Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
- Thread starter
- #21
Heartless beasts, siku yao inakuja, Mungu atawahukumu na wao kwa kuwaua watoto na watu wasio na hatia wa Kipalestina; kwani wao hawana haki ya kuishi dunia hii? Pain that will never go....God please intervene on their behalf maana America and its allies wanawapa sana kichwa hao waisrael....
Amin