Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein, -Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Samuel Sitta-na Makamu -Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Suluhu Samia Hassan wakifurahia jambo mara baada ya Rais -kulihutibia Bunge hilo Ijumaa -mjini Dodoma Machi 21, 2104