Pembe Tatu ya Kanisa, Jesuit na Yesu.

Salim A. Msangi

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
566
511
TANBIHI: MADA HII SI KWA WATU WOTE. MAHUSUSI KWA WALE WENYE FIKRA PANA, WENYE UWEZO WA KUPOKEA MAWAZO KIZANI NA ELIMU NA IMANI YAO NA KUYACHANGANUA NA KUJENGA HOJA, DHANA SAWA AU TOFAUTI BILA KUKWAZIKA AU KUMKWAZA YOYOTE. KWA NAMNA YOYOTE IKIWA UNAFAHAMU UWEZO WAKO WA KUCHANGANUA NA KUTOFAUTISHA NA KUKWAZIKA NI MWEPESI NA MDOGO SANA, TAFADHALI ISHIA HAPA. VINGINEVYO MUANDISHI SI LENGI KUMKWAZA YOYOTE, KUMDHIHAKI, KUMTUKANA AU KUMDHALILISHA KWA NAMNA YOYOTE ILE YOYOTE YULE, ILA KUTOA ELIMU.

“Ule ukweli ambao unamfanya mtu kuwa huru ndiyo sehemu kubwa ya ukweli ambao mtu hataki kuusikia” Herbert Agar

Kata kupitia gamba la nje na utapata maana; kata kupitia hiyo maana na utapata maana nyingine; chini ya hii maana mpya, kama ukichimba ndani zaidi kiasi cha kutosha, unaweza kupata maana nyingine ya tatu, ya nne... ni nani wa kusema kuna mafunzo mangapi?Carl Claudy mwandishi wa kimasonia

Kwa muda mrefu Illuminanti wamekuwa wakijipenyeza ndani ya Vatican hili ilisababisha mnamo mwaka 1738 Papa Clement XII alitoa tamko la kimaandishi ambalo liliwaonya wa Katoliki kutojiunga na Freemasonry, katika tamko hilo Papa Clement XII alisema Mkatoliki yoyote atakae jiunga na freemasonry atatengwa na kanisa hilo. Mwaka 1884 Papa Leo XIII naye alitoa tamko akisema kuwa Freemasonry ni moja ya asasi za siri ambacho kinalenga kuhuisha mila za kipagani na kusimamisha dola ya shetani duniani (David Icke, ‘The Biggest Secret’).

Hata hivyo harakati hizo hazikuwa na nguvu wala athari kwani baada ya muda mambo yaliyofunikwa yalianza kufunuka kadiri muda ulivyopita.

Muandishi Piers Compton katika kitabu chake alichokiita The Broken Cross, ameelezea namna Illuminait walivyoweza kujipenyeza ndani ya Kanisa Katoliki. Katika maandishi yake Piers anasema ile nembo kuu ya Illuminant yenye jicho moja ndani ya kipande cha piramidi imekuwa ikitumiwa kama muhuri na baadhi ya viongozi wa Vatican, katika mkutano uliokwenda kwa jina la Philadelphia Eucharistic Congress wa mwaka 1976 alama ya jicho moja ilitumika kama nakshi kwenye eneo la mkutano, ikaendelea kutumiwa na Jumuiya ya siri ya Jesuit na pia kwenye stempu za Vatican za mwaka 1976 ambapo zilitumika kama alama ya ushindi kwa Illuminati dhidi ya Kanisa Katoliki.( Piers Compton ‘The Broken Cross’)

Piers akaendelea kudai katika maandishi yake kuwa Papa John XXII alikuwa akivaa nembo ya ‘all seeing eye’ ndani ya piramidi katika msalaba wake. Pia inaaminika kuwa Papa John XXII alikuwa ni mwanachama wa Illuminanti (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Vatican ni bendera inayofuata upepo wa Illuminant hili linatiliwa nguvu na kitendo cha mwaka 1983, 27 Novemba ambapo Papa alizitengua amri na maandishi ya Papa waliotangulia dhidi ya freemasonry na kuruhusu kwa Wakatoliki kujiunga na fremasonry au kikundi na jumuiya yoyote ya siri bila hofu yoyote ya kutengwa na kanisa, amri hizo alizozitengua zilikuwa hai kwa mamia ya miaka.( Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Lengo la Illuminant la kuwa na Papa wao wenyewe ndani ya Vatican linaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha juu mno na hivyo mazingira ya kumpata msimamizi wa nafasi ya Mpinga Kristo/ Masihdajal kabla ya kuja kwake yako wazi kwa upande wa Vatican ambako mafundisho ya Biblia katika kitabu cha ufunuo yanatabiri kutokea kwa mtu huyo wa kukaimu nafasi hiyo katika mji wa Roma.

Vatican walimpatia Papa John Paul II mahala pa ibada, maombi na shughuli zihusuzo amani katika mji wa New Jersey kwenye eneo la 1711 Ocean Avanue, Springlake. Kituo hicho kilikuwa ni maalum kwa mpango ulioitwa wa kuleta amani duniani ambao utaileta dunia pamoja. Kituo hichi kilikuwa na shughuli nyingi lakini iliyo kuwa kuu ni, kwanza kutoa muongozo wa elimu na wa kidini kwa Wakatoliki na watoto wao ili wakubaliane na New World Order, na pili ni masuala ya amani kidunia, mzigo huo kakabidhiwa Papa, kwenye kituo hicho kuna kompyuta iliyo unganishwa kwa satelaiti na miji mingine yote duniani, miji mikuu kiserikali au kitaifa, kwa hiyo viongozi wetu wanaripoti matatizo yote yahasiyo kuhatarisha amani ya dunia katika hiyo kompyuta ya Papa na ofisi ya Papa anayashughulikia,( Milton William Cooper ‘Behold A Pale Horse’)

Tayari hapa kesha valishwa kofia ya mmoja anayengojewa, kofia ya Massihdajal, kofia ya Mpinga Kristo.

mpango huu ndiyo ulio zaa lile suala la uvumilivu baina ya dini mbalimbali na mashirikiano halafu baadaye ukaanza kupenyezwa mpango wa kuwashawishi viongozi mbalimbali wa dini tofauti kukubaliana na kushirikiana katika mafundisho yao, Tanzania tukaanza kuletewa wazo la kuwa na mtaala mmoja wa masomo ya dini zote utakao fundishwa na kiongozi wa dini yoyote kwa watu wadini tofauti, viongozi wa dini mbalimbali hapa Tanzania walikutana kule Zanzibar kupanga mkakati wa kuwafikishia waumini wao amri ya Papa. Kuna uzi nimeona umepostiwa wa Papa wa sasa akibusiana na Mufti sijui ni wawapi katika kuhitimisha mambo ya mani duniani, lakini hii ni muendelezo wa huu mpango.

Hali hii ilizua mfarakano na mkanganyiko baina ya Waislam na baadhi ya watu wanaoitwa viongozi wao wa kipindi kile ambao kwa kila hali walikuwa wakilifanyia kazi suala hili kutoka kwa Papa, na bado suala hilo linaendela hapa nchini chini kwa chini kwa majina na mikakati tofauti, lakini lengo likiwa ni lile lile.

Naye Papa alikuwa na haya ya kusema alipokuwa akizungumzia malengo ya ofisi yake hiyo alipokuwa katika kongamano la watu mnamo Septemba 15, mwaka 1982, Papa John Paul II, alisema,

“Jerusalem lazima iwe ni jiji la mtu, ambapo waumini wa dini kuu tatu duniani - Uyahudi, Ukristo na Uislamu - wataishi kwa uhuru na usawa, na pia itakuwa kwa waumini wa dini na jamii zingine, kwa kutambua kuwa hili jiji ni takatifu juu ya yote...”

Harakati hizi bado hazijafa, ziko hai na zinaendelea na lengo ni kuwaleta watu wote katika dini moja, dini ya kishetani nyuma ya mashekhe, mapapa na wachungaji.

