Petition: Tanzania should host CAN 2020!

Kiaranga,

Tanzania iwewahi kuandaa vitu vingapi? je masuala ya maji na umemem hayakuwapo mawazoni mwa waliotuletea Sullivan au Bunge la Jumuiya ya Madola?

Mikutano ni tofauti na events za michezo. Kwa mfano, hata media coverage ya hiyo miktano ni tofauti kabisa na media coverage ya michezo/ mashindano ya kimataifa.

Mimi hapa naungana na Kiranga. It's a damn shame kwamba watoto wetu wanasomea chini ya miti na kwenye vibanda halafu watu mnafikiria kutumia mabilioni kuandaa michezo ya kimataifa. It's a damn shame wagonjwa wanala chini sakafuni halafu watu wanafikiria kuandaa michezo. I mean, come on son, what is more pressing?

Sana sana ku host hayo mashindano kutakuwa fursa ya mafisadi kutufisadi zaidi with impunity.
 
Traffic jam is one of the main problems in organizing soccer tournaments, ask South Africa!
 
Licha ya traffic jam, hizo barabara zipo? Mungu pishia mbali mvua isinyeshe maana mafuriko yanatokea hata kwa mvua ya kiasi cha 1mm.


Bado sana kwa Tanzania kuhost mashindano ya kimataifa. Hatuna miundo mbinu.
 
Atlanta ili host Olympics mwaka 1996 lakini mpaka leo hii karibu miaka 14 gharama yake haijarudishwa!!
 
Think about what will these events bring to a city such as Mwanza, Mbeya, Zanzibar, Dodoma, Morogoro or Kigoma.

You are all limiting your thinnking into the Stadium forgeting that the pre-qualification to host such games is to have sound infrastructure such as roads, railways, electricity, water and other services such as hospitals, emergency services, hotels, restaurants and touristic attractions!

Development can be brought about in many ways, and this one of hosting such prestigious international sports events, will open a million doors of opportunity!

For once put aside the cries about desks or vaccines, we are close to 50 yearsof self governinig and we are yet to master the art of making a desk and chair.

However, there are other areas that should not be held back simply because your kids are sitting on Vitofa!

Just imagine the flourishing of new opportunities and the deliverance of important things such as infrastructure to the Mikoas that will house the Indomitable Lions, Bafanabafana, The Eagles, Atlas Lions, THe Elephants or in higher event such as Azure, The three Lions or the Samba Kings!

With such massive projects, a shift of urbanization will emerged, from Dar Es Salaam to Mwanza, Mbeya and other areas! The road of development will be paved from Dar to Mwanza, Dar to Mbeya, the ferry to Zanzibar will be improved, new airports in general hubs of Tanzania!

Let the games come to Tanzania! Trust me, we can do it and we will come out Kidedea!
 
Nadhani hoja ya Reverend kimsingi siyo hoja ya michezo ni hoja ya uongozi. NInavyomwelewa ni kuwa kwa vile hawa watawala wetu hajaamua kufanya jambo lolote of high intensity, expectation and challenge ni bora kuwapa kitu kitakachowalazimisha kuonesha uongozi. Na kwa vile mambo ya kawaida ya kujenga taifa kwao yanaenda kwa mwendo wa konokono na ni mashabiki sana wa michezo (kama tulivyoona wiki chache zilizopita) basi ni bora tutumie michezo kumkaanga papa kwa mafuta yake.

HOja yake iko hivi:

a. Watanzania wanapenda michezo, na viongozi wao vivyo hivyo.

b. Kwa vile michezo ya kimataifa ina kawaida ya kuwafanya viongozi kuonesha sura nzuri ya nchi zao.

c. Kwa vile michuano ya kimataifa hudumu kwa muda mrefu zaidi na hivyo kwa asili huitaji miundo mbinu mingi n.k

basi;

a. Tukubali kuandaa mashindano ya kimataifa ambayo huweza kufanyika kwenye zaidi ya mkoa mmoja (CAN kwa mfano).

b. Tukisema mashindano hayo yatafanyika mikoa mitano ya Tanzania.

c. Viongozi itabidi waanze kufikiria maandalizi ya venues hizo na infrastructures zitakazo support sehemu hizo; vitu kama barabara, viwanja vya ndege, mahoteli, sehemu za burudani, usalama n.k

d. Katika kufanya maandalizi hayo viongozi wetu watalazimika kumeet viwango vya kimataifa vya mambo mbalimbali ili kuweza kuvutia mashindano ya aina hiyo.

TATIZO: Too much responsibility and expectation; viongozi wetu hawapendi mambo magumu na yenye changamoto kama haya; wamezoea vile vya kunyonga, vya kuchinja huwa vinaruka ruka. Tusije kukaribisha mashindano ya kimataifa halafu uwanja ukawaporomokea watu, kuita fire mnatafuta Ultimate Security!!

