Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Hivi ghafla Nduguyo wa damu anakuletea ulinzi nyumbani kwako maaskari kama 20 hivi, pana usalama kweli hapo?
Tatizo ni kutoamini kila kinachofanywa na bara. Unaposema unaletewa ulinzi nyumbani kwako unamaanisha askari hawana mandate ya kufanya kazi Pemba? Suala la usalama si la muungano au na hili liliingizwa kinyemela kwenye mambo yahusuyo Muungano? IGP akisikia kuna hali isiyoridhisha Pemba asiongeze askari na kuwasikiliza akina Rashid Mohamed kuwa kuna usalama kwa hiyo aache? Acheni ubaguzi!!