nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
TUESDAY, JANUARY 29, 2013
Tulimchukia NYERERE sababu kila mtu alinyimwa MOJA ya UHURU kwenye jamii yake WENGINE wakakubali WENGINE hakukubali... lakini tulikuwa na amani asilimia 90%...
Sasa; Tunataka kuwapa kila MTU UHURU wake... HAIWEZEKANI ndio Maana inaitwa DEMOKRASIA ya KATIBA; NENDA MAREKANI UONE katiba yao ni ya 1870 lakini hadi leo nenda barabarani mkiwa kumi muanze kuitukana serikali MUONE MTAISHIA wapi; hata hamtapata MAHAKIMU wa kuwatetea...
Angalia sasa hivi kila mtu anadai chake kwa nguvu... hii ni sababu ya MADARAJA MATATU nini???
Tulimchukia NYERERE sababu kila mtu alinyimwa MOJA ya UHURU kwenye jamii yake WENGINE wakakubali WENGINE hakukubali... lakini tulikuwa na amani asilimia 90%...
Sasa; Tunataka kuwapa kila MTU UHURU wake... HAIWEZEKANI ndio Maana inaitwa DEMOKRASIA ya KATIBA; NENDA MAREKANI UONE katiba yao ni ya 1870 lakini hadi leo nenda barabarani mkiwa kumi muanze kuitukana serikali MUONE MTAISHIA wapi; hata hamtapata MAHAKIMU wa kuwatetea...
Angalia sasa hivi kila mtu anadai chake kwa nguvu... hii ni sababu ya MADARAJA MATATU nini???
Kwa hili sina budi nikupongeze. Umeongea point pamoja na kwamba wakati mwingine huwa unaongea kama hufikilii vile.
Mimi nafikili nchi iko kwenye mpitio wa jamii kuelekea kufahamu mipaka ya uhuru wao kidemokrasia. Na kwa kufanya hivyo, tutaona vituko vingi sana.Watanzinia walio wengi kwa sasa kama ndiyo wanafumbua macho na kukuta vitu vingi mezani vinavutia na wanashindwa kuchagua kipi kizuri na kipi kibaya.
Somo la uraia lisilokuwa distorted ni muhimu sana kwa sasa Tanzania otherwise, nguzo zote za ulinzi nchini zitatikiswa sana.
Cha kushangaza, eti watu wanaandamana kwenda polisi kupata maelezo. Hii kwenye nchi waasisi wa demokrasia huwezi fanya utaishia mikononi mwa polisi halaka sana. Kesho yake unapelekwa mahakamani, unasomewa shitaka na kusubiri huruma ya hakimu.
Tutafika tu.
usiwe mtumwa wa mawazo wa nchi za kigeni huo ni ujinga unajilinganisha na marekani nchi iliyoendelea na wewe ukiwa bibi, kaka, mama, dada,baba wanatumia kibatari na wewe ukiwa naumeme wa mawazo huku njaa kama kawaida watu wanakufa kila kona, elimu ndio usiseme form 4 nikama darasa la 7 acha ujinga kabisa mkuu