Mwanaharakati aliyefanya kazi kubwa kuwafungua walimwengu macho kuhusiana na ubaya wa Babilon Botherhood bwana William Cooper ambaye alipata kuwa katika kitengo cha ulinzi cha Marekani cha Naval Inteleigence kabla ya kustaafu na kuondoka na nyaraka nyingi za siri alizozitumia kuwafumbua walimwengu macho kabla hajauwawa mwaka 2001 kutokana na harakati zake hizo. William Cooper katika harakati zake hizo za upekuzi alipokuwa Naval Inteligence Agency aliipata ile hadithi ya ndani ya mtu mmoja kutoka Poland, hakusita kushea nasi hadithi hiyo, kwa maandishi yake anasema hivi,

“Mwanzoni mwa miaka ya 1940, I.G Farben Chemical Company ilimuajiri mtu mmoja, mwenye fani ya uuzuaji ambaye alianza kuuza sumu kali aina ya Cyanide kwa watu wa NAZI kwa ajili ya kuitumia kwenye kambi yao ya Auschwitz. Muuza sumu huyo pia alifanya kazi kama mkemia katika kuzalisha hewa ya sumu. Gesi hiyo ya sumu pamoja na sumu ya Cynide pamoja na sumu nyingine aina ya Zyklon B pamoja na sumu nyingine ya hewa aina ya Malathion zilitumika kuwauwa mamilioni ya watu waliojiita Wayahudi ambao kiuhakika ni wa-Khazaer kutoka milima ya Uturuki. Wahanga hao waliokataa asili yao kwa ajili ya kufanikisha ajenda miili yao ilichomwa kwenye oveni za moto na kuwa majivu. Baada ya vita muuza sumu akawa anahofia juu ya maisha yake, akaamua kujiunga na kanisa la Katoliki na mwaka 1946 akafanywa mchungaji. Rafiki mkubwa wa muuza sumu huyu alikuwa ni Dr. Wolf Szmuness mtu ambaye alikuwa ni kinara kwenye matukio yaliyotokea Novemba 1978, Oktoba 1979, Machi 1980 na Oktoba 1981, matukio ambayo yalihusisha majaribio ya kuwapatia watu chanjo ya homa ya manjano katika maeneo ya New York, San Francisco, na miji mingine minne ambako kote huko waliachiwa kile ambacho leo tunaita ni janga la Ukimwi kutokana na chanjo hiyo, (wauza sumu wamekutana). Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II. Mwaka 1990 ilikuwa ni wakati muafaka, na viongozi muafaka: Alikuwepo Mikhail Gorbachev aliyekuwa kiongozi wa KGB wakati wa vita baridi, aliyekuwa kiongozi wa CIA George Bush, na aliyekuwa muuza sumu wakati wa utawala wa NAZI Papa John Paul II, wote wakiunganishwa na muungano usio kuwa takatifu kwa ajili ya kuleta New World Order” (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’ uk 89-90)
Vinara hawa wa New World Order kila mtu kwa wakati wake alithibitisha hilo, mwaka 1990 gazeti la New York Times lilimnukuu George Bush akisema,
“Tuwasamehe wakosaji wa kivita wa Nazi” ( New York Times of April 14, 1990)

Na kwa nini asiseme hivyo ikiwa baba yake ndiye alimdhamini Hitler katika vita hivyo na kijana wao ambaye sasa yuko naye katika ushirika mmoja usio mtakatifu alikuwa ndiye muuza sumu kwa wahanga waliudanganya ulimwengu kuwa wao ni Wayahudi? Mwaka 1982, Desemba 12 gazeti la Los Angeles Times lilimnukuu Papa John Paul II akisema

“Usiende kwa Mungu kwa ajili ya kutaka msamaha wa dhambi, njoo kwangu”( Los Angeles December 12, 1982.)

Kwa maneno mengine Papa anawaambia watu kwamba yeye ndiye Mungu, ajabu muuza sumu kageuka kuwa Mungu.
Papa anatoa changamoto kwa watu wa dunia hii ya tatu kutoka kwenye jua kwamba, kutokana na mafundisho ya biblia Mungu aliifanya siku ya Jumamosi kuwa ndiyo siku ya mapumziko, ndiyo siku ya Sabato, lakini mwaka 364 A.D. katika shauri lililofanyika Laodicea, Syria Papa alibadilisha na kuwa ni siku ya Jumapili.

Papa hapa anauonesha ulimwengu wa Kikristo kwamba yuko juu ya Mungu na ii ndiyo maana anaweza kuzitengua na kuzibadilisha sharia zake, ndiyo maana anawaambia watu wasiende kwa Mungu kutaka msamaha waende kwake.

Leo dunia nzima inapumzika siku ya Jumapili, kwa sababu gani? Kwa sababu Papa kasema hivyo. Hivi unajua siku ya kwanza ya wiki ni siku gani? Kuja mpaka miaka ya 90, siku ya kwanza ya wiki ilifahamika kuwa ni Jumamosi, na hata inavyo tamkwa, juma-mosi, hapo mosi ikimaanisha awali, na juma kama siku. Lakini hivi sasa kalenda zote zimebadilika, siku ya kwanza ya wiki ni ‘Jumapili’. Tizama kalenda yoyote ya sasa, utaona hivyo, na tizama kalenda za miaka ya 90 kurudi nyuma, utaona ni Jumamosi. Taratibu mambo yanabadilishwa kuelekea kwenye lengo kuu. Kwanini Jumapili ... soon tutaona.

Papa ni msimamizi wa shughuli za asasi za siri vya Knight Templer na Knight Malta. (David Icke ‘The Biggest Secret)

...... To be continued ......
 
... Mungu kupitia Nabii Musa aliwaagiza watu wake wasitembee zaidi ya mwendo wa kurusha jiwe siku ya sabato; nadhani hilo linatekelezwa kwa umakini mkubwa sana siku hizi. Wana Israel walitii sabato kwa kutofanya kazi jinsi walivyojua wao lakini alipokuja Bwana wa Sabato alifanya kazi siku ya sabato; je, hakutoa ule mfano wa kuwaacha wale 99 na kwenda kumwokoa mwanambuzi mmoja mdogo aliyetumbukia shimoni siku ya sabato?

Tena Bwana wa Sabato aliingia Hekaluni KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YA WAYAHUDI. Kifo, naam, UFUFUKO wa Bwana Yesu ndio wokovu wetu wanadamu. Kama vipi, wewe endelea kuitii sabato kama ilivyo desturi ya wayahudi wala hujakatazwa na yeyote bali sisi tunahubiri wokovu ulio katika ufufuko wa Bwana. "Mwanakondoo ameshinda, tumfuate"; Amen.
 
... Mungu kupitia Nabii Musa aliwaagiza watu wake wasitembee zaidi ya mwendo wa kurusha jiwe siku ya sabato; nadhani hilo linatekelezwa kwa umakini mkubwa sana siku hizi. Wana Israel walitii sabato kwa kutofanya kazi jinsi walivyojua wao lakini alipokuja Bwana wa Sabato alifanya kazi siku ya sabato; je, hakutoa ule mfano wa kuwaacha wale 99 na kwenda kumwokoa mwanambuzi mmoja mdogo aliyetumbukia shimoni siku ya sabato?

Tena Bwana wa Sabato aliingia Hekaluni KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YA WAYAHUDI. Kifo, naam, UFUFUKO wa Bwana Yesu ndio wokovu wetu wanadamu. Kama vipi, wewe endelea kuitii sabato kama ilivyo desturi ya wayahudi wala hujakatazwa na yeyote bali sisi tunahubiri wokovu ulio katika ufufuko wa Bwana. "Mwanakondoo ameshinda, tumfuate"; Amen.
Ufufuko × Ufufuo √
 
Mkuuu salimu heshima yako
Vipi zile mada zako kule kwenye blog yako maaana umepotea kitambo sana
Tupe updates tukupate wap? mkuuu
 
Eti?
Papa kasimamisha jumamosi na kuwa jumapili ya kupumzika?
TANBIHI: MADA HII SI KWA WATU WOTE. MAHUSUSI KWA WALE WENYE FIKRA PANA, WENYE UWEZO WA KUPOKEA MAWAZO KIZANI NA ELIMU NA IMANI YAO NA KUYACHANGANUA NA KUJENGA HOJA, DHANA SAWA AU TOFAUTI BILA KUKWAZIKA AU KUMKWAZA YOYOTE. KWA NAMNA YOYOTE IKIWA UNAFAHAMU UWEZO WAKO WA KUCHANGANUA NA KUTOFAUTISHA NA KUKWAZIKA NI MWEPESI NA MDOGO SANA, TAFADHALI ISHIA HAPA. VINGINEVYO MUANDISHI SI LENGI KUMKWAZA YOYOTE, KUMDHIHAKI, KUMTUKANA AU KUMDHALILISHA KWA NAMNA YOYOTE ILE YOYOTE YULE, ILA KUTOA ELIMU.

“Ule ukweli ambao unamfanya mtu kuwa huru ndiyo sehemu kubwa ya ukweli ambao mtu hataki kuusikia” Herbert Agar

Kata kupitia gamba la nje na utapata maana; kata kupitia hiyo maana na utapata maana nyingine; chini ya hii maana mpya, kama ukichimba ndani zaidi kiasi cha kutosha, unaweza kupata maana nyingine ya tatu, ya nne... ni nani wa kusema kuna mafunzo mangapi?Carl Claudy mwandishi wa kimasonia

Kwa muda mrefu Illuminanti wamekuwa wakijipenyeza ndani ya Vatican hili ilisababisha mnamo mwaka 1738 Papa Clement XII alitoa tamko la kimaandishi ambalo liliwaonya wa Katoliki kutojiunga na Freemasonry, katika tamko hilo Papa Clement XII alisema Mkatoliki yoyote atakae jiunga na freemasonry atatengwa na kanisa hilo. Mwaka 1884 Papa Leo XIII naye alitoa tamko akisema kuwa Freemasonry ni moja ya asasi za siri ambacho kinalenga kuhuisha mila za kipagani na kusimamisha dola ya shetani duniani (David Icke, ‘The Biggest Secret’).

Hata hivyo harakati hizo hazikuwa na nguvu wala athari kwani baada ya muda mambo yaliyofunikwa yalianza kufunuka kadiri muda ulivyopita.

Muandishi Piers Compton katika kitabu chake alichokiita The Broken Cross, ameelezea namna Illuminait walivyoweza kujipenyeza ndani ya Kanisa Katoliki. Katika maandishi yake Piers anasema ile nembo kuu ya Illuminant yenye jicho moja ndani ya kipande cha piramidi imekuwa ikitumiwa kama muhuri na baadhi ya viongozi wa Vatican, katika mkutano uliokwenda kwa jina la Philadelphia Eucharistic Congress wa mwaka 1976 alama ya jicho moja ilitumika kama nakshi kwenye eneo la mkutano, ikaendelea kutumiwa na Jumuiya ya siri ya Jesuit na pia kwenye stempu za Vatican za mwaka 1976 ambapo zilitumika kama alama ya ushindi kwa Illuminati dhidi ya Kanisa Katoliki.( Piers Compton ‘The Broken Cross’)

Piers akaendelea kudai katika maandishi yake kuwa Papa John XXII alikuwa akivaa nembo ya ‘all seeing eye’ ndani ya piramidi katika msalaba wake. Pia inaaminika kuwa Papa John XXII alikuwa ni mwanachama wa Illuminanti (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Vatican ni bendera inayofuata upepo wa Illuminant hili linatiliwa nguvu na kitendo cha mwaka 1983, 27 Novemba ambapo Papa alizitengua amri na maandishi ya Papa waliotangulia dhidi ya freemasonry na kuruhusu kwa Wakatoliki kujiunga na fremasonry au kikundi na jumuiya yoyote ya siri bila hofu yoyote ya kutengwa na kanisa, amri hizo alizozitengua zilikuwa hai kwa mamia ya miaka.( Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Lengo la Illuminant la kuwa na Papa wao wenyewe ndani ya Vatican linaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha juu mno na hivyo mazingira ya kumpata msimamizi wa nafasi ya Mpinga Kristo/ Masihdajal kabla ya kuja kwake yako wazi kwa upande wa Vatican ambako mafundisho ya Biblia katika kitabu cha ufunuo yanatabiri kutokea kwa mtu huyo wa kukaimu nafasi hiyo katika mji wa Roma.

Vatican walimpatia Papa John Paul II mahala pa ibada, maombi na shughuli zihusuzo amani katika mji wa New Jersey kwenye eneo la 1711 Ocean Avanue, Springlake. Kituo hicho kilikuwa ni maalum kwa mpango ulioitwa wa kuleta amani duniani ambao utaileta dunia pamoja. Kituo hichi kilikuwa na shughuli nyingi lakini iliyo kuwa kuu ni, kwanza kutoa muongozo wa elimu na wa kidini kwa Wakatoliki na watoto wao ili wakubaliane na New World Order, na pili ni masuala ya amani kidunia, mzigo huo kakabidhiwa Papa, kwenye kituo hicho kuna kompyuta iliyo unganishwa kwa satelaiti na miji mingine yote duniani, miji mikuu kiserikali au kitaifa, kwa hiyo viongozi wetu wanaripoti matatizo yote yahasiyo kuhatarisha amani ya dunia katika hiyo kompyuta ya Papa na ofisi ya Papa anayashughulikia,( Milton William Cooper ‘Behold A Pale Horse’)

Tayari hapa kesha valishwa kofia ya mmoja anayengojewa, kofia ya Massihdajal, kofia ya Mpinga Kristo.

mpango huu ndiyo ulio zaa lile suala la uvumilivu baina ya dini mbalimbali na mashirikiano halafu baadaye ukaanza kupenyezwa mpango wa kuwashawishi viongozi mbalimbali wa dini tofauti kukubaliana na kushirikiana katika mafundisho yao, Tanzania tukaanza kuletewa wazo la kuwa na mtaala mmoja wa masomo ya dini zote utakao fundishwa na kiongozi wa dini yoyote kwa watu wadini tofauti, viongozi wa dini mbalimbali hapa Tanzania walikutana kule Zanzibar kupanga mkakati wa kuwafikishia waumini wao amri ya Papa. Kuna uzi nimeona umepostiwa wa Papa wa sasa akibusiana na Mufti sijui ni wawapi katika kuhitimisha mambo ya mani duniani, lakini hii ni muendelezo wa huu mpango.

Hali hii ilizua mfarakano na mkanganyiko baina ya Waislam na baadhi ya watu wanaoitwa viongozi wao wa kipindi kile ambao kwa kila hali walikuwa wakilifanyia kazi suala hili kutoka kwa Papa, na bado suala hilo linaendela hapa nchini chini kwa chini kwa majina na mikakati tofauti, lakini lengo likiwa ni lile lile.

Naye Papa alikuwa na haya ya kusema alipokuwa akizungumzia malengo ya ofisi yake hiyo alipokuwa katika kongamano la watu mnamo Septemba 15, mwaka 1982, Papa John Paul II, alisema,

“Jerusalem lazima iwe ni jiji la mtu, ambapo waumini wa dini kuu tatu duniani - Uyahudi, Ukristo na Uislamu - wataishi kwa uhuru na usawa, na pia itakuwa kwa waumini wa dini na jamii zingine, kwa kutambua kuwa hili jiji ni takatifu juu ya yote...”

Harakati hizi bado hazijafa, ziko hai na zinaendelea na lengo ni kuwaleta watu wote katika dini moja, dini ya kishetani nyuma ya mashekhe, mapapa na wachungaji.

Mwanaharakati aliyefanya kazi kubwa kuwafungua walimwengu macho kuhusiana na ubaya wa Babilon Botherhood bwana William Cooper ambaye alipata kuwa katika kitengo cha ulinzi cha Marekani cha Naval Inteleigence kabla ya kustaafu na kuondoka na nyaraka nyingi za siri alizozitumia kuwafumbua walimwengu macho kabla hajauwawa mwaka 2001 kutokana na harakati zake hizo. William Cooper katika harakati zake hizo za upekuzi alipokuwa Naval Inteligence Agency aliipata ile hadithi ya ndani ya mtu mmoja kutoka Poland, hakusita kushea nasi hadithi hiyo, kwa maandishi yake anasema hivi,

“Mwanzoni mwa miaka ya 1940, I.G Farben Chemical Company ilimuajiri mtu mmoja, mwenye fani ya uuzuaji ambaye alianza kuuza sumu kali aina ya Cyanide kwa watu wa NAZI kwa ajili ya kuitumia kwenye kambi yao ya Auschwitz. Muuza sumu huyo pia alifanya kazi kama mkemia katika kuzalisha hewa ya sumu. Gesi hiyo ya sumu pamoja na sumu ya Cynide pamoja na sumu nyingine aina ya Zyklon B pamoja na sumu nyingine ya hewa aina ya Malathion zilitumika kuwauwa mamilioni ya watu waliojiita Wayahudi ambao kiuhakika ni wa-Khazaer kutoka milima ya Uturuki. Wahanga hao waliokataa asili yao kwa ajili ya kufanikisha ajenda miili yao ilichomwa kwenye oveni za moto na kuwa majivu. Baada ya vita muuza sumu akawa anahofia juu ya maisha yake, akaamua kujiunga na kanisa la Katoliki na mwaka 1946 akafanywa mchungaji. Rafiki mkubwa wa muuza sumu huyu alikuwa ni Dr. Wolf Szmuness mtu ambaye alikuwa ni kinara kwenye matukio yaliyotokea Novemba 1978, Oktoba 1979, Machi 1980 na Oktoba 1981, matukio ambayo yalihusisha majaribio ya kuwapatia watu chanjo ya homa ya manjano katika maeneo ya New York, San Francisco, na miji mingine minne ambako kote huko waliachiwa kile ambacho leo tunaita ni janga la Ukimwi kutokana na chanjo hiyo, (wauza sumu wamekutana). Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II. Mwaka 1990 ilikuwa ni wakati muafaka, na viongozi muafaka: Alikuwepo Mikhail Gorbachev aliyekuwa kiongozi wa KGB wakati wa vita baridi, aliyekuwa kiongozi wa CIA George Bush, na aliyekuwa muuza sumu wakati wa utawala wa NAZI Papa John Paul II, wote wakiunganishwa na muungano usio kuwa takatifu kwa ajili ya kuleta New World Order” (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’ uk 89-90)
Vinara hawa wa New World Order kila mtu kwa wakati wake alithibitisha hilo, mwaka 1990 gazeti la New York Times lilimnukuu George Bush akisema,
“Tuwasamehe wakosaji wa kivita wa Nazi” ( New York Times of April 14, 1990)

Na kwa nini asiseme hivyo ikiwa baba yake ndiye alimdhamini Hitler katika vita hivyo na kijana wao ambaye sasa yuko naye katika ushirika mmoja usio mtakatifu alikuwa ndiye muuza sumu kwa wahanga waliudanganya ulimwengu kuwa wao ni Wayahudi? Mwaka 1982, Desemba 12 gazeti la Los Angeles Times lilimnukuu Papa John Paul II akisema

“Usiende kwa Mungu kwa ajili ya kutaka msamaha wa dhambi, njoo kwangu”( Los Angeles December 12, 1982.)

