BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Kuna picha rasmi ya Mh Rais imetoka kwa ambaye anahitaji kwa ajili ya kuweka ukutani. Sambamba na hiyo liko pia bango jipya la baraza lote la mawaziri ambalo liko na kalenda. Vyote vimeshambazwa mikoani hivyo kama unahitajiili fuatilia utavipata.