Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,646
Inawatafuna haswa hawana hamu na ujinga waoHaya sawa, sisi CCM hizo bei hazituhusu tuna sheli zetu kila makao makuu ya Chama Wilayani tunapewa kwa bei ya Ruzuku Lita moja buku.
Inawatafuna haswa hawana hamu na ujinga waoHaya sawa, sisi CCM hizo bei hazituhusu tuna sheli zetu kila makao makuu ya Chama Wilayani tunapewa kwa bei ya Ruzuku Lita moja buku.
Huchumi sasa hunakwenda vizuli na bei ya mafuta inawakatisha tamaha wananchi. Watu wengi wanafulahia ali ya behi ya mafuta na isitoshe mama tutamupa kula 2025. Iyo aina ubishi. Hukitaka jinyonge. Mushamba nyinyi. Ongela chama tawara.
Kwa kilimanjaro imepanda tena 30shShilingi 7 na 74. Lakini mlivyoandika utadhani imeshuka shilingi mia tano.
Yaani ni mambo ya hovyo snShilingi 7 na 74. Lakini mlivyoandika utadhani imeshuka shilingi mia tano.