Kwa maneno mengine Papa anawaambia watu kwamba yeye ndiye Mungu, ajabu muuza sumu kageuka kuwa Mungu.
Papa anatoa changamoto kwa watu wa dunia hii ya tatu kutoka kwenye jua kwamba, kutokana na mafundisho ya biblia Mungu aliifanya siku ya Jumamosi kuwa ndiyo siku ya mapumziko, ndiyo siku ya Sabato, lakini mwaka 364 A.D. katika shauri lililofanyika Laodicea, Syria Papa alibadilisha na kuwa ni siku ya Jumapili.

Papa hapa anauonesha ulimwengu wa Kikristo kwamba yuko juu ya Mungu na ii ndiyo maana anaweza kuzitengua na kuzibadilisha sharia zake, ndiyo maana anawaambia watu wasiende kwa Mungu kutaka msamaha waende kwake.

Leo dunia nzima inapumzika siku ya Jumapili, kwa sababu gani? Kwa sababu Papa kasema hivyo. Hivi unajua siku ya kwanza ya wiki ni siku gani? Kuja mpaka miaka ya 90, siku ya kwanza ya wiki ilifahamika kuwa ni Jumamosi, na hata inavyo tamkwa, juma-mosi, hapo mosi ikimaanisha awali, na juma kama siku. Lakini hivi sasa kalenda zote zimebadilika, siku ya kwanza ya wiki ni ‘Jumapili’. Tizama kalenda yoyote ya sasa, utaona hivyo, na tizama kalenda za miaka ya 90 kurudi nyuma, utaona ni Jumamosi. Taratibu mambo yanabadilishwa kuelekea kwenye lengo kuu. Kwanini Jumapili ... soon tutaona.

Papa ni msimamizi wa shughuli za asasi za siri vya Knight Templer na Knight Malta. (David Icke ‘The Biggest Secret)

...... To be continued ......
 
TANBIHI: MADA HII SI KWA WATU WOTE. MAHUSUSI KWA WALE WENYE FIKRA PANA, WENYE UWEZO WA KUPOKEA MAWAZO KIZANI NA ELIMU NA IMANI YAO NA KUYACHANGANUA NA KUJENGA HOJA, DHANA SAWA AU TOFAUTI BILA KUKWAZIKA AU KUMKWAZA YOYOTE. KWA NAMNA YOYOTE IKIWA UNAFAHAMU UWEZO WAKO WA KUCHANGANUA NA KUTOFAUTISHA NA KUKWAZIKA NI MWEPESI NA MDOGO SANA, TAFADHALI ISHIA HAPA. VINGINEVYO MUANDISHI SI LENGI KUMKWAZA YOYOTE, KUMDHIHAKI, KUMTUKANA AU KUMDHALILISHA KWA NAMNA YOYOTE ILE YOYOTE YULE, ILA KUTOA ELIMU.

“Ule ukweli ambao unamfanya mtu kuwa huru ndiyo sehemu kubwa ya ukweli ambao mtu hataki kuusikia” Herbert Agar

Kata kupitia gamba la nje na utapata maana; kata kupitia hiyo maana na utapata maana nyingine; chini ya hii maana mpya, kama ukichimba ndani zaidi kiasi cha kutosha, unaweza kupata maana nyingine ya tatu, ya nne... ni nani wa kusema kuna mafunzo mangapi?Carl Claudy mwandishi wa kimasonia

Kwa muda mrefu Illuminanti wamekuwa wakijipenyeza ndani ya Vatican hili ilisababisha mnamo mwaka 1738 Papa Clement XII alitoa tamko la kimaandishi ambalo liliwaonya wa Katoliki kutojiunga na Freemasonry, katika tamko hilo Papa Clement XII alisema Mkatoliki yoyote atakae jiunga na freemasonry atatengwa na kanisa hilo. Mwaka 1884 Papa Leo XIII naye alitoa tamko akisema kuwa Freemasonry ni moja ya asasi za siri ambacho kinalenga kuhuisha mila za kipagani na kusimamisha dola ya shetani duniani (David Icke, ‘The Biggest Secret’).

Hata hivyo harakati hizo hazikuwa na nguvu wala athari kwani baada ya muda mambo yaliyofunikwa yalianza kufunuka kadiri muda ulivyopita.

Muandishi Piers Compton katika kitabu chake alichokiita The Broken Cross, ameelezea namna Illuminait walivyoweza kujipenyeza ndani ya Kanisa Katoliki. Katika maandishi yake Piers anasema ile nembo kuu ya Illuminant yenye jicho moja ndani ya kipande cha piramidi imekuwa ikitumiwa kama muhuri na baadhi ya viongozi wa Vatican, katika mkutano uliokwenda kwa jina la Philadelphia Eucharistic Congress wa mwaka 1976 alama ya jicho moja ilitumika kama nakshi kwenye eneo la mkutano, ikaendelea kutumiwa na Jumuiya ya siri ya Jesuit na pia kwenye stempu za Vatican za mwaka 1976 ambapo zilitumika kama alama ya ushindi kwa Illuminati dhidi ya Kanisa Katoliki.( Piers Compton ‘The Broken Cross’)

Piers akaendelea kudai katika maandishi yake kuwa Papa John XXII alikuwa akivaa nembo ya ‘all seeing eye’ ndani ya piramidi katika msalaba wake. Pia inaaminika kuwa Papa John XXII alikuwa ni mwanachama wa Illuminanti (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Vatican ni bendera inayofuata upepo wa Illuminant hili linatiliwa nguvu na kitendo cha mwaka 1983, 27 Novemba ambapo Papa alizitengua amri na maandishi ya Papa waliotangulia dhidi ya freemasonry na kuruhusu kwa Wakatoliki kujiunga na fremasonry au kikundi na jumuiya yoyote ya siri bila hofu yoyote ya kutengwa na kanisa, amri hizo alizozitengua zilikuwa hai kwa mamia ya miaka.( Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Lengo la Illuminant la kuwa na Papa wao wenyewe ndani ya Vatican linaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha juu mno na hivyo mazingira ya kumpata msimamizi wa nafasi ya Mpinga Kristo/ Masihdajal kabla ya kuja kwake yako wazi kwa upande wa Vatican ambako mafundisho ya Biblia katika kitabu cha ufunuo yanatabiri kutokea kwa mtu huyo wa kukaimu nafasi hiyo katika mji wa Roma.

Vatican walimpatia Papa John Paul II mahala pa ibada, maombi na shughuli zihusuzo amani katika mji wa New Jersey kwenye eneo la 1711 Ocean Avanue, Springlake. Kituo hicho kilikuwa ni maalum kwa mpango ulioitwa wa kuleta amani duniani ambao utaileta dunia pamoja. Kituo hichi kilikuwa na shughuli nyingi lakini iliyo kuwa kuu ni, kwanza kutoa muongozo wa elimu na wa kidini kwa Wakatoliki na watoto wao ili wakubaliane na New World Order, na pili ni masuala ya amani kidunia, mzigo huo kakabidhiwa Papa, kwenye kituo hicho kuna kompyuta iliyo unganishwa kwa satelaiti na miji mingine yote duniani, miji mikuu kiserikali au kitaifa, kwa hiyo viongozi wetu wanaripoti matatizo yote yahasiyo kuhatarisha amani ya dunia katika hiyo kompyuta ya Papa na ofisi ya Papa anayashughulikia,( Milton William Cooper ‘Behold A Pale Horse’)

Tayari hapa kesha valishwa kofia ya mmoja anayengojewa, kofia ya Massihdajal, kofia ya Mpinga Kristo.

mpango huu ndiyo ulio zaa lile suala la uvumilivu baina ya dini mbalimbali na mashirikiano halafu baadaye ukaanza kupenyezwa mpango wa kuwashawishi viongozi mbalimbali wa dini tofauti kukubaliana na kushirikiana katika mafundisho yao, Tanzania tukaanza kuletewa wazo la kuwa na mtaala mmoja wa masomo ya dini zote utakao fundishwa na kiongozi wa dini yoyote kwa watu wadini tofauti, viongozi wa dini mbalimbali hapa Tanzania walikutana kule Zanzibar kupanga mkakati wa kuwafikishia waumini wao amri ya Papa. Kuna uzi nimeona umepostiwa wa Papa wa sasa akibusiana na Mufti sijui ni wawapi katika kuhitimisha mambo ya mani duniani, lakini hii ni muendelezo wa huu mpango.