But somebody help me out.. Imewezekana vipi Angola nchi iliyodumu kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe karibu miaka 20 kuweza kuandaa mashindano haya? Je nikiwaambia kuwa Rwanda itaanda CAN kabla ya Tanzania mtabisha? well at your own peril.

My dear reverend, your trying to bring logic to bear in this situation; unfortunately, with the Tanzanian leadership logic does not apply. Any attempt to use logic and rational thoughts will be the proverbial "exercise in futility". Kwa kiswahili wanasema ni "kutwanga maji kinuni" au "kumpigia mbuzi gitaa"
 
Nadhani hoja ya Reverend kimsingi siyo hoja ya michezo ni hoja ya uongozi. NInavyomwelewa ni kuwa kwa vile hawa watawala wetu hajaamua kufanya jambo lolote of high intensity, expectation and challenge ni bora kuwapa kitu kitakachowalazimisha kuonesha uongozi. Na kwa vile mambo ya kawaida ya kujenga taifa kwao yanaenda kwa mwendo wa konokono na ni mashabiki sana wa michezo (kama tulivyoona wiki chache zilizopita) basi ni bora tutumie michezo kumkaanga papa kwa mafuta yake.

HOja yake iko hivi:

a. Watanzania wanapenda michezo, na viongozi wao vivyo hivyo.

b. Kwa vile michezo ya kimataifa ina kawaida ya kuwafanya viongozi kuonesha sura nzuri ya nchi zao.

c. Kwa vile michuano ya kimataifa hudumu kwa muda mrefu zaidi na hivyo kwa asili huitaji miundo mbinu mingi n.k

basi;

a. Tukubali kuandaa mashindano ya kimataifa ambayo huweza kufanyika kwenye zaidi ya mkoa mmoja (CAN kwa mfano).

b. Tukisema mashindano hayo yatafanyika mikoa mitano ya Tanzania.

c. Viongozi itabidi waanze kufikiria maandalizi ya venues hizo na infrastructures zitakazo support sehemu hizo; vitu kama barabara, viwanja vya ndege, mahoteli, sehemu za burudani, usalama n.k

d. Katika kufanya maandalizi hayo viongozi wetu watalazimika kumeet viwango vya kimataifa vya mambo mbalimbali ili kuweza kuvutia mashindano ya aina hiyo.

TATIZO: Too much responsibility and expectation; viongozi wetu hawapendi mambo magumu na yenye changamoto kama haya; wamezoea vile vya kunyonga, vya kuchinja huwa vinaruka ruka. Tusije kukaribisha mashindano ya kimataifa halafu uwanja ukawaporomokea watu, kuita fire mnatafuta Ultimate Security!!

But somebody help me out.. Imewezekana vipi Angola nchi iliyodumu kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe karibu miaka 20 kuweza kuandaa mashindano haya? Je nikiwaambia kuwa Rwanda itaanda CAN kabla ya Tanzania mtabisha? well at your own peril.

My dear reverend, your trying to bring logic to bear in this situation; unfortunately, with the Tanzanian leadership logic does not apply. Any attempt to use logic and rational thoughts will be the proverbial "exercise in futility". Kwa kiswahili wanasema ni "kutwanga maji kinuni" au "kumpigia mbuzi gitaa"

Mwanakijiji you got the gist of it all.

The good Rev. is either being extremely naive or being extremely naive.
 
Omega,

Atlanta had everything, Mwanza, Mbeya and Morogoro have nothing! That is the difference!

True, Atlanta had everything and added more but still they incurred a loss (of some sorts). I can't imagine us.....

Let's start with first things first. Let's take care of our children. Let's make sure we have the most basic needs taken care of and then we can go on to hosting such events.

It would be a misuse of resources to host such events when kids don't even have desks or chairs to seat on at school. So don't get me wrong. I'm not completely opposed to the idea. In fact it is a great idea but at least we should start tackling the most pressing needs that we face. That would be the most judicious thing to do.
 
Mzee Mwanakijiji,

Viongozi wa Tanzania na Watanzania wengi wala hatukuuliza pesa zilipotoka kujenga uwanja mpya pale Chang'ombe, tuliusubiri kwa hamu na hata kama ni kupewa kibarua nina uhakika watu walifanya kazi kwa juhudi na maarifa ya juu tuwe na uwanja ulaya ulaya!

Sasa kuleta michezo hii ni sifa kisiasa na pia ni msukumo kwa Viongozi na Wananchi kuhamasisha maendeleo na ujenzi wa miundombinu.

