MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,378
Last edited by a moderator:
namwawala, kisegese, godown ccm wameshinda cdm tumeshinda kijiji cha KALIA GOGO.Mkuu Lua, vipi pale Namwawala na vitongoji vyake? Nipe taarifa tafadhali.
MERERA nilifika hapo inapoiona gari inapita kwy tope ni njia tunatoka chita kuja MERERA ambapo njia ni mbovu balaa, na kiji tumeshinda na kiji cha MSITA nako tumeshinda.sawa kamanda, nasis tulipiga hapo kotako, ikule, mguden,kimbi,nakaguru nk vp ulibahatika kufika kijiji cha merera kipo kata ya chita. kamanda jamaa walituelewa sana baada ya kuwakataza kulipa mchango wa mwenge ambao walikuwa wananyanyaswa nao sana, natukawaambia hakuna sheria inayomlazimisha mtu kufanya hvyo ikitokea wamewakamata muwaambie twenden mahakaman, nasis makamanda tutawafuata huko. toka hapo hawajanyanyaswa tena nawalitupigia sm wako huru hawajifich tena. nawakafanya mabadiliko makubwa kwenye uchaguz kwa kutoa ukolon wa magamba. makamanda hutulal mpaka kieleweke.
namwawala, kisegese, godown ccm wameshinda cdm tumeshinda kijiji cha KALIA GOGO.
namwawala, kisegese, godown ccm wameshinda cdm tumeshinda kijiji cha KALIA GOGO.
Hakuna cha maana alienda kuuza sula tu ndiyo maana hata uandishi wake ni mithiri ya mtu aliyevuta.
Hakuna cha maana alienda kuuza sula tu ndiyo maana hata uandishi wake ni mithiri ya mtu aliyevuta.
Hakuna cha maana alienda kuuza sula tu ndiyo maana hata uandishi wake ni mithiri ya mtu aliyevuta.
Pole mkuu maumivu yakizidi muone daktari.Hakuna cha maana alienda kuuza sula tu ndiyo maana hata uandishi wake ni mithiri ya mtu aliyevuta.
pamoja makamnda.Hongera sana Kamanda.
Much Respect.....!!!!!
inshallah!Umeifanya kazi kwa Vitendo Mungu Akubariki.
pamoja mkuu.Salute kwako mkuu
ahsante but pamoja tutashinda.Hongera sana mpiganaji kwa kuliongoza jahazi na kuyatokomeza hayo magugumaji yanayotunyonya kwa zaidi ya miaka 50
kile kijiji kimoja hatujafanya uchaguzi kipo Idandu sababu kuna kesi kati ya wananchi na serikali sababu wanasema kijiji hicho sio kijiji bali ni eneo ambalo amepewa mwekezaji.Dah ! Hawa ndugu zangu wamewapa tena magamba ! Kulikuwa na Kitongoji kilikuwa chini ya ÇDM yaani magamba wamerudisha? Mbaya sana.
Hata hivyo kazi nzuri sana jitahidini kuitokomeza CCM katika uchaguzi mkuu Ujao.