Kardinali Pengo: Wanasiasa waacheni Maaskofu wafanye kazi zao, msiwafundishe kazi

Mimi ni Mkatoliki lakini tangu karipio la Askofu Gwajima litoke Askofu wangu Pengo sitokaa nimwamini tena ndo basi yaani!
.
pengo ameonyesha udhaifu ule ule uliofanywa na makasisi wa Rwanda kwa ku-side upande wa watawala fisadi badala ya kuwa sauti ya voice less yaani wasio na wa kuwaseme.
hivi ingekuwa je kana Bwana wetu Yesu Kristo angeshikamana na watawaka na kuwaacha wonyonge wote waluosetwa?. oooh naabudu chini ya miguu ya nwenye haki Yesu. na nwanadamu abaki kuwa mwanadamu tuu. ameonyesha usaliti wa maskini wasio na mtetezi dhidi ya mamlaka dhakimu.
.
 
Kwa hulka na silika ya mwanadamu huwa ni mtu wa kujisahau sana.

Nakumbuka kwenye msiba wa aliyekuwa askofu mkuu wa kanda ya ziwa baba askofu mayala baba asikofu pengo alitamka maneno yafuatayo.

Nanukuu:
Serekali haiwezi kuingilia mambo ya dini,serekali haipaswi kuwafundisha viongozi wa dini namna ya kuubiri neno la yesu,akimanisha injili,injili ni neno la mungu halitakiwi kuongezwa kitu wala kupunguzwa,tena alienda mbali zaidi na akatolea mifano nchi za kipepari na nchi za kikomnist.

Nanukuu mapepari japo wana dhambi lkn wanaamini kuwa kuna aliyeko juu yao ambaye ni mungu baba,wakomunisti hawamini dini na kutokuamini kwao hamna dini pia wanaamini kuna mungu,sasa juzi baba askofu amekubali serekali iwafundishe viongozi wa dini namna ya kuhubiri neno la mungu (injili) ndio maana nimesema binaadamu ni watu wa kujisahau sana na ndio maana huwa wanatenda dhambi kila wakati.

Baba askofu aliyasema hayo kwenye msiba wa baba askofu mkuu kanda ya ziwa,tena raia kikweke alikuwepo na viongozi wengine wengi tu,akiwemo na sita membe wasira na wengine wengi tu,baba askofu alitamka hayo akiwa anajibu kauli ya mh:rais kikweke kwenye kampeni za mwaka 2010 baada ya baraza la maskofu tanzania kutoa waraka wa kinabii unahusu uchaguzi mkuu mwaka 2010.

Kwa wali wasikumbuka waraka ule ulileta mgongano mkubwa sana kati ya mzee kingunge na kanisa katoliki.

Sasa cha kushangaza mtu yule yule amebadilika,amewajeka wenzake,kwa kifupi amelijeuka baraza la maskofu tec kwa kisingizio cha kutoa maoni yake binafsi lkn tufanyeje ndio kiongozi wetu na ni mtu mzima hawezi kuomba msamaha hadharani,kiafika huwa baba haombi msamaha kwa na ss tunamsamehe

Mkuu,
Kwanza, Unapoandika jina la MUNGU aliyehai, tumia herufi kubwa. Huyu sio kama mungu wa alshababu na al-wengine.

Pili, Hata Papa Benedicto alifika mahali akachoka akaamua kupumzika. Nina taarifa hata Papa Fransis anampango huo baada ya kuona ni busara kupumzika na kuruhusu fikra na nguvu mpya.

Nadhani busara hii ingewafikia pia viongozi wetu wa kanisa!
 
Muwadhama Polycarp Kardinali Pengo anazungumza katika mazishi ya Askofu Mayala Mwanza ambako anazungumzia ufisadi na maovu mengine, lakini anaonekana kukemea ufisadi huku akionekana kuwabeza wanaopambana na ufisadi. Iko live Star TV. Yuko JK na Mkapa
Acheni ushabiki wa kijinga..kakosea nini sasa hapo....Mbona mifano ipo Sasa aliyeandika report ya escrow naye kapokea rushwa halafu anataka faidika na huo ufisadi. Sasa hii itaishia wapi?Takukuru wanasaidia ufisadi halafu nao wanataka kuwa wapiga vita ufisadi....NINI KIGUMU HAPO JAMANI KM SI KUWA NA AKILI YA KUZIMA?sasa km mtu huwezi acha kufisadi ili uweze piga ufisadi utafanikiwa vipi?
 
Muwadhama Polycarp Kardinali Pengo anazungumza katika mazishi ya Askofu Mayala Mwanza ambako anazungumzia ufisadi na maovu mengine, lakini anaonekana kukemea ufisadi huku akionekana kuwabeza wanaopambana na ufisadi. Iko live Star TV.