Hali hii ilizua mfarakano na mkanganyiko baina ya Waislam na baadhi ya watu wanaoitwa viongozi wao wa kipindi kile ambao kwa kila hali walikuwa wakilifanyia kazi suala hili kutoka kwa Papa, na bado suala hilo linaendela hapa nchini chini kwa chini kwa majina na mikakati tofauti, lakini lengo likiwa ni lile lile.

Naye Papa alikuwa na haya ya kusema alipokuwa akizungumzia malengo ya ofisi yake hiyo alipokuwa katika kongamano la watu mnamo Septemba 15, mwaka 1982, Papa John Paul II, alisema,

“Jerusalem lazima iwe ni jiji la mtu, ambapo waumini wa dini kuu tatu duniani - Uyahudi, Ukristo na Uislamu - wataishi kwa uhuru na usawa, na pia itakuwa kwa waumini wa dini na jamii zingine, kwa kutambua kuwa hili jiji ni takatifu juu ya yote...”

Harakati hizi bado hazijafa, ziko hai na zinaendelea na lengo ni kuwaleta watu wote katika dini moja, dini ya kishetani nyuma ya mashekhe, mapapa na wachungaji.

Mwanaharakati aliyefanya kazi kubwa kuwafungua walimwengu macho kuhusiana na ubaya wa Babilon Botherhood bwana William Cooper ambaye alipata kuwa katika kitengo cha ulinzi cha Marekani cha Naval Inteleigence kabla ya kustaafu na kuondoka na nyaraka nyingi za siri alizozitumia kuwafumbua walimwengu macho kabla hajauwawa mwaka 2001 kutokana na harakati zake hizo. William Cooper katika harakati zake hizo za upekuzi alipokuwa Naval Inteligence Agency aliipata ile hadithi ya ndani ya mtu mmoja kutoka Poland, hakusita kushea nasi hadithi hiyo, kwa maandishi yake anasema hivi,

“Mwanzoni mwa miaka ya 1940, I.G Farben Chemical Company ilimuajiri mtu mmoja, mwenye fani ya uuzuaji ambaye alianza kuuza sumu kali aina ya Cyanide kwa watu wa NAZI kwa ajili ya kuitumia kwenye kambi yao ya Auschwitz. Muuza sumu huyo pia alifanya kazi kama mkemia katika kuzalisha hewa ya sumu. Gesi hiyo ya sumu pamoja na sumu ya Cynide pamoja na sumu nyingine aina ya Zyklon B pamoja na sumu nyingine ya hewa aina ya Malathion zilitumika kuwauwa mamilioni ya watu waliojiita Wayahudi ambao kiuhakika ni wa-Khazaer kutoka milima ya Uturuki. Wahanga hao waliokataa asili yao kwa ajili ya kufanikisha ajenda miili yao ilichomwa kwenye oveni za moto na kuwa majivu. Baada ya vita muuza sumu akawa anahofia juu ya maisha yake, akaamua kujiunga na kanisa la Katoliki na mwaka 1946 akafanywa mchungaji. Rafiki mkubwa wa muuza sumu huyu alikuwa ni Dr. Wolf Szmuness mtu ambaye alikuwa ni kinara kwenye matukio yaliyotokea Novemba 1978, Oktoba 1979, Machi 1980 na Oktoba 1981, matukio ambayo yalihusisha majaribio ya kuwapatia watu chanjo ya homa ya manjano katika maeneo ya New York, San Francisco, na miji mingine minne ambako kote huko waliachiwa kile ambacho leo tunaita ni janga la Ukimwi kutokana na chanjo hiyo, (wauza sumu wamekutana). Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II. Mwaka 1990 ilikuwa ni wakati muafaka, na viongozi muafaka: Alikuwepo Mikhail Gorbachev aliyekuwa kiongozi wa KGB wakati wa vita baridi, aliyekuwa kiongozi wa CIA George Bush, na aliyekuwa muuza sumu wakati wa utawala wa NAZI Papa John Paul II, wote wakiunganishwa na muungano usio kuwa takatifu kwa ajili ya kuleta New World Order” (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’ uk 89-90)
Vinara hawa wa New World Order kila mtu kwa wakati wake alithibitisha hilo, mwaka 1990 gazeti la New York Times lilimnukuu George Bush akisema,
“Tuwasamehe wakosaji wa kivita wa Nazi” ( New York Times of April 14, 1990)

Na kwa nini asiseme hivyo ikiwa baba yake ndiye alimdhamini Hitler katika vita hivyo na kijana wao ambaye sasa yuko naye katika ushirika mmoja usio mtakatifu alikuwa ndiye muuza sumu kwa wahanga waliudanganya ulimwengu kuwa wao ni Wayahudi? Mwaka 1982, Desemba 12 gazeti la Los Angeles Times lilimnukuu Papa John Paul II akisema

“Usiende kwa Mungu kwa ajili ya kutaka msamaha wa dhambi, njoo kwangu”( Los Angeles December 12, 1982.)

Kwa maneno mengine Papa anawaambia watu kwamba yeye ndiye Mungu, ajabu muuza sumu kageuka kuwa Mungu.
Papa anatoa changamoto kwa watu wa dunia hii ya tatu kutoka kwenye jua kwamba, kutokana na mafundisho ya biblia Mungu aliifanya siku ya Jumamosi kuwa ndiyo siku ya mapumziko, ndiyo siku ya Sabato, lakini mwaka 364 A.D. katika shauri lililofanyika Laodicea, Syria Papa alibadilisha na kuwa ni siku ya Jumapili.

Papa hapa anauonesha ulimwengu wa Kikristo kwamba yuko juu ya Mungu na ii ndiyo maana anaweza kuzitengua na kuzibadilisha sharia zake, ndiyo maana anawaambia watu wasiende kwa Mungu kutaka msamaha waende kwake.

Leo dunia nzima inapumzika siku ya Jumapili, kwa sababu gani? Kwa sababu Papa kasema hivyo. Hivi unajua siku ya kwanza ya wiki ni siku gani? Kuja mpaka miaka ya 90, siku ya kwanza ya wiki ilifahamika kuwa ni Jumamosi, na hata inavyo tamkwa, juma-mosi, hapo mosi ikimaanisha awali, na juma kama siku. Lakini hivi sasa kalenda zote zimebadilika, siku ya kwanza ya wiki ni ‘Jumapili’. Tizama kalenda yoyote ya sasa, utaona hivyo, na tizama kalenda za miaka ya 90 kurudi nyuma, utaona ni Jumamosi. Taratibu mambo yanabadilishwa kuelekea kwenye lengo kuu. Kwanini Jumapili ... soon tutaona.

Papa ni msimamizi wa shughuli za asasi za siri vya Knight Templer na Knight Malta. (David Icke ‘The Biggest Secret)

...... To be continued ......
GUSA HAPA Vatican inamiliki dunia
 
Kama atakuwa siyo Mtoto wa kahaba wa kimarekani E.G.W. naweka shingo bondi wawana jipya ni kumpuuza ,
Dini ya kukashifu,kusema uongo ,uzushi,Chuki hapani siyo Sini ya MUNGU ni ya Ibilisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANBIHI: MADA HII SI KWA WATU WOTE. MAHUSUSI KWA WALE WENYE FIKRA PANA, WENYE UWEZO WA KUPOKEA MAWAZO KIZANI NA ELIMU NA IMANI YAO NA KUYACHANGANUA NA KUJENGA HOJA, DHANA SAWA AU TOFAUTI BILA KUKWAZIKA AU KUMKWAZA YOYOTE. KWA NAMNA YOYOTE IKIWA UNAFAHAMU UWEZO WAKO WA KUCHANGANUA NA KUTOFAUTISHA NA KUKWAZIKA NI MWEPESI NA MDOGO SANA, TAFADHALI ISHIA HAPA. VINGINEVYO MUANDISHI SI LENGI KUMKWAZA YOYOTE, KUMDHIHAKI, KUMTUKANA AU KUMDHALILISHA KWA NAMNA YOYOTE ILE YOYOTE YULE, ILA KUTOA ELIMU.

