Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
:sad:Ni ukweli usiopingika kuwa mtu asiye na uhakika wa kula, kuvaa, kusoma/kusomesha, kutibiwa, kulala, n.k. hawezi kuwa na amani!! WaTZ tunaambiwa kila kukicha kuwa nchi yetu ina amani wakati aslimia kubwa ya watu wetu hwani amani kwa vile wanakosa mahitaji yaliyotajwa hapo juu. Watu wa Misri na Tunisia walikuwa au wana afadhali sana ukilinganisha na sisi kimaisha, lakini wamethubutu kufanya walioyafanya. Sisi vipi?
Nawakilisha:sad:
Nawakilisha:sad: