Ndugu yangu Kivumah, hawawataji kwa vile wanajua hawa jamaa ni wauaji. Ukionyesha dalili za mdomo mrefu utakuja uwawa huko huko selo. Kinacho nishangaza mkuu ni kuwa tunapiga kelele kuwa mpaka mtoto wa nanihii yupo kwenye biashara hii lakini hakuna anayejali wala kutikisika. Hiyo ni kashfa mbaya sana,ingekuwa nchi za wenzetu angejitokeza na kujisafisha au kama kuna ukweli hata baba yake huyo nanihii angeachia ngazi. BUT NOT IN THIS COUNTRYMkuu Chakaza sawa inawezekana hao wazito hawakamatiki lakini Vijana hawa wanaofanywa Punda ni watoto wetu/wadogo zetu/marafiki zetu basi tuwaambie WAKATAE kufanywa Punda, WAKATAE kuuziwa madawa. Hii iwe ni kampeni ya kitaifa kama zilivo kampeni nyingine kama za kupima kupima Ukimwi, malaria n.k
Halafu kinachonishangaza hawa vijana wakikamatwa huwa hawawataji wanaowatuma Kwanini?
Ndugu yangu Kivumah, hawawataji kwa vile wanajua hawa jamaa ni wauaji. Ukionyesha dalili za mdomo mrefu utakuja uwawa huko huko selo. Kinacho nishangaza mkuu ni kuwa tunapiga kelele kuwa mpaka mtoto wa nanihii yupo kwenye biashara hii lakini hakuna anayejali wala kutikisika. Hiyo ni kashfa mbaya sana,ingekuwa nchi za wenzetu angejitokeza na kujisafisha au kama kuna ukweli hata baba yake huyo nanihii angeachia ngazi. BUT NOT IN THIS COUNTRY
Kuna mmoja walimnusuru kule China kisha Ntwara wakalia!