King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,643
Kuna rafiki yangu kutoka japani amenitumia Gari GX110 D-4 Engine sasa nisingeweza kulikataa,Je sehemu gani wanauza mafuta yasiyochakachuliwa?
Kuna rafiki yangu kutoka japani amenitumia Gari GX110 D-4 Engine sasa nisingeweza kulikataa,Je sehemu gani wanauza mafuta yasiyochakachuliwa?
PUMA..., Zamani BP iliyopo pale nyuma ya ofisi za jengo la ex-telecom au nyuma ya jengo la ofisi za TRA samora..., jamaa wazuri sana.
kwani wewe uko wapi!!unaweza kujaribu kituo cha pale msoga!
ha ha ha ha ha!!hata dar kubwa kwani naweza kukuelekeza kituo kilichopo gongolamboto wakati wewe uko bunju!!Haaaaaaa By Default mtu asipoweka location basi ujue yupo Dar-es-salaam,si unajua tena jiji kubwa watu wanauza viwanja,mafriji,deck mradi wapate nauli ya kuja dsm(by mpoki)
King Kong III eti nisingeweza kulikataaa!!!!! D 4 kimeo bandugu lakini usiogope kama umeshagundua engine hiyo mwiko wake ni mafuta ya kuchakachua basi siyo shida.Kuna rafiki yangu kutoka japani amenitumia Gari GX110 D-4 Engine sasa nisingeweza kulikataa,Je sehemu gani wanauza mafuta yasiyochakachuliwa?
ha ha ha ha ha!!hata dar kubwa kwani naweza kukuelekeza kituo kilichopo gongolamboto wakati wewe uko bunju!!
Kuna rafiki yangu kutoka japani amenitumia Gari GX110 D-4 Engine sasa nisingeweza kulikataa,Je sehemu gani wanauza mafuta yasiyochakachuliwa?
Mkuu, KK3, hongera kwa zawadi, kama rafiki unae na usimwangushe. Ushauri tu kwangu ni kwamba weka mafuta popote tu ila hakikisha unatembea na carton yako moja ya nosel and engine cleaner kwenye boot ya gari. Kila utakapoweka wese unamwaga kichupa kizima kwenye tank. Ndio tunavyoishi hapa mjini.Kuna rafiki yangu kutoka japani amenitumia Gari GX110 D-4 Engine sasa nisingeweza kulikataa,Je sehemu gani wanauza mafuta yasiyochakachuliwa?
Mkuu, KK3, hongera kwa zawadi, kama rafiki unae na usimwangushe. Ushauri tu kwangu ni kwamba weka mafuta popote tu ila hakikisha unatembea na carton yako moja ya nosel and engine cleaner kwenye boot ya gari. Kila utakapoweka wese unamwaga kichupa kizima kwenye tank. Ndio tunavyoishi hapa mjini.
BP Mwenge, Bonjour Mcity (sema hawa nao siwaelEwi) Engene
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hahahahahaha....D4 engine.....umepewa bure au?
@ kingkong...utakuwa unaenda huko kila siku ? hahahahhaha one day utawekewa ya kuchakachuliwa tu
Kamwe usijaribu Camel Oil au Oilcom.Kaka jaribu tuone hapo Camel Oil maeneo ya kibaha na morogoro kama unaenda kihonda ni wazuri sana. (utarudi umeshusha tanki la mafuta lisafishwe!!!!!)