PCCB: Tuna manufaa nayo?

Hivi wewe mwana Takukuru ama kweli unatia aibu. Kweli wewe unajidai kuwa na uchungu halafu unamwaga uchafu wa kwenu kwenye mtandao wa wazi halafu unajiita investigator? Hivi ndivyo ulivyofundishwa na Hosea kuja kuelezea siri za ofisini kwako and you hope utaaminika na kupata sympathy toka kwa sisi tusiohusika.

Hakuna ofisi iyokuwa na makundi na kama huamini hilo wewe ni mwongo kwa vile kutokana na usemi wako inaonekana huyo bosi wenu aliyeoondoka wewe ulikuwa kwenye kundi lake na sasa kaja farao asiyemjua Yusufu tumbo lako moto. Hili waulize wanamtandao wa CCM watukupa laivu yaliyowafika Dodoma! Pole ndungu yangu kila shetani na mbuyu wake

Naona wewe ni mtu ambaye huyo bosi wako amekuweka pabaya na huenda mategemeo yako na hao wakurugenzi wengine yalikuwa ni kupanda lakini Muungwana Jk kawapiga chenga ya mwili. Ulikuwa na mategemeo ya kuwa mkuruguzenzi na badala yake umetupwa sijui wilaya gani au sijui ukaamua kwenda kupata degree nyingine .. unajua tena mambo yasipo kunyokea basi wengine woote hawajui kitu.

Mara nyingi mtu amabaye ana facts huwa ndiye wa kwanza kusema haya:

Tumechoka na majigamgo yako sasa tunataka kazi. Tunataka ukweli juu ya nini kinakwamisha kazi zisifanyike mikoani. Kwani hatuletewi fedha?

Usipobadilika na kuanza kujali kazi na kuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za serikali tutalazimika kufanya yafuatayo;

a) Tutayaanika katika vyombo vya habari kwani ushahidi wote tunao ili jamii ijue nini hasa kinaendelea ndani ya chombo.

b) Tutayasambaza katika tovuti ili kila aliye ndani na nje apate kuyasoma na kuyaelewa kwa nafasi.


Inanikumbusha hadithi ya jamaa mmoja aliyekuwa anazabwa vibao na mkewe akaamua kwenda kumpakazia kwa rafiki zake kuwa mkewe hajui kutawaza na huwa ananuka mkojo, wakamuuliza hivi mkeo wa ndoa au nyumba ndogo, akajibu mke wangu wa ndoa; wakamwuuliza unaishi naye, akajibu ndiyo; wakamwuuliza, je umemwambia hayo, akajibu mke wangu mjeuri; wakambana zaidi ni mjeuri au hajui kutawaza, akajibu ninyi hammjui mke wangu mimi ndiye namjua; wakamuuliza sasa unataka tukusaidie vipi? Huyu bwana akasema haya " Na leo asiponifungulia mlango nitatoa siri zake zote". Na ni hapo ndipo rafiki zake wakaduaa na kubaki midomo wazi wakijiuliza hivi huyu kweli mkewe na kama ni kweli je haya anayotueleza yametoka akilini au pombe?

Wewe niya yako ni kumwaga matatizo yako kwa watu wasio husika, you are actually barking at the wrong tree! Wanaofanya mambo wala hata siku moja hutawasikia wakibwata mambo yao humu ndani utasikia tu mambo yanafanyika.

La mwisho ni kuwa kwa vile haya uliyoyaandika ni personal attack on a public forum kwa bosi wako, wewe unampa bosi wako sababu tosha za kukushugulikia kinidhamu na ingekuwa mimi I would fire you immediately. Kama mwana usalam huwezi kuandika document kama hii on a public forum na ukajidai wewe umeelemika na umebobea mambo ya investigation au mwalimu wako ni Hosea huyo huyo!

Umeitia aibu aibu ofisi yako na ningekuona wa maana kama unge tumia njia za kiofisi na hizo nakala ambozo unadai umezituma Ikulu usingetuambia JF, au umetumwa - nanukuu msemo wa Hosea uliokuchoma kule Marangu.

Soma salama na wasalime jamaa zako mbezi beach!

