Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli...kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Kwani Goal.com Magwiji wa soka toka UK wanasemaje?Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Upone, bahati yako huwa sibeti lakini nilikuhakikishia kuwa Tp Mazembe si wa mchezo mchezo hadi uamini hawatafuzu nusu fainali CAFCL sababu tu hakuwafunga Petro De Luanda kwao DRC, nadhani umeshuhudia sasaPrincipal gani hiyo kwenye phyics, hapo tu inatosha kuonesha wewe fizikia huijui.
Sidhani kama unajua lolote kuhusu physics...Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Aahh.. umeshinda mkuu.Upone, bahati yako huwa sibeti lakini nilikuhakikishia kuwa Tp Mazembe si wa mchezo mchezo hadi uamini hawatafuzu nusu fainali CAFCL sababu tu hakuwafunga Petro De Luanda kwao DRC, nadhani umeshuhudia sasa
wewe umekariri,hujasoma...tanzania hatuna wasomi usilete ujinga hapaTuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Physics ya wapi hiyo?Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Hivi physics ina principal ngapi na hii unayoongelea ni ya ngapi?Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Savers ni mali yako wewe binti?Mnatujazia Seva za Jamii Forum
Simba yanga simba yanga.
Timu zenyewe zote OUT.