Msimamia Ukucha
Senior Member
- Feb 11, 2013
- 146
- 42
[h=3]BREAKING NEWS............MBUNGE MSIGWA NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA 27 WAKOSA DHAMANA KESI KUTAJWA TENA 3 MWEZI WA 6[/h]
Wafuasi wa Chadema Iringa wakiwa wamembeba juu juu mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa baada ya kuachiwa kwa dhamana leo hadi kesi hiyo itakapotajwa tena Juni 3 mwaka huu huku wafuasi wake 26 kati ya 74 wakosa sifa ya dhamana
Mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi huku akiwa chini ya ulinzi mkali wa FFU leo alipofikishwa mahakamani kabla ya kudhaminiwa
Mheshimiwa mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi chini ya ulinzi mkali wa polisi
Mkuu wa FFU Iringa Said Abdalah Mnunka (katikati) akiwa na maofisa wenzake wa polisi
Katibu wa Chadema wilaya ya Iringa mjini Bi Suzana Mgonakulia akitoa nje ya mahakama hiyo
<tbody>
</tbody>
Wafuasi wa Chadema Iringa wakiwa wamembeba juu juu mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa baada ya kuachiwa kwa dhamana leo hadi kesi hiyo itakapotajwa tena Juni 3 mwaka huu huku wafuasi wake 26 kati ya 74 wakosa sifa ya dhamana
Mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi huku akiwa chini ya ulinzi mkali wa FFU leo alipofikishwa mahakamani kabla ya kudhaminiwa
Mheshimiwa mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi chini ya ulinzi mkali wa polisi
Mkuu wa FFU Iringa Said Abdalah Mnunka (katikati) akiwa na maofisa wenzake wa polisi
Katibu wa Chadema wilaya ya Iringa mjini Bi Suzana Mgonakulia akitoa nje ya mahakama hiyo
<tbody>
</tbody>