MENOSUGU
 
MENOSUGU,

Duuhh....mshikaji post ya kwanza tu namna hiyo...................teh teh teh....karibu sana JF,

Inaelekea mwandishi wa barua aliiwakilisha barua yake kunakohusika ..........na ameshindwa vumilia majibu yanachelewa.........kaamua eti kutumwagia hapa JF, hakujua hapa JF kuna watu wadadisi na makini.

unajua nilicheka sana kwenye sehemu ya barua yake.............eti anasema Hosea kawakataza kumtembelea DG wa zamani..............huu nauita UJINGA tena wa kitoto.

Tunajua Hosea ana udhaifu wake so as Kamazima na viongozi wengine pia na hapa JF tunawakoma kwa data za uhakika....................na sio kutuambia eti mtu mzima umekatazwa kwenda kumsalimia Kamazima....NONSENSE!!
 
Tarishi hauwawi.
Hii habari imetoka katika Majira leo, 8/11/2007
Tuhuma dhidi ya TAKUKURU mitandaoni zichunguzwe

Habari Zinazoshabihiana
• Mkapa tafakari upya na kwa umakini 21.10.2007 [Soma]
• Kukosa uzalendo kunavyoweza kuiathiri Tanzania 15.10.2007 [Soma]
• Viongozi angalieni hali ya wananchi 22.10.2007 [Soma]

JUZI gazeti hili liliandika habari kuhusiana na baadhi ya wananchi kulalamikia tabia iliyojitokeza hivi sasa miongoni mwa watu, ya matumizi hasi ya mtandao wa intaneti kwa kutumia ujumbe wenye kashfa na matusi dhidi ya viongozi au taasisi mbalimbali za kijamii.

Wananchi hao pamoja na malalamiko yao, walisema hayo si matumizi mazuri na ni kinyume na nia hasa ya kuwapo kwa huduma ya mtandao wa intaneti katika jamii, kwamba badala ya kuweka ujumbe ambao unaelimisha jamii, hivi sasa hutumika kama chombo cha kueneza uongo na chuki katika jamii.

Baadhi ya watu maarufu wakiwamo wasanii hivi sasa wamekuwa wakibadilishiwa maumbile yao na miili iliyo uchi kubandikwa sura zao na kuonekana kuwa wanapiga picha za uchi na kuzisambaza ndani na nje ya nchi kwa nia ya kujipatia kipato.

Hali hiyo hivi karibuni iliingia katika medani ya siasa, ambapo watu wasiojulikana wamekuwa wakisambaza ujumbe wa kueleza kile wanachokiita ni ufisadi na uchafu unaofanywa na baadhi ya viongozi wa taasisi mbalimbali vikiwamo vyama vya siasa vya Upinzani na Tawala.

Maeneo yaliyokumbwa na kadhia hiyo ni viongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), tasnia ya utalii, madini na biashara; kwa kinachotaka kuenezwa kuwa maeneo hayo yananuka kutokana na ubadhirifu usio na kizuizi.

Nia ya ujumbe huo ni kutaka kuifahamisha jamii kuwa viongozi wa maeneo hayo na hasa TAKUKURU hawafai na wanastahili kuondolewa kwa madai kuwa wanashirikiana na wafanyabiashara wachafu tena wakiwamo wageni katika 'kuiuza' nchi na maliasili zake.

Sisi tunaamini kuwa Serikali imeliona hili na inajua ni yapi madhara yake huko tuendako na hasa kama yanayosemwa humo hayatakuwa na ukweli; hivyo tunachotaka ni kuishauri ichukue hatua madhubuti za kuchunguza tuhuma hizo na kuzipatia ufumbuzi.

Ni kwa kufanya hivyo tu ndipo itakapobaini ukweli na uhalisia wa mambo, ili kama yanayosemwa yana ukweli, basi watuhumiwa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria na kama hayana ukweli, wanaoeneza uongo nao wachukuliwe hatua ili mtandao wa intaneti uwe mahali pa kujifunza na si kuchafuana au kuzushiana.

Tunasema hivyo, tukiamini kuwa TAKUKURU ni chombo muhimu chenye kustahili heshima kinachotegemewa na jamii katika kupambana na ufisadi na rushwa nchini, sasa kama nacho hakitaaminiwa na wananchi kutokana tu na ujumbe katika mtandao, basi litakuwa ni jambo la hatari sana.

Kutoaminiwa kwa TAKUKURU kwa madai kwamba uongozi wake una kasoro, ni sawa pia na kutoaminiwa kwa juhudi za Rais Jakaya Kikwete na Serikali yake katika mapambano dhidi ya rushwa ambayo yalishaanza kujionesha hata ndani ya chama chake cha CCM ambacho yeye ni Mwenyekiti.