Yuko JK na Mkapa

Asikofu anachekesha sana kama sio kuhuzunisha,yaani wanaokemea ufsadi ni bora waache kwa kuukemea ufsadi kwani tangu waanze kuukemea haujawahi kupungua ama kuachwa kabisa.

Askofu kadnari pengo hayo ni maneno ya mtu mkubwa katka imani ya kiristo akitamka maneno hayo na kuna baadhi ya watu wanaona yuko sawa.

Jaribu kujiuliza tangu dini zilianza hadi leo viongozi wa kidini wamekua wakikemea uzinzi,uongo,wizi,dhuruma na rushwa lakini hadi leo maovu hayo yamekua yakishamili na kuongezeka kwa kasi ya ajabu pamoja na kukemewa,mbona viongozi wa dini hawajahi kuacha kukemea maovu hayo?Na ndiyo logic ya askofu Pengo. soma Kitabu cha methari ya waumini 1 inasema mpumbavu husadiki kila jambo bari mwenyehekima hutafari.
 
Pengo asiwachagulie watu mambo ya kuyachukia, yeye aishie kufundisha tu. SI SAHIHI VIONGOZI WA DINI KUWACHAGULIA WATU MAMBO YA KUYACHUKIA NA KUYAPINGA. WAO WAISHIE KUFUNDISHA TU KUHUSU UOVU NA HATARI ZAKE, ROHO MTAKATIFU NDIYE ATAKAYEWAONYESHA WATU MAMBO YA KUYAHUKIA NA WAKATI WA KUYACHUKIA NA KUYAPINGA.
VIONGOZI WA DINI WASIJIPE MAMLAKA YA KUWACHAGULIA AU KUWALAZIMISHA WATU KUHUSU MAMBO YA KUPINGA.
 
Hebu tuambie wale waumini wanaokula tigo, wazinzi, waasherati wezi, askofu pengoo huwa anawaambia wasome injili alafu waamue wenyewe kuenedelea na tabia zao au huwa anawaelekeza cha kufanya kulingana na maandiko ya matakatifu,

hivi huyu askofu pengo tangu mchakato unaanza mpaka unahitimishwa BMK yeye alikuwa wapi ?? alikuwa hija vatican??

hakuona uharamia wowote ule uliofanywa na mafisadi wenzie hadi atoe ushauri wa kijinga kama ule??
mbona hajatoa tamko kashfa ya escow
, katiba ya kifisadi imemuuma saana, huyu jama ana walakini tumemjua mapema

Mliberal, Hivi unaweza kukubaliana na mimi kwamba Pengo hakusema waamini WASIPIGE KURA YA HAPANA? Alichosema yeye anaona tamko la maasikofu limekwenda mbali kidogo kwa kuwaamulia waamini wa pige kura gani, tena alisema anakubaliana na yote yaliyo andikwa kwenye waraka huo, isipokuwa tu kuwaamulia waumini nini chakufanya. Kwa nafasi yake huoni kwamba Pengo alikuwa sahihi kwa upande wake?

Ilikua rahisi sana, mimi na wewe hata kama si mkristo uisome katiba, uipime kulingana na maslahi ya Taifa na hata kwa matakwa yako na jamii yako, then uamue sasa uipigie kura ipi.

Unajua watu wengi wanahukumu bila kuisoma katiba, sisi ni wavivu wa kusoma lakini tunafuata tu mkumbo, wachache sana wanao weza kuikosoa katiba kwa vifungu vilivyomo ndani yake, wengi tunageneralize tu katiba nzuri au katiba mbovu wakati hatujui kilichomo
 
Malinyingi...usemayo ni sahihi kabisa.Pengo alikuwa sahihi kwa maneno yake.Je...ni kwa nini yeye kama kiongozi asiseme maneno hayohayo kwa viongozi wa siasa..Sasa katiba ni kama yanga na simba ushabiki umejaa na matokeo yake ni matatizo
 
Kuna tofauti kati ya Pengo wa 2009 na pengo wa 2018.
Sirudi kwenye uzi. Wewe si ndio unaongoza kwa kukashifu uislam? Kila uzi ukibandikwa humu unapost manyama ya nguruwe na majitu yasiyoeleweka. Ndio na mimi kila uzi ukija unaohusu ukristo lazima nimwage mboga. Kama mnataka nisimwage tangazeni kuanzia leo mtaheshimu uislam. Umesikia Mgen mzee wa manguruwe?
Kwa vile account za tweeter hakuna hacker, tumekusikia
Mnataka maskofu wote wawe chadema hii inaitwa DOUBLE STANDARD....tusilazimishane
Kama yeye ndie atakaeosha miguu waumini alhamisi, mimi nitakataa, nimeteuliwa kuwawakilisha wanajumuia wenzangu.....kama ni Pengo hanioshi miguu mimi.