“Ule ukweli ambao unamfanya mtu kuwa huru ndiyo sehemu kubwa ya ukweli ambao mtu hataki kuusikia” Herbert Agar

Kata kupitia gamba la nje na utapata maana; kata kupitia hiyo maana na utapata maana nyingine; chini ya hii maana mpya, kama ukichimba ndani zaidi kiasi cha kutosha, unaweza kupata maana nyingine ya tatu, ya nne... ni nani wa kusema kuna mafunzo mangapi?Carl Claudy mwandishi wa kimasonia

Kwa muda mrefu Illuminanti wamekuwa wakijipenyeza ndani ya Vatican hili ilisababisha mnamo mwaka 1738 Papa Clement XII alitoa tamko la kimaandishi ambalo liliwaonya wa Katoliki kutojiunga na Freemasonry, katika tamko hilo Papa Clement XII alisema Mkatoliki yoyote atakae jiunga na freemasonry atatengwa na kanisa hilo. Mwaka 1884 Papa Leo XIII naye alitoa tamko akisema kuwa Freemasonry ni moja ya asasi za siri ambacho kinalenga kuhuisha mila za kipagani na kusimamisha dola ya shetani duniani (David Icke, ‘The Biggest Secret’).

Hata hivyo harakati hizo hazikuwa na nguvu wala athari kwani baada ya muda mambo yaliyofunikwa yalianza kufunuka kadiri muda ulivyopita.

Muandishi Piers Compton katika kitabu chake alichokiita The Broken Cross, ameelezea namna Illuminait walivyoweza kujipenyeza ndani ya Kanisa Katoliki. Katika maandishi yake Piers anasema ile nembo kuu ya Illuminant yenye jicho moja ndani ya kipande cha piramidi imekuwa ikitumiwa kama muhuri na baadhi ya viongozi wa Vatican, katika mkutano uliokwenda kwa jina la Philadelphia Eucharistic Congress wa mwaka 1976 alama ya jicho moja ilitumika kama nakshi kwenye eneo la mkutano, ikaendelea kutumiwa na Jumuiya ya siri ya Jesuit na pia kwenye stempu za Vatican za mwaka 1976 ambapo zilitumika kama alama ya ushindi kwa Illuminati dhidi ya Kanisa Katoliki.( Piers Compton ‘The Broken Cross’)

Piers akaendelea kudai katika maandishi yake kuwa Papa John XXII alikuwa akivaa nembo ya ‘all seeing eye’ ndani ya piramidi katika msalaba wake. Pia inaaminika kuwa Papa John XXII alikuwa ni mwanachama wa Illuminanti (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Vatican ni bendera inayofuata upepo wa Illuminant hili linatiliwa nguvu na kitendo cha mwaka 1983, 27 Novemba ambapo Papa alizitengua amri na maandishi ya Papa waliotangulia dhidi ya freemasonry na kuruhusu kwa Wakatoliki kujiunga na fremasonry au kikundi na jumuiya yoyote ya siri bila hofu yoyote ya kutengwa na kanisa, amri hizo alizozitengua zilikuwa hai kwa mamia ya miaka.( Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Lengo la Illuminant la kuwa na Papa wao wenyewe ndani ya Vatican linaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha juu mno na hivyo mazingira ya kumpata msimamizi wa nafasi ya Mpinga Kristo/ Masihdajal kabla ya kuja kwake yako wazi kwa upande wa Vatican ambako mafundisho ya Biblia katika kitabu cha ufunuo yanatabiri kutokea kwa mtu huyo wa kukaimu nafasi hiyo katika mji wa Roma.

Vatican walimpatia Papa John Paul II mahala pa ibada, maombi na shughuli zihusuzo amani katika mji wa New Jersey kwenye eneo la 1711 Ocean Avanue, Springlake. Kituo hicho kilikuwa ni maalum kwa mpango ulioitwa wa kuleta amani duniani ambao utaileta dunia pamoja. Kituo hichi kilikuwa na shughuli nyingi lakini iliyo kuwa kuu ni, kwanza kutoa muongozo wa elimu na wa kidini kwa Wakatoliki na watoto wao ili wakubaliane na New World Order, na pili ni masuala ya amani kidunia, mzigo huo kakabidhiwa Papa, kwenye kituo hicho kuna kompyuta iliyo unganishwa kwa satelaiti na miji mingine yote duniani, miji mikuu kiserikali au kitaifa, kwa hiyo viongozi wetu wanaripoti matatizo yote yahasiyo kuhatarisha amani ya dunia katika hiyo kompyuta ya Papa na ofisi ya Papa anayashughulikia,( Milton William Cooper ‘Behold A Pale Horse’)

Tayari hapa kesha valishwa kofia ya mmoja anayengojewa, kofia ya Massihdajal, kofia ya Mpinga Kristo.

mpango huu ndiyo ulio zaa lile suala la uvumilivu baina ya dini mbalimbali na mashirikiano halafu baadaye ukaanza kupenyezwa mpango wa kuwashawishi viongozi mbalimbali wa dini tofauti kukubaliana na kushirikiana katika mafundisho yao, Tanzania tukaanza kuletewa wazo la kuwa na mtaala mmoja wa masomo ya dini zote utakao fundishwa na kiongozi wa dini yoyote kwa watu wadini tofauti, viongozi wa dini mbalimbali hapa Tanzania walikutana kule Zanzibar kupanga mkakati wa kuwafikishia waumini wao amri ya Papa. Kuna uzi nimeona umepostiwa wa Papa wa sasa akibusiana na Mufti sijui ni wawapi katika kuhitimisha mambo ya mani duniani, lakini hii ni muendelezo wa huu mpango.

Hali hii ilizua mfarakano na mkanganyiko baina ya Waislam na baadhi ya watu wanaoitwa viongozi wao wa kipindi kile ambao kwa kila hali walikuwa wakilifanyia kazi suala hili kutoka kwa Papa, na bado suala hilo linaendela hapa nchini chini kwa chini kwa majina na mikakati tofauti, lakini lengo likiwa ni lile lile.

Naye Papa alikuwa na haya ya kusema alipokuwa akizungumzia malengo ya ofisi yake hiyo alipokuwa katika kongamano la watu mnamo Septemba 15, mwaka 1982, Papa John Paul II, alisema,

“Jerusalem lazima iwe ni jiji la mtu, ambapo waumini wa dini kuu tatu duniani - Uyahudi, Ukristo na Uislamu - wataishi kwa uhuru na usawa, na pia itakuwa kwa waumini wa dini na jamii zingine, kwa kutambua kuwa hili jiji ni takatifu juu ya yote...”

Harakati hizi bado hazijafa, ziko hai na zinaendelea na lengo ni kuwaleta watu wote katika dini moja, dini ya kishetani nyuma ya mashekhe, mapapa na wachungaji.

Mwanaharakati aliyefanya kazi kubwa kuwafungua walimwengu macho kuhusiana na ubaya wa Babilon Botherhood bwana William Cooper ambaye alipata kuwa katika kitengo cha ulinzi cha Marekani cha Naval Inteleigence kabla ya kustaafu na kuondoka na nyaraka nyingi za siri alizozitumia kuwafumbua walimwengu macho kabla hajauwawa mwaka 2001 kutokana na harakati zake hizo. William Cooper katika harakati zake hizo za upekuzi alipokuwa Naval Inteligence Agency aliipata ile hadithi ya ndani ya mtu mmoja kutoka Poland, hakusita kushea nasi hadithi hiyo, kwa maandishi yake anasema hivi,

“Mwanzoni mwa miaka ya 1940, I.G Farben Chemical Company ilimuajiri mtu mmoja, mwenye fani ya uuzuaji ambaye alianza kuuza sumu kali aina ya Cyanide kwa watu wa NAZI kwa ajili ya kuitumia kwenye kambi yao ya Auschwitz. Muuza sumu huyo pia alifanya kazi kama mkemia katika kuzalisha hewa ya sumu. Gesi hiyo ya sumu pamoja na sumu ya Cynide pamoja na sumu nyingine aina ya Zyklon B pamoja na sumu nyingine ya hewa aina ya Malathion zilitumika kuwauwa mamilioni ya watu waliojiita Wayahudi ambao kiuhakika ni wa-Khazaer kutoka milima ya Uturuki. Wahanga hao waliokataa asili yao kwa ajili ya kufanikisha ajenda miili yao ilichomwa kwenye oveni za moto na kuwa majivu. Baada ya vita muuza sumu akawa anahofia juu ya maisha yake, akaamua kujiunga na kanisa la Katoliki na mwaka 1946 akafanywa mchungaji. Rafiki mkubwa wa muuza sumu huyu alikuwa ni Dr. Wolf Szmuness mtu ambaye alikuwa ni kinara kwenye matukio yaliyotokea Novemba 1978, Oktoba 1979, Machi 1980 na Oktoba 1981, matukio ambayo yalihusisha majaribio ya kuwapatia watu chanjo ya homa ya manjano katika maeneo ya New York, San Francisco, na miji mingine minne ambako kote huko waliachiwa kile ambacho leo tunaita ni janga la Ukimwi kutokana na chanjo hiyo, (wauza sumu wamekutana). Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II. Mwaka 1990 ilikuwa ni wakati muafaka, na viongozi muafaka: Alikuwepo Mikhail Gorbachev aliyekuwa kiongozi wa KGB wakati wa vita baridi, aliyekuwa kiongozi wa CIA George Bush, na aliyekuwa muuza sumu wakati wa utawala wa NAZI Papa John Paul II, wote wakiunganishwa na muungano usio kuwa takatifu kwa ajili ya kuleta New World Order” (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’ uk 89-90)
Vinara hawa wa New World Order kila mtu kwa wakati wake alithibitisha hilo, mwaka 1990 gazeti la New York Times lilimnukuu George Bush akisema,
“Tuwasamehe wakosaji wa kivita wa Nazi” ( New York Times of April 14, 1990)

Na kwa nini asiseme hivyo ikiwa baba yake ndiye alimdhamini Hitler katika vita hivyo na kijana wao ambaye sasa yuko naye katika ushirika mmoja usio mtakatifu alikuwa ndiye muuza sumu kwa wahanga waliudanganya ulimwengu kuwa wao ni Wayahudi? Mwaka 1982, Desemba 12 gazeti la Los Angeles Times lilimnukuu Papa John Paul II akisema

“Usiende kwa Mungu kwa ajili ya kutaka msamaha wa dhambi, njoo kwangu”( Los Angeles December 12, 1982.)