Kumbe kazi ya JF inaeleweka sana eeh?
 
MENOSUGU,

Duuhh....mshikaji post ya kwanza tu namna hiyo...................teh teh teh....karibu sana JF,

Inaelekea mwandishi wa barua aliiwakilisha barua yake kunakohusika ..........na ameshindwa vumilia majibu yanachelewa.........kaamua eti kutumwagia hapa JF, hakujua hapa JF kuna watu wadadisi na makini.

unajua nilicheka sana kwenye sehemu ya barua yake.............eti anasema Hosea kawakataza kumtembelea DG wa zamani..............huu nauita UJINGA tena wa kitoto.

Tunajua Hosea ana udhaifu wake so as Kamazima na viongozi wengine pia na hapa JF tunawakoma kwa data za uhakika....................na sio kutuambia eti mtu mzima umekatazwa kwenda kumsalimia Kamazima....NONSENSE!!


Nimekuwa pembeni ila huyu jamaa "investigator" aliyekuwa kabebwa na farao wa zamani nadhani kawekwa benchi na yale marupurupu na "OC" kebekebe hazipo. Sasa inabidi aanzae yale ya sungura "mbichi hizo". Tena inaonekana yuko shule maanake nimeitrace hiyo IP ya ni ya chuo kimoja hapa nchini .. jina tunalo.

Akhsante kwa kunikaribisha.
 
Unaona sasa ishakuwa tabu, badala ya kuangalia tuhuma tunaanza kumtafuta aliyetuma barua :(
 
Unaona sasa ishakuwa tabu, badala ya kuangalia tuhuma tunaanza kumtafuta aliyetuma barua :(

Swala siyo kutafutana swala ni ukweli unavyosemwa na unasemewa wapi!. Ukweli unaweza ukawa umbea au uwongo kitona na pale unaposemwa. Nyumbani unamwita mkeo "wewe mwanamke" ukifika mbele za watu unajidai kumwita "darling". Hapa JF unakuwa mkali ofisini TAKUKURU unatoa shikamoo bosi! Wacha unafiki!

Pili, inabidi ujue kuwa usemapo jambo uwe tayari kujulikana na kujitetea, kwa vile taaluma hizi hizi za kujificha ndiyo hizo hizo za kukufichua. Usije ukadhani kwa vile hujui kilatini basi padri asemapo kilatini ni mbabaishaji. Waulize moderators na sys admins hapa JF watakuambia ukweli huo. utaikimbilia kuifungua attachment kumbe unalizwa. Haya utadhani gogo linaelea kumbe mamba!

Mwisho, kumbe alikuwa hataki ajulikane, dunia siyo lele mama, dunia ya sasi si ya kutoa ushuzi ukadhani utamsingizia mtoto!! Inabidi ukomae kujibu mapigo!!

MENOSUGU
 
Swala siyo kutafutana swala ni ukweli unavyosemwa na unasemewa wapi!. Ukweli unaweza ukawa umbea au uwongo kitona na pale unaposemwa. Nyumbani unamwita mkeo "wewe mwanamke" ukifika mbele za watu unajidai kumwita "darling". Hapa JF unakuwa mkali ofisini TAKUKURU unatoa shikamoo bosi! Wacha unafiki!

Pili, inabidi ujue kuwa usemapo jambo uwe tayari kujulikana na kujitetea, kwa vile taaluma hizi hizi za kujificha ndiyo hizo hizo za kukufichua. Usije ukadhani kwa vile hujui kilatini basi padri asemapo kilatini ni mbabaishaji. Waulize moderators na sys admins hapa JF watakuambia ukweli huo. utaikimbilia kuifungua attachment kumbe unalizwa. Haya utadhani gogo linaelea kumbe mamba!

Mwisho, kumbe alikuwa hataki ajulikane, dunia siyo lele mama, dunia ya sasi si ya kutoa ushuzi ukadhani utamsingizia mtoto!! Inabidi ukomae kujibu mapigo!!

MENOSUGU

Menosugu,

JF huwa hatujali motives za watu bali tunaangalia ukweli wa hoja yenyewe.

Ili vita na Mafisadi ifanikiwe lazima tuwe tayari kupokea the dataz hata kutoka kwa watu wabaya, si unajua CIA huwa wanakuwa tayari kufanya kazi na mafia ili kupata ukweli?

