Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
CCM ijitokeze ipambane majukwaani kwa hoja siyo kuiachia polisi kupambana na upinzani. Siasa za propaganda na kutegemea jeshi vinakizika chama.....
mabavu yapi unayosemea ww?
Wabane huko bungeni ili tupambane nao huku.mabavu yapi unayosemea ww?
Ila polisi wanamamlaka ya kukukamata kutokana na ulichokisema. Msigwa bwana.
WeweNani huyo msigwa?
Kule kwenye demokrasia, uchumi kukua na uzalendo wa kweli, ila kwa wenye 'akili nyembamba' kama wewe kamwe hawawezi kuelewa haya.utafika Na nani Na Ni wapi?
Kwa hiyo hata akisema wananchi pindueni serikali kazi Ya polisi iwe kumsikiliza tu? Hajui kuwa uhuru wa kuongea una mipaka? Chadema mna wabunge wa ajabu mnoUtawala wa mabavu
Nchi za Wenzetu kuna demokrasia sio Domokrasia. DOMO krasia ni uhuru wa kuongea chochote kisa tu DOMO ni jumba la maneno. Msigwa anachopigania ni DOMO krasia sio DEMO krasia.Kule kwenye demokrasia, uchumi kukua na uzalendo wa kweli, ila kwa wenye 'akili nyembamba' kama wewe kamwe hawawezi kuelewa haya.
Nyie subirini wale waarusha mnaowapa pesa wapande jukwaani na wakila kona na hela zenu mnamwita RC mpumbavu mbele ya hadhara
Dah! Nimejikuta napata nguvu dhidi ya andiko hili .... Linatia hamasa sana bigaup pastor MsigwaAnaandika Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Peter Msigwa.
Polisi hawawezi kunipangia nini cha kusema na wala sio majukumu Yao. Wamenikamata nikitimiza majukumu yangu ya kibunge! SITANYAMAZA!
My take:
Muda wa kuwabembeleza Jeshi la Polisi umepita, kwa sasa nilazima wajifunze kusikia yote, wanayoyapenda na yale wasiyoyapenda.
Inazidi kuthibitika kwamba sasa nchi yetu inageuzwa kuwa dola la kipolisi(police state) demokrasia yetu inazidi kuuwawa kwa nguvu kubwa ya vyombo ya dola, leo kukosoa serikali ni uhaini, kumkosoa rais eti ni usaliti, kila kitu serikalini eti kinatakiwa kufanyika kwa siri bila kuhojiwa?!!!
Sisi wengine tumechagua kuwa upande wa demokrasia, upande wa kupigania taifa huru na uhuru wa mawazo, kuhoji na kuhojiwa.
Mh Peter Msigwa hongera na hauko peke yako,tunajua hatari zilizoko mbele yetu kwa watala hawa wa sasa lakini tutapambana mpaka tone la mwisho la damu zetu.
Tanzania haiwezi kugeuzwa kuwa mali ya mtu binafsi na kikundi chake.
Tutashinda na tumesha washinda.
Kuwa mpinzani sio kigezo cha kutofuata taratibu na kanuni tuliojiwekea kama taifa,hawa watu wanarudisha maendeleo yetu nyuma
Acha hasira bwana mdogo huu mchezo hauhitaji hasiraAcha upumbavu wewe
Wewe ndio hujielewi wa kuiona serikali ni Mungu wasikosolewe!!! Mpuuzi wewe Msigwa ni mbunge wa upinzani na yupo kikatiba na kuikosoa serikali ni wajibu wakeAtajirekebisha tuu hatutaki wapinzani wasiojielewa
Utaratibu upi na mlijiwekea na nani?! Hapo hakuna kesiKuwa mpinzani sio kigezo cha kutofuata taratibu na kanuni tuliojiwekea kama taifa,hawa watu wanarudisha maendeleo yetu nyuma
Hata akiwa mbele utamla?! Mbona mmeshindwa kumla Lissu?!Wewe uko nyuma ya keyboard tu.
Wewe pia ni mtu usiejulikana unaandika uharo kwa Id fake utajulikana vipi?Hizi nguvu wanazotumia kupambana na upinzani wangetumia kupambana na watu wasiojulikana tungewaona wa maana ila kupambana na wanasiasa ni jinsi gani hawajielewi wanafanya kazi kwa maagizo