Picha mbali mbali za kutolewa kwa wabunge bungeni leo


Naibu Spika Job Ndugai akiwaamuru wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu, Mchungaji Peter Msigwa na Godbless Lema kutoka ndani ya Bunge leo mara baada ya wabunge hao kuvunja kanuni ya Bunge ya kuongea bila ruhusa ya Naibu Spika.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha akisoma bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo Bungeni mjini Dodoma leo kwa mwaka wa fedha 2011/2012.

Godbless Lema ambaye ni msemaji mkuu wa kambi ya upinzani kuhusu wizara ya mambo ya ndani ya Nchi akisoma makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2011/2012.

Askari Polisi wa Bunge wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu (kulia) Mchungaji Peter Msigwa (kushoto) na Godbless Lema (wa pili kushoto) ili waondoke nje ya viwanja vya Bunge mara baada ya Naibu Spika Job Ndugai (hayupo pichani) kuwaamuru watoke ndani ya Bunge leo baada ya wabunge hao kuvunja kanuni za Bunge za kuongea bila ruhusa ya Naibu Spika. Wa pili kulia ni Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akiwasindikiza wabunge wenzake.

Askari Polisi wa Bunge wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu (kulia) Mchungaji Peter Msigwa (kushoto) na Godbless Lema (katikati) ili waondoke nje ya viwanja vya Bunge mara baada ya Naibu Spika Job Ndugai (hayupo pichani) kuwaamuru watoke ndani ya Bunge leo baada ya wabunge hao kuvunja kanuni za Bunge za kuongea bila ruhusa ya Naibu Spika.

Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA) Godbless Lema akiingia ndani ya gari huku Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) akisubiri kuingia mara baada ya Naibu Spika Job Ndugai kuwaamuru watoke ndani ya Bunge leo baada ya wabunge hao kuvunja kanuni ya Bunge ya kuongea bila ruhusa kupata ruhusa ya Naibu Spika.

Askari Polisi wa Bunge wakihakikisha kuwa gari lililowabeba wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu, Mchungaji Peter Msigwa na Godbless Lema linaondoka nje ya viwanja vya Bunge mara baada ya Naibu Spika Job Ndugai kuwaamuru watoke ndani ya Bunge leo baada ya wabunge hao kuvunja kanuni za Bunge za kuongea bila ruhusa ya Naibu Spika.
Picha na Anna Nkinda - Maelezo
16511139-3337451068655728548



Posted by Site Developer at <a class="timestamp-link" href="http://latestnewstz.blogspot.com/2011/07/hali-ilivyokuwa-bungeni-dodoma-leo.html" rel="bookmark" title="permanent link" style="text-decoration: none; color: rgb(13, 12, 14); "><abbr class="published" title="2011-07-28T16:12:00+03:00" style="border-top-style: none; border-right-style: none; border-bottom-style: none; border-left-style: none; border-width: initial; border-color: initial; ">4:12 PM</abbr> Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Google Buzz <iframe allowtransparency="true" frameborder="0" hspace="0" id="I1_1311872732756" marginheight="0" marginwidth="0" name="I1_1311872732756" scrolling="no" src="https://plusone.google.com/u/0/_/+1/fastbutton?url=http%3A%2F%2Flatestnewstz.blogspot.com%2F2011%2F07%2Fhali-ilivyokuwa-bungeni-dodoma-leo.html&source=blogger&size=medium&count=true&db=1&hl=en&jsh=r%3Bgc%2F22654851-b4931a44#id=I1_1311872732756&parent=http%3A%2F%2Flatestnewstz.blogspot.com&rpctoken=449218856&_methods=onPlusOne%2C_ready%2C_close%2C_open%2C_resizeMe" tabindex="-1" vspace="0" width="100%" style="left: 0px; top: 0px; width: 90px; height: 20px; position: static; visibility: visible; "></iframe>



 
Kuna tatizoooo?????

Ndio kuna tatizo la kupost sred ambayo ni incomplete. Hii ni Jamii photo na hajaweka picha yoyote zaidi ya kufanya matangazo ya blog yake.

Walau angeipeleka post hii kwenye jukwaa la matangazo or so...
 
Back
Top Bottom