Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,513
- 220,212
Umefanya kazi ya kutukuka sana ! Hakika kuna siku Mungu atakurudishia jasho lako.
Umeandika jambo zito sana .CCM imesababisha maafa makubwa sana Kilombero .. Huu ni wakati wa kuingoa na kasha kuizika kabisa ... Migogoro ya wakulima na Wafugaji sasa basi...
hakuna shaka tutaendelea kuwasiliana.Next time tupeane taarifa mapema ili tuweze kuchangia pesa za mafuta , magari au vyote kwa pamoja kutegemeana na mahitaji , ukombozi ni lazima .