Sitaki mambo ya kijinga.
Mnataka maskofu wote wawe chadema hii inaitwa DOUBLE STANDARD....tusilazimishane
Pengo tangu kipindi cha mwisho cha utawala wa JK hadi sasa seriksli imekuwa inamtibia. Hivyo imemwia vigumu sana kukosoa serikali. Hata hivyo ugonjwa wake umempunguzia uwezo wa kufikiri kwa kiasi kkubwa. Serikali imelitambua hilo na imekuwa inamtumia kwelikweli! Kukitokea jambo la kanisa kuikosoa serikali TBC wanamfuata fasta kutaka msimamo wake.

Na kuna tetesi kwamba baada ya Walutheri kutoa waraka sizonje alichanganyikiwa. Akampigia simu Pengo na kumwambia mzee tusaidie kupunguza huu uchochezi! Ndio maana waraka wa TEC umetolewa mwezi mmoja uliopita anakuja kuupinga leo.

Jamani Pengo anarudisha fadhila kwa serikali, kwa kumtibia msishangae. Ndio viongozi wetu wa dini kujali maslahi binafsi zaidi at the expense of the masses!
 
Duh........mbona anabadilika kama kinyonga?Ivi ni kweli anafanyaga tafakari na kumshirikisha mungu kabla ya kutoa neno?
 
Muwadhama Polycarp Kardinali Pengo anazungumza katika mazishi ya Askofu Mayala Mwanza ambako anazungumzia ufisadi na maovu mengine, lakini anaonekana kukemea ufisadi huku akionekana kuwabeza wanaopambana na ufisadi. Iko live Star TV.

Yuko JK na Mkapa
 
Hivi ndivyo Pengo aliyosakamwa alipoikemea serikali

Pengo asiwachagulie watu mamo ya kuyachakia, yeye aishie kufundisha tu. SI SAHIHI VIONGOZI WA DINI KUWACHAGULIA WATU MAMMBO YA KUYACHUKIA NA KUYAPINGA. WAO WAISHIE KUFUNDISHA TU KUHUSU UOVU NA HATARI ZAKE, ROHO MTAKATIFU NDIYE ATAKAYEWAONYESHA WATU MAMBO YA KUYAHUKUA NA WAKATI WA KUYACHUKIA NA KUAYAPINGA.
VIONGOZI WA DINI WASIJIPE MAMLAKA YA KUWACHAGULIA AU KUWALAZIMISHA WATU KUHUSU MAMBO YA KUPINGA.

.
pengo ameonyesha udhaifu ule ule uliofanywa na makasisi wa Rwanda kwa ku-side upande wa watawala fisadi badala ya kuwa sauti ya voice less yaani wasio na wa kuwaseme.
hivi ingekuwa je kana Bwana wetu Yesu Kristo angeshikamana na watawaka na kuwaacha wonyonge wote waluosetwa?. oooh naabudu chini ya miguu ya nwenye haki Yesu. na nwanadamu abaki kuwa mwanadamu tuu. ameonyesha usaliti wa maskini wasio na mtetezi dhidi ya mamlaka dhakimu.
.

Cc:
Pascal Mayalla,
Mzee Mwanakijiji
 
Njooni na huku mlinganishe ya 2009 na leo.
Teh..kwa hiyo maaskofu tu wa kkkt hao kumi na ngapi sijui ndio wanamuombea?? Wasubiri tu majibu..mtasikia wakipiga kelele..wamejisahau tu..serikali hii haitegemei kanisa kama serikali zingine..na ndio maana kwa sasa iko bize na kuimarisha taasisi zake zikiwemo mashule na hospital..kwa sasa umaarufu wa hizo taasisi za makanisa unashuka kwa kasi na wameshaona hilo
Siku hizi kila mtu anatoa tamko na kujifanya mwanaharakati
Kwa hiyo waliutoa kwa ajili ya lolote..ndio shida ya kuchanganya dini na siasa..hivi hawajui vitega uchumi vyao vinavyowapa hiyo jeuri ya kutaka kupambana na serikali msimamizi mkuu ni serikali yenyewe..serikali ikijitoa kuwalipa watumishi kwenye hospital na idara zao mbalimbali wao watamudu?? Au ndio jeuri ya kujisahau..waambiwe huyu sio jk..wakati wao wanapaza sauti za bifu mwenzao anapiga kimya kimya..wasije anza kusema wanaonewa
Sidhani kama watafanywa lolote, zaidi sana ya kujiaibisha tu kwa kurukia mambo ya kisiasa na kuyaacha ya dini, halafu wakipewa majibu ya kisiasa, wataanza kuvaa kofia zao za kidini.

Hawa ni kuwajibu tu kisiasa ili wakumbuke nafasi zao kidini, wakatulie na kuchunga kondoo wa bwana.
Poor askofu anatumika wakati umri ushamtupa mkono.....anapaswa kuachana na siasa nyepesi amrudie muumba wake.
 
Back
Top Bottom