Pamoja na mimi kuwa sceptical na hiyo barua lakini pia naona
badala ya wewe kumshambulia mtumaji, ungejibu hoja zake. Hakuna haja ya kutishiana mambo ya IP.

Udaku unajibiwa kwa facts na baada ya muda kila mtu anajua ni UDAKU.

Mfano mwandishi wa hiyo makala anaonyesha anataka kumblackmail mkurugenzi, lakini kama mtu una ukweli, wala huhitaji hata kutumia hizo tactics.
 
Menosugu,

JF huwa hatujali motives za watu bali tunaangalia ukweli wa hoja yenyewe.

Ili vita na Mafisadi ifanikiwe lazima tuwe tayari kupokea the dataz hata kutoka kwa watu wabaya, si unajua CIA huwa wanakuwa tayari kufanya kazi na mafia ili kupata ukweli?

Pamoja na mimi kuwa sceptical na hiyo barua lakini pia naona
badala ya wewe kumshambulia mtumaji, ungejibu hoja zake. Hakuna haja ya kutishiana mambo ya IP.

Udaku unajibiwa kwa facts na baada ya muda kila mtu anajua ni UDAKU.

Mfano mwandishi wa hiyo makala anaonyesha anataka kumblackmail mkurugenzi, lakini kama mtu una ukweli, wala huhitaji hata kutumia hizo tactics.

Mtanzania,

hata mimi nakubaliana nawewe hapa kuwa suala la kutishiana kujuana IP halitakiwi. Issue itajadiliwa ilivyo na kama ni udaku utaumbuka tu.

Wanaovujisha siri ni za serikali ni hao hao watu wa serikali na sidhani kama kuna issue sana kwenye motive kama mabaya ya govt yamewekwa wazi.

Kuna mtu hapa aliwahi kutisha watu eti wasivujishe habari zao JF kwa vile atatrace IP zao na kuwajua. Good news ni kuwa some of members hapa waliopata siri za serikali wanatunza big tyme source zao na sidhani kama kuna sababu ya watu kuogopa au kutishwa na vitisho ya menosugu hapa.

Nasisitiza hapa kuwa wale walioko serikalini wanaochukia ufisadi na wizi waendelee kuleta vitu hapa na wale ambao wanasita waendelee kunipa mimi kwenye PM na nitaviweka hapa maana mie sina shida na watu wanaotishia kujua IP address yangu.
 
Mtanzania,


Nasisitiza hapa kuwa wale walioko serikalini wanaochukia ufisadi na wizi waendelee kuleta vitu hapa na wale ambao wanasita waendelee kunipa mimi kwenye PM na nitaviweka hapa maana mie sina shida na watu wanaotishia kujua IP address yangu.

Hatishiki mtu hapa na mikwara mbuzi isiyo na kichwa wala miguu. Mbele kwa mbele. Hwana chochote. Sisi wengine huhitaji kutafuta IP zetu, na "nyani tunaendelea kumkoma gladi" vilevile.
 
Mwafrika wa Kike na Mtanzania,

Mwamfrika wa kike umesema ukweli kuwa kuna watu wamo humu wanatunza siri na sources zake, hiyo ni sawa na hata mimi pamoja na kusema mambo ya IP I will never ever divulge that information to anybody.

Mantiki yangu ni kuwa kuna njia nzuri za kupambana na watu kama Hosea - assuming kuna ukweli katika malalamiko hayo - Na huyu ndugu yetu wa Takukuru anajua hizo njia na pia hajasema kuwa imeshindikana kutumia njia hizo. Sasa kama yeye ndiye anaanza kutishia bosi wake kwa kusema asipobadilika mara moja - which anajua hawezi - ataanika siri za kiofisi (madhambi ya bosi wake hadharani) yeye anampa nguvu bosi wake kumshugulikia na ni kwa mantiki hiyo nikasema hayo ya IP, shule etc. Usimdharau unayemyanganya mlo, kuwa makini utoapo tuhuma, wala siyo ujinga!!

Mimi simtishii wala sina ubavu, ila naeleza wazi kuwa kuna a price to be paid kwa kuanika mambo hadharani hasa kwa wale walioapa kuzitunza habari za siri.

I believe in freedom, responsibility and accountability na pia naamini kunyamaza siyo kuashiria ujinga au woga !

