Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,083
CCM imekufa..
mnajidanganya sana
CCM imekufa..
CCM wanaugonjwa wa akili...Anawashari waende wakapime akili..
Huyu mzee anaye ongea si mzima kabisa!
kwa kawaida mtu akichoka kufikiri anaongea lolote
Mbatia angekuwa mjanja ange vua ubunge aliyo pewa na Prof Jakaya Mrisho Kikwete!
Kwa sasa ccm
kwa hari, hawana chao, ukawa imekuna pale pale panapowasha