Kwa maneno mengine Papa anawaambia watu kwamba yeye ndiye Mungu, ajabu muuza sumu kageuka kuwa Mungu.
Papa anatoa changamoto kwa watu wa dunia hii ya tatu kutoka kwenye jua kwamba, kutokana na mafundisho ya biblia Mungu aliifanya siku ya Jumamosi kuwa ndiyo siku ya mapumziko, ndiyo siku ya Sabato, lakini mwaka 364 A.D. katika shauri lililofanyika Laodicea, Syria Papa alibadilisha na kuwa ni siku ya Jumapili.

Papa hapa anauonesha ulimwengu wa Kikristo kwamba yuko juu ya Mungu na ii ndiyo maana anaweza kuzitengua na kuzibadilisha sharia zake, ndiyo maana anawaambia watu wasiende kwa Mungu kutaka msamaha waende kwake.

Leo dunia nzima inapumzika siku ya Jumapili, kwa sababu gani? Kwa sababu Papa kasema hivyo. Hivi unajua siku ya kwanza ya wiki ni siku gani? Kuja mpaka miaka ya 90, siku ya kwanza ya wiki ilifahamika kuwa ni Jumamosi, na hata inavyo tamkwa, juma-mosi, hapo mosi ikimaanisha awali, na juma kama siku. Lakini hivi sasa kalenda zote zimebadilika, siku ya kwanza ya wiki ni ‘Jumapili’. Tizama kalenda yoyote ya sasa, utaona hivyo, na tizama kalenda za miaka ya 90 kurudi nyuma, utaona ni Jumamosi. Taratibu mambo yanabadilishwa kuelekea kwenye lengo kuu. Kwanini Jumapili ... soon tutaona.

Papa ni msimamizi wa shughuli za asasi za siri vya Knight Templer na Knight Malta. (David Icke ‘The Biggest Secret)

...... To be continued ......

[/Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II.

Kuna uongo mwingi tu ila angalia uongo huu wewe mwenyewe na Pia fanya utafiti:

Papa John Paul II alishika wadhifa wa upapa sio mwaka 1958 kama upotofu huo hapo juu unavyoonesha, bali alikuwa papa mwaka 1978. John Paul II hakuwa papa siku 30 baada ya kuchaguliwa kardinali. Hivyo upo uongo mwingi sana kwa haya unayo yaweka hapa ukitafsiri kutoka vyanzo usivyovijua vizuri. Wewe msabato?
 
TANBIHI: MADA HII SI KWA WATU WOTE. MAHUSUSI KWA WALE WENYE FIKRA PANA, WENYE UWEZO WA KUPOKEA MAWAZO KIZANI NA ELIMU NA IMANI YAO NA KUYACHANGANUA NA KUJENGA HOJA, DHANA SAWA AU TOFAUTI BILA KUKWAZIKA AU KUMKWAZA YOYOTE. KWA NAMNA YOYOTE IKIWA UNAFAHAMU UWEZO WAKO WA KUCHANGANUA NA KUTOFAUTISHA NA KUKWAZIKA NI MWEPESI NA MDOGO SANA, TAFADHALI ISHIA HAPA. VINGINEVYO MUANDISHI SI LENGI KUMKWAZA YOYOTE, KUMDHIHAKI, KUMTUKANA AU KUMDHALILISHA KWA NAMNA YOYOTE ILE YOYOTE YULE, ILA KUTOA ELIMU.

“Ule ukweli ambao unamfanya mtu kuwa huru ndiyo sehemu kubwa ya ukweli ambao mtu hataki kuusikia” Herbert Agar

Kata kupitia gamba la nje na utapata maana; kata kupitia hiyo maana na utapata maana nyingine; chini ya hii maana mpya, kama ukichimba ndani zaidi kiasi cha kutosha, unaweza kupata maana nyingine ya tatu, ya nne... ni nani wa kusema kuna mafunzo mangapi?Carl Claudy mwandishi wa kimasonia

Kwa muda mrefu Illuminanti wamekuwa wakijipenyeza ndani ya Vatican hili ilisababisha mnamo mwaka 1738 Papa Clement XII alitoa tamko la kimaandishi ambalo liliwaonya wa Katoliki kutojiunga na Freemasonry, katika tamko hilo Papa Clement XII alisema Mkatoliki yoyote atakae jiunga na freemasonry atatengwa na kanisa hilo. Mwaka 1884 Papa Leo XIII naye alitoa tamko akisema kuwa Freemasonry ni moja ya asasi za siri ambacho kinalenga kuhuisha mila za kipagani na kusimamisha dola ya shetani duniani (David Icke, ‘The Biggest Secret’).

Hata hivyo harakati hizo hazikuwa na nguvu wala athari kwani baada ya muda mambo yaliyofunikwa yalianza kufunuka kadiri muda ulivyopita.

Muandishi Piers Compton katika kitabu chake alichokiita The Broken Cross, ameelezea namna Illuminait walivyoweza kujipenyeza ndani ya Kanisa Katoliki. Katika maandishi yake Piers anasema ile nembo kuu ya Illuminant yenye jicho moja ndani ya kipande cha piramidi imekuwa ikitumiwa kama muhuri na baadhi ya viongozi wa Vatican, katika mkutano uliokwenda kwa jina la Philadelphia Eucharistic Congress wa mwaka 1976 alama ya jicho moja ilitumika kama nakshi kwenye eneo la mkutano, ikaendelea kutumiwa na Jumuiya ya siri ya Jesuit na pia kwenye stempu za Vatican za mwaka 1976 ambapo zilitumika kama alama ya ushindi kwa Illuminati dhidi ya Kanisa Katoliki.( Piers Compton ‘The Broken Cross’)

Piers akaendelea kudai katika maandishi yake kuwa Papa John XXII alikuwa akivaa nembo ya ‘all seeing eye’ ndani ya piramidi katika msalaba wake. Pia inaaminika kuwa Papa John XXII alikuwa ni mwanachama wa Illuminanti (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Vatican ni bendera inayofuata upepo wa Illuminant hili linatiliwa nguvu na kitendo cha mwaka 1983, 27 Novemba ambapo Papa alizitengua amri na maandishi ya Papa waliotangulia dhidi ya freemasonry na kuruhusu kwa Wakatoliki kujiunga na fremasonry au kikundi na jumuiya yoyote ya siri bila hofu yoyote ya kutengwa na kanisa, amri hizo alizozitengua zilikuwa hai kwa mamia ya miaka.( Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’)

Lengo la Illuminant la kuwa na Papa wao wenyewe ndani ya Vatican linaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha juu mno na hivyo mazingira ya kumpata msimamizi wa nafasi ya Mpinga Kristo/ Masihdajal kabla ya kuja kwake yako wazi kwa upande wa Vatican ambako mafundisho ya Biblia katika kitabu cha ufunuo yanatabiri kutokea kwa mtu huyo wa kukaimu nafasi hiyo katika mji wa Roma.