MENOSUGU
 
Menosugu

Chonde mheshimiwa, ukitishia watoa nyeti, sisi tutapata wapi nyeti za SIRI KALI? si ndio maana ya mtandao, kuna wakati unakujenga na wakati mwingine unakubomoa. vumilia nyakati zote mkuu.
 
Mwafrika wa Kike na Mtanzania,

Mwamfrika wa kike umesema ukweli kuwa kuna watu wamo humu wanatunza siri na sources zake, hiyo ni sawa na hata mimi pamoja na kusema mambo ya IP I will never ever divulge that information to anybody.

Mantiki yangu ni kuwa kuna njia nzuri za kupambana na watu kama Hosea - assuming kuna ukweli katika malalamiko hayo - Na huyu ndugu yetu wa Takukuru anajua hizo njia na pia hajasema kuwa imeshindikana kutumia njia hizo. Sasa kama yeye ndiye anaanza kutishia bosi wake kwa kusema asipobadilika mara moja - which anajua hawezi - ataanika siri za kiofisi (madhambi ya bosi wake hadharani) yeye anampa nguvu bosi wake kumshugulikia na ni kwa mantiki hiyo nikasema hayo ya IP, shule etc. Usimdharau unayemyanganya mlo, kuwa makini utoapo tuhuma, wala siyo ujinga!!

Mimi simtishii wala sina ubavu, ila naeleza wazi kuwa kuna a price to be paid kwa kuanika mambo hadharani hasa kwa wale walioapa kuzitunza habari za siri.

I believe in freedom, responsibility and accountability na pia naamini kunyamaza siyo kuashiria ujinga au woga !

MENOSUGU

Nimekuelewa mkuu,

Wengine tulinyamaza kwa muda mrefu sasa tunaongea kama vichaa. Kuna wengine bado wanaogopa nguvu ya usalama wa Taifa hapo TZ na namna wanavyotisha watu.

Statement yako ilikuwa kali na nafurahi kuona umeielezea vyema nia yako. Asante kwa hili.

Msisitizo bado uko pale kuwa wale wasiopendezwa na yanayofanyika serikalini, waendelee tu kuyatoa hapa au wanitumie mimi na yote yatawekwa hapa. Kinachoendelea hapa ni documentation ya matukio ili baadaye marafiki zetu wakituuliza (namnukuu Nyerere -RIP) tuseme kuwa nia, sababu, na uwezo tunao wa kuwachapa viboko mafisadi na kuwatundika milingotini pale mnazi mmoja mbele ya hadhara yooote ya watanzania.
 
PCCB boss also touted over corruption claims

Edward Hosea on spot over corruption claims.
By Damas Kanyabwoya
The person and director general of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) is now on spot over involvement of grant allegations touted on the Internet.

The claims include ownership of a house in the United States of America and members his family�his wife and children who also live in affluence the US as well but with forged travel documents according to the touted graft allegations.
However, Edward Hosea has come out of the shell seeking to clear his name against corruption allegations that have posted on the Internet and other communication channels.

Speaking with The Citizen after the conclusion of the General Budget Support forum where he presented a paper on corruption, Mr Hosea said the allegations are meant to tarnish his image and weaken his resolve to fight the vice in the country.

"All that is said against me is rubbish. I challenge anyone to make investigations to see for themselves that not a single allegation holds water," he told The Citizen in an exclusive interview held on the sideline of the review meeting.

Apparently development partners and other stakeholders attending the GBS forum had also asked him to respond to the allegations, which he did.

"The debate was very hot in the meeting, but I managed to reply to all questions regarding the graft allegations. And they all were very satisfied by my explanation," he later said.

According to the allegations circulating on the 'Net', Mr Hosea owns a house in the United States and has sent his wife and two children to the US on forged documents. Also, according to the allegations, Barrick Gold Co. built Mr Hosea a multibillion-shilling house in Mbezi Beach and also gave him an undisclosed amount of money as an inducement to interfere in a court case. The allegations further say that Mr Hosea is in the payroll of one Dar es Salaam businessman, and that he forces those taken to court for corruption to use his law company.

Mr Hosea said it was not true that Barrick built him a multibillion-shilling house. "Go and see my house it is a very simple house. It is not a multibillion shilling house and it was not built by Barrick," he affirmed.

The PCCB chieftain said he does not own a house in the US, but his family is renting one, which they can afford since despite studying they are also working on a part-time basis.

"I and my family were living in the US. I was doing my doctorate studies before I was called back in the country to take this position. And renting a house in the US is not as expensive as some people might think," he said.

He said he does not have any business relationship with and does not receive any money from the Dar businessman. As regards his law company he said anyone can very easily go to the courts and check records to see if his company handles any corruption related cases.

Presenting a paper at the GBS meeting on government efforts to tackle corruption, Mr Hosea said currently PCCB is working on various allegations of corruption that were made by the opposition and the media.

He said PCCB is doing this despite the fact that some of the allegations "are intended to smear and portray a bad image on the government and mudslinging certain individuals for personal or political gains."

PCCB is working on those allegations guided by laws of Tanzania, he said listing the areas it is probing as the radar deal with BAe, the Bank of Tanzania twin towers scandal, Alex Stewart (Assayers), the Buzwagi contract, Mchuchuma mining deal and the Mwananchi Gold deal.

Others are Meremeta Gold Ltd, Tangold Ltd, Mwananchi Trust Co. Ltd, Chimela Co. Ltd, and VMB Holdings Co. Ltd.

Mr Hosea said since January this year 6088 pieces of information have been received and 133 corruption cases filed in court, with 26 convictions.
"Cases filed in the court by September 2007 have increased by 9.9 per cent against the year 2006, while in 2007 convictions rose by 13 per cent compared to the earlier period," he told the GBS meeting participants.

He said the government plans to hold a national debate that will factor in the review of the Elections Act and the Political Parties Act and its relation to the Prevention and Combating of Corruption Act, No. 11 of 2007 in order to regulate political parties'funding and elections expenditure.

The government also intends to enact the Whistleblowers Act. "A cabinet paper is being drafted by the ministry of state (President's Office) Good Governance," he said. A plan to establish the National Anti Corruption Forum has been completed, he further stated, noting that the minister for Good Governance will officially communicate it to stakeholders as part of NACSAP II implementation.

One of the challenges faced by PCCB was a lack of funds to facilitate investigations in grand corruption cases that are very expensive to investigate and tend to take time, he said. Another challenge for PCCB is engaging of the judiciary, political parties and Parliament on their role to prevent and curb corruption, particularly through awareness on provisions of the new PCCB Act, the director added.
By Damas Kanyabwoya
The person and director general of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) is now on spot over involvement of grant allegations touted on the Internet.

The claims include ownership of a house in the United States of America and members his family�his wife and children who also live in affluence the US as well but with forged travel documents according to the touted graft allegations.
However, Edward Hosea has come out of the shell seeking to clear his name against corruption allegations that have posted on the Internet and other communication channels.

Speaking with The Citizen after the conclusion of the General Budget Support forum where he presented a paper on corruption, Mr Hosea said the allegations are meant to tarnish his image and weaken his resolve to fight the vice in the country.

"All that is said against me is rubbish. I challenge anyone to make investigations to see for themselves that not a single allegation holds water," he told The Citizen in an exclusive interview held on the sideline of the review meeting.

Apparently development partners and other stakeholders attending the GBS forum had also asked him to respond to the allegations, which he did.

"The debate was very hot in the meeting, but I managed to reply to all questions regarding the graft allegations. And they all were very satisfied by my explanation," he later said.

According to the allegations circulating on the 'Net', Mr Hosea owns a house in the United States and has sent his wife and two children to the US on forged documents. Also, according to the allegations, Barrick Gold Co. built Mr Hosea a multibillion-shilling house in Mbezi Beach and also gave him an undisclosed amount of money as an inducement to interfere in a court case. The allegations further say that Mr Hosea is in the payroll of one Dar es Salaam businessman, and that he forces those taken to court for corruption to use his law company.

Mr Hosea said it was not true that Barrick built him a multibillion-shilling house. "Go and see my house it is a very simple house. It is not a multibillion shilling house and it was not built by Barrick," he affirmed.

The PCCB chieftain said he does not own a house in the US, but his family is renting one, which they can afford since despite studying they are also working on a part-time basis.

"I and my family were living in the US. I was doing my doctorate studies before I was called back in the country to take this position. And renting a house in the US is not as expensive as some people might think," he said.

He said he does not have any business relationship with and does not receive any money from the Dar businessman. As regards his law company he said anyone can very easily go to the courts and check records to see if his company handles any corruption related cases.

Presenting a paper at the GBS meeting on government efforts to tackle corruption, Mr Hosea said currently PCCB is working on various allegations of corruption that were made by the opposition and the media.

