Picha: Kijana wa miaka 10 kutoka Kigoma afumbua simu!!

Jambazi

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
16,642
18,643
main-qimg-523cbf2c9ff00e80c8d708669a9a4b58
Picha kwa isani ya Reuters
 
miaka 10,ni mtoto ama kijana?


zi;14287799]
main-qimg-523cbf2c9ff00e80c8d708669a9a4b58
Picha kwa isani ya Reuters[/QUOTE]
 
Hicho nacho ni kipaji. Acheni kuwabeza watoto wadogo wanaoonyesha ubunifu.
 
Hicho nacho ni kipaji. Acheni kuwabeza watoto wadogo wanaoonyesha ubunifu.

Mkuu, hizo tumetengeneza sana enzi hizo. Ni models za vitu halisi vilivyopo na sio ubunifu mpya. Nakumbuka tulitengeneza wanyama kama ng'ombe, mbuzi kwa udongo; Magari pia kwa udongo na waya, bila kusahau binadamu, samani au vyombo vya ndani. Nk...

Ukiangalua tofauti ni kuwa tulitengeneza models ya vitu vilivyotuzunguka ama kuviona. Ndo maana sijataja smrtphone ... Dogo katengeneza model ya smartphone kwa kuwa ni common sasa hivi. Sisi hakukuwa na simu za viganjani.
 
Mkuu, hizo tumetengeneza sana enzi hizo. Ni models za vitu halisi vilivyopo na sio ubunifu mpya. Nakumbuka tulitengeneza wanyama kama ng'ombe, mbuzi kwa udongo; Magari pia kwa udongo na waya, bila kusahau binadamu, samani au vyombo vya ndani. Nk...

Ukiangalua tofauti ni kuwa tulitengeneza models ya vitu vilivyotuzunguka ama kuviona. Ndo maana sijataja smrtphone ... Dogo katengeneza model ya smartphone kwa kuwa ni common sasa hivi. Sisi hakukuwa na simu za viganjani.
Unapomuona mtoto anajighulisha na mambo kama hayo inafaa umpe hamasa aendelee badala ya kumbeza. Huo ndio mwanzo wa ubnifu. Ndio maana taifa haliendelei. Kila kitu tunataka kuchomekea ushabiki wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom