wenzake.. Cheki picha chini hapo.
Mpaka sasa jeshi la maangamizi bado lipo Zanzibar, likimalizia malizia maandalizi yake kwa ajili ya msimu ujao.. Ndani ya siku mbili tatu, kikosi kizima kitatua kwa ajili ya kusherekea wiki ya Simba Day.
"Kwa kikosi hiki cha sasa, majirani zetu mjipange vyema, maana kuna hatari ile rekodi iliyowekwa na kile kikosi cha kina Kibaden ikavunjwa msimu ujao" - Sembo
View attachment 272305
View attachment 272307
View attachment 272309
View attachment 272312
View attachment 272314
Baada ya kazi ya wiki kadhaa, jeshi zima la Simba SC lilielekea Lushoto, kwa ajili ya mazoezi ya utimilifu mwili.. ambapo Kocha bora kabisa wa viungo mwenye heshima kubwa saaana nchini kwake(Serbia) Susan Momclovic, na huko mambo yalikua hivi;
View attachment 272319
Baada ya mazoezi hayo ya kijeshi.. Timu ilitua Zanzibar kwa ajili ya kujifua mbinu za uwanjani.. Na huko mambo yanaenda vizuri sana, kwani timu imeshakwiva.. Na anaeongoza hilo zoezi ni Kocha Mkuu Kerr, akisaidiwa na watalaamu wenzake.. Cheki picha chini hapo.
Mpaka sasa jeshi la maangamizi bado lipo Zanzibar, likimalizia malizia maandalizi yake kwa ajili ya msimu ujao.. Ndani ya siku mbili tatu, kikosi kizima kitatua kwa ajili ya kusherekea wiki ya Simba Day.
"Kwa kikosi hiki cha sasa, majirani zetu mjipange vyema, maana kuna hatari ile rekodi iliyowekwa na kile kikosi cha kina Kibaden ikavunjwa msimu ujao" - Sembo