He said PCCB is doing this despite the fact that some of the allegations "are intended to smear and portray a bad image on the government and mudslinging certain individuals for personal or political gains."

PCCB is working on those allegations guided by laws of Tanzania, he said listing the areas it is probing as the radar deal with BAe, the Bank of Tanzania twin towers scandal, Alex Stewart (Assayers), the Buzwagi contract, Mchuchuma mining deal and the Mwananchi Gold deal.

Others are Meremeta Gold Ltd, Tangold Ltd, Mwananchi Trust Co. Ltd, Chimela Co. Ltd, and VMB Holdings Co. Ltd.

Mr Hosea said since January this year 6088 pieces of information have been received and 133 corruption cases filed in court, with 26 convictions.
"Cases filed in the court by September 2007 have increased by 9.9 per cent against the year 2006, while in 2007 convictions rose by 13 per cent compared to the earlier period," he told the GBS meeting participants.

He said the government plans to hold a national debate that will factor in the review of the Elections Act and the Political Parties Act and its relation to the Prevention and Combating of Corruption Act, No. 11 of 2007 in order to regulate political parties'funding and elections expenditure.

The government also intends to enact the Whistleblowers Act. "A cabinet paper is being drafted by the ministry of state (President's Office) Good Governance," he said. A plan to establish the National Anti Corruption Forum has been completed, he further stated, noting that the minister for Good Governance will officially communicate it to stakeholders as part of NACSAP II implementation.

One of the challenges faced by PCCB was a lack of funds to facilitate investigations in grand corruption cases that are very expensive to investigate and tend to take time, he said. Another challenge for PCCB is engaging of the judiciary, political parties and Parliament on their role to prevent and curb corruption, particularly through awareness on provisions of the new PCCB Act, the director added.
 
Menosugu

Chonde mheshimiwa, ukitishia watoa nyeti, sisi tutapata wapi nyeti za SIRI KALI? si ndio maana ya mtandao, kuna wakati unakujenga na wakati mwingine unakubomoa. vumilia nyakati zote mkuu.

SaharaVoice,

Kwanza kabisa ndugu yangu ngoja nikuukize swali hili "Je utamwamini yule aliyepewa nyeti azitunze asimpe mtu halafu akakumegea na kukwambia kuwe iwe siri kwa vile aliyempa hizo siri alimwambi ni siri na hatakiwi mtu mwigine ajue; ila kwa vile wewe ni mshikaji nakumegea ila iwe siri!" . Haya nimbie mwenzangu kuna siri hapo? Wewe siyo custodian wa siri za SIRIKALI na bado watamani kuzipata ili iwe nini? Siri za serikali ni za serikali sio za kila mtu! Hapa JF kuna watunza siri wa haya malumbano, na nawapa pongezi kwa vile pamoja na vitisho wameamua kufa nazo ! Sasa wewe kwa vile huyu aliyekabidhiwa siri na taifa kazileta hapa JF, na unataka asiambiwe madhara yake ili mardi tu sisi tunapata uhondo?? Hizo ni double-standards ambazo ndizo tunazipiga vita!

Pili, mkubwa hatishiwi nyau, mimi kinachonisumbua ni kuona huyu aliyeaapa kuficha siri anazimwaga pasipo husika, na effect yake eventually huenda yeye aka-suffer, anampa Hosea rungu la kummliza, na kujitetea kuwa the culprit kavunja miiko ya kazi. Mwanajeshi hatoi siri eti kwa vile alishindwa kuvumilia, yu get court marshaled brother; let us take our jobs seriously, we get carried away with sensationalism and we fall into the same trap we condemn the other guys falling into. Maanake hapo alipo sasa hivi tumbo moto kuwa huenda amejulikana, kwani si aliuamua kuyamwaga kwani hakujua matokeo yake? Sasa mie kueleza upande mwingine wa shillingi NASEMA VITISHO, let us wake up, this is a war and we better be ready to be the casualties! Swali are we ready?

Mie ninachosema ni kuwa asije akajuta baadaye kwa vile naamini kabisa wanamjua fika na sasa kwa kusema hilo utaniuliza wewe unajuaje; ndiyo maana nikasema usije ukamsikia padiri asema kilatini ukadhani amepagawa roho kumbe wewe ndiye hujui kilatini. Sasa kama kusema hivyo ni vitisho basi ina maana kuwa tunapotoa maamuzi hututafakari maotokeo