The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Binafsi kutokana na hali ya ukiukwaji haki za binadamu na udhalimu unaoendelezwa hapa nchini kwetu napendekeza ocampo wa mahakama ya uhalifu wa kivita na haki za binadamu aje tanzania ili apambane na maovu haya kama ya polisi kuua raia,ufisadi nk.pendekeza nani amulikwe kwa kosa lipi? Ili tupate mwangaza zaidi pa kuanzia