Vatican walimpatia Papa John Paul II mahala pa ibada, maombi na shughuli zihusuzo amani katika mji wa New Jersey kwenye eneo la 1711 Ocean Avanue, Springlake. Kituo hicho kilikuwa ni maalum kwa mpango ulioitwa wa kuleta amani duniani ambao utaileta dunia pamoja. Kituo hichi kilikuwa na shughuli nyingi lakini iliyo kuwa kuu ni, kwanza kutoa muongozo wa elimu na wa kidini kwa Wakatoliki na watoto wao ili wakubaliane na New World Order, na pili ni masuala ya amani kidunia, mzigo huo kakabidhiwa Papa, kwenye kituo hicho kuna kompyuta iliyo unganishwa kwa satelaiti na miji mingine yote duniani, miji mikuu kiserikali au kitaifa, kwa hiyo viongozi wetu wanaripoti matatizo yote yahasiyo kuhatarisha amani ya dunia katika hiyo kompyuta ya Papa na ofisi ya Papa anayashughulikia,( Milton William Cooper ‘Behold A Pale Horse’)

Tayari hapa kesha valishwa kofia ya mmoja anayengojewa, kofia ya Massihdajal, kofia ya Mpinga Kristo.

mpango huu ndiyo ulio zaa lile suala la uvumilivu baina ya dini mbalimbali na mashirikiano halafu baadaye ukaanza kupenyezwa mpango wa kuwashawishi viongozi mbalimbali wa dini tofauti kukubaliana na kushirikiana katika mafundisho yao, Tanzania tukaanza kuletewa wazo la kuwa na mtaala mmoja wa masomo ya dini zote utakao fundishwa na kiongozi wa dini yoyote kwa watu wadini tofauti, viongozi wa dini mbalimbali hapa Tanzania walikutana kule Zanzibar kupanga mkakati wa kuwafikishia waumini wao amri ya Papa. Kuna uzi nimeona umepostiwa wa Papa wa sasa akibusiana na Mufti sijui ni wawapi katika kuhitimisha mambo ya mani duniani, lakini hii ni muendelezo wa huu mpango.

Hali hii ilizua mfarakano na mkanganyiko baina ya Waislam na baadhi ya watu wanaoitwa viongozi wao wa kipindi kile ambao kwa kila hali walikuwa wakilifanyia kazi suala hili kutoka kwa Papa, na bado suala hilo linaendela hapa nchini chini kwa chini kwa majina na mikakati tofauti, lakini lengo likiwa ni lile lile.

Naye Papa alikuwa na haya ya kusema alipokuwa akizungumzia malengo ya ofisi yake hiyo alipokuwa katika kongamano la watu mnamo Septemba 15, mwaka 1982, Papa John Paul II, alisema,

“Jerusalem lazima iwe ni jiji la mtu, ambapo waumini wa dini kuu tatu duniani - Uyahudi, Ukristo na Uislamu - wataishi kwa uhuru na usawa, na pia itakuwa kwa waumini wa dini na jamii zingine, kwa kutambua kuwa hili jiji ni takatifu juu ya yote...”

Harakati hizi bado hazijafa, ziko hai na zinaendelea na lengo ni kuwaleta watu wote katika dini moja, dini ya kishetani nyuma ya mashekhe, mapapa na wachungaji.

Mwanaharakati aliyefanya kazi kubwa kuwafungua walimwengu macho kuhusiana na ubaya wa Babilon Botherhood bwana William Cooper ambaye alipata kuwa katika kitengo cha ulinzi cha Marekani cha Naval Inteleigence kabla ya kustaafu na kuondoka na nyaraka nyingi za siri alizozitumia kuwafumbua walimwengu macho kabla hajauwawa mwaka 2001 kutokana na harakati zake hizo. William Cooper katika harakati zake hizo za upekuzi alipokuwa Naval Inteligence Agency aliipata ile hadithi ya ndani ya mtu mmoja kutoka Poland, hakusita kushea nasi hadithi hiyo, kwa maandishi yake anasema hivi,

“Mwanzoni mwa miaka ya 1940, I.G Farben Chemical Company ilimuajiri mtu mmoja, mwenye fani ya uuzuaji ambaye alianza kuuza sumu kali aina ya Cyanide kwa watu wa NAZI kwa ajili ya kuitumia kwenye kambi yao ya Auschwitz. Muuza sumu huyo pia alifanya kazi kama mkemia katika kuzalisha hewa ya sumu. Gesi hiyo ya sumu pamoja na sumu ya Cynide pamoja na sumu nyingine aina ya Zyklon B pamoja na sumu nyingine ya hewa aina ya Malathion zilitumika kuwauwa mamilioni ya watu waliojiita Wayahudi ambao kiuhakika ni wa-Khazaer kutoka milima ya Uturuki. Wahanga hao waliokataa asili yao kwa ajili ya kufanikisha ajenda miili yao ilichomwa kwenye oveni za moto na kuwa majivu. Baada ya vita muuza sumu akawa anahofia juu ya maisha yake, akaamua kujiunga na kanisa la Katoliki na mwaka 1946 akafanywa mchungaji. Rafiki mkubwa wa muuza sumu huyu alikuwa ni Dr. Wolf Szmuness mtu ambaye alikuwa ni kinara kwenye matukio yaliyotokea Novemba 1978, Oktoba 1979, Machi 1980 na Oktoba 1981, matukio ambayo yalihusisha majaribio ya kuwapatia watu chanjo ya homa ya manjano katika maeneo ya New York, San Francisco, na miji mingine minne ambako kote huko waliachiwa kile ambacho leo tunaita ni janga la Ukimwi kutokana na chanjo hiyo, (wauza sumu wamekutana). Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II. Mwaka 1990 ilikuwa ni wakati muafaka, na viongozi muafaka: Alikuwepo Mikhail Gorbachev aliyekuwa kiongozi wa KGB wakati wa vita baridi, aliyekuwa kiongozi wa CIA George Bush, na aliyekuwa muuza sumu wakati wa utawala wa NAZI Papa John Paul II, wote wakiunganishwa na muungano usio kuwa takatifu kwa ajili ya kuleta New World Order” (Milton William Cooper ‘Be Hold A Pale Horse’ uk 89-90)
Vinara hawa wa New World Order kila mtu kwa wakati wake alithibitisha hilo, mwaka 1990 gazeti la New York Times lilimnukuu George Bush akisema,
“Tuwasamehe wakosaji wa kivita wa Nazi” ( New York Times of April 14, 1990)

Na kwa nini asiseme hivyo ikiwa baba yake ndiye alimdhamini Hitler katika vita hivyo na kijana wao ambaye sasa yuko naye katika ushirika mmoja usio mtakatifu alikuwa ndiye muuza sumu kwa wahanga waliudanganya ulimwengu kuwa wao ni Wayahudi? Mwaka 1982, Desemba 12 gazeti la Los Angeles Times lilimnukuu Papa John Paul II akisema

“Usiende kwa Mungu kwa ajili ya kutaka msamaha wa dhambi, njoo kwangu”( Los Angeles December 12, 1982.)

Kwa maneno mengine Papa anawaambia watu kwamba yeye ndiye Mungu, ajabu muuza sumu kageuka kuwa Mungu.
Papa anatoa changamoto kwa watu wa dunia hii ya tatu kutoka kwenye jua kwamba, kutokana na mafundisho ya biblia Mungu aliifanya siku ya Jumamosi kuwa ndiyo siku ya mapumziko, ndiyo siku ya Sabato, lakini mwaka 364 A.D. katika shauri lililofanyika Laodicea, Syria Papa alibadilisha na kuwa ni siku ya Jumapili.

Papa hapa anauonesha ulimwengu wa Kikristo kwamba yuko juu ya Mungu na ii ndiyo maana anaweza kuzitengua na kuzibadilisha sharia zake, ndiyo maana anawaambia watu wasiende kwa Mungu kutaka msamaha waende kwake.

Leo dunia nzima inapumzika siku ya Jumapili, kwa sababu gani? Kwa sababu Papa kasema hivyo. Hivi unajua siku ya kwanza ya wiki ni siku gani? Kuja mpaka miaka ya 90, siku ya kwanza ya wiki ilifahamika kuwa ni Jumamosi, na hata inavyo tamkwa, juma-mosi, hapo mosi ikimaanisha awali, na juma kama siku. Lakini hivi sasa kalenda zote zimebadilika, siku ya kwanza ya wiki ni ‘Jumapili’. Tizama kalenda yoyote ya sasa, utaona hivyo, na tizama kalenda za miaka ya 90 kurudi nyuma, utaona ni Jumamosi. Taratibu mambo yanabadilishwa kuelekea kwenye lengo kuu. Kwanini Jumapili ... soon tutaona.

Papa ni msimamizi wa shughuli za asasi za siri vya Knight Templer na Knight Malta. (David Icke ‘The Biggest Secret)

...... To be continued ......
Mwaka 1958 muuza sumu huyo akachaguliwa kama Kardinali na siku 30 baada ya kuchaguliwa kwake kiongozi wake wa juu wa Vatican aliuwawa na muuza sumu wetu akachaguliwa kushika wadhifa wa upapa kama Papa John Paul II.

Kuna uongo mwingi tu ila angalia uongo huu wewe mwenyewe na Pia fanya utafiti:

Papa John Paul II alishika wadhifa wa upapa sio mwaka 1958 kama upotofu huo hapo juu unavyoonesha, bali alikuwa papa mwaka 1978. John Paul II hakuwa papa siku 30 baada ya kuchaguliwa kardinali. Hivyo upo uongo mwingi sana kwa haya unayo yaweka hapa ukitafsiri kutoka vyanzo usivyovijua vizuri. Wewe msabato?
 
Back
Top Bottom