newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Leo ,dogo hapa home kaniacha mdomo wazi,
nafika anasema PIPOZ PAWA, ana umri wa mwaka 1 na nusu tu
anasoma vidudu/day care, nahisi mwalimu wao anawafundisha itikadi za chadema.
hii imenikumbusha miaka ya enzi zetu za chipukizi.
nafika anasema PIPOZ PAWA, ana umri wa mwaka 1 na nusu tu
anasoma vidudu/day care, nahisi mwalimu wao anawafundisha itikadi za chadema.
hii imenikumbusha miaka ya enzi zetu za chipukizi.