Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.
- Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
- Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
- Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
- Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
- Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.