hii ni ile ya zamani mkuu,ebu chunguza kama hii mpya inayo hiyo Chukua Chako Mapema
Mpya iko hapa link BBC NEWS | Africa | Tanzania's leader snubs new jetYA SASA ( gufstream 550) NI 5H-ONE.
Kitendop cha kuipa registration ya mabwepande ndege ya Wakala wa Ndege za Serikali (TGFL) ni uzandiki na kulewa madaraka.
Labda wajuzi wa usajili wa vyombo vya anga watusaidie juu ya usajili huo hasa neno CCM,twajua Tanzania usajili wa ndege ni 5H- ,ila CCM hapo sijaelewa
Nasikia mzee mchonga alipewa zawadi na malkia akaamua kuitoa kwa chama