Tukishajenga reli mpya ya mwendo kasi wa kasi inayofika Mwanza kwa masaa 10, ili kusafirisha mashabiki waliokuja kutoka Ulaya na China kuangalia Olimpiki, wakishaondoka si reli hiyo itaendelea kufanya kazi na kutuhudumia?
 
Tukishajenga reli mpya ya mwendo kasi wa kasi inayofika Mwanza kwa masaa 10, ili kusafirisha mashabiki waliokuja kutoka Ulaya na China kuangalia Olimpiki, wakishaondoka si reli hiyo itaendelea kufanya kazi na kutuhudumia?

that is where you are making the greatest wrong assumption; wakishaondoka wachezaji na washangiliaji; na wakiondoka marefarii na waamuzi (I hope they are the same people) watatuachia reli, mabehewa na barabara nzuri. You know what this reminds me of? Kuondoka kwa wakoloni.

I bet you wakishaondoka tutatangaza tenda ya kuendesha shirika hilo la reli.. and guess who gonna win? Rites Consortium and guess where that will bring us? to that famous "square"..
 
I am really amazed at how an otherwise smart and articulate fellow as the right Rev. could get this so wrong.

Mwanakijiji has it, and so do the rest of the members on this thread.Rev, what is getting into you?

Is this some new type of a cleverly twisted satire that we cannot see through?

Please do not tll me you are serious.
 
I am really amazed at how an otherwise smart and articulate fellow as the right Rev. could get this so wrong.

Mwanakijiji has it, and so do the rest of the members on this thread.Rev, what is getting into you?

Is this some new type of a cleverly twisted satire that we cannot see through?

Please do not tll me you are serious.

Kwa hili mimi nam-support Rev. kwa sababu viongozi wetu lazima wawe na kitu cha kuwasukuma kwanza kabla ya kufanya jambo basi na sisi tutumie mwanya huo kujipatia maendeleo/miundo mbinu ya haraka.

Tukisema tusubiri mpaka tuwe na barabara nzuri, hospitali nzuri n.k., basi tusahau maana si siri wengi wetu tushakuwa wazee sasa na hatujaviona hivyo vitu. Hivyo basi naomba tuondokane na hii dhana ya woga, mbona Bukinafaso na Mali na hata Ghana walishaaandaa CAN kwani wametuzidi kitu gani cha ajabu?.

MKJJ unadhani ni lini/vipi tutajifunza namna ya kuendesha mashirika yetu wenyewe!, chonde chonde tusiogope kumpa mtoto maji kwenye glasi!!!:)

Amani
 
Kwa hili mimi nam-support Rev. kwa sababu viongozi wetu lazima wawe na kitu cha kuwasukuma kwanza kabla ya kufanya jambo basi na sisi tutumie mwanya huo kujipatia maendeleo/miundo mbinu ya haraka.

Ina maana umaskini tulio nao hautoshi kutusukuma kujiendeleza? SMH
 
Ina maana umaskini tulio nao hautoshi kutusukuma kujiendeleza? SMH

Hulka ya viongozi tunaowachagua ndio hiyo. Wacha barabara, viwanja vya ndege, mahospitali na mahoteli yajengwe haya yatasaidia kusisimua ukuaji wa uchumi kwa ujumla. Pia tusisahau kuwa hii ni fursa nzuri kwa sekta binafsi kujipanua kibiashara.
 
Kiranga,

Una uhakika kuwa hatuna fedha kwa ajili ya maendeleo ya jamii au tatizo ni utashi?

Sasa mkuu,kama huo utashi wa kuwekeza kwenye huduma muhimu kwa jamii hakuna,huo utashi wa ku-invest kwenye CAN utatoka wapi?

Kama ahadi ya JK kuleta Real Madrid iliota mbawa licha ya kuundwa kamati za kifisadi,kweli tutarajie ufanisi katika hili?

However,ni wazo zuri my only doubt ni hii mipango mbofu mbofu
 
..hivi India wamefika walipo kwa ku-host World tournaments za Cricket, au kwa ku-invest in Science,Technology, and Engineering?

NB:

..proposal ya Rev.Kishoka itakuwa na returns kubwa zaidi kama asilimia kubwa ya projetcs hizo itafanywa na makampuni ya Tanzania.
 
..hivi India wamefika walipo kwa ku-host World tournaments za Cricket, au kwa ku-invest in Science,Technology, and Engineering?

NB:

..proposal ya Rev.Kishoka itakuwa na returns kubwa zaidi kama asilimia kubwa ya projetcs hizo itafanywa na makampuni ya Tanzania.

Sio India tu, kuna zile Tiger economies...sijui wao wame-host nini?
 
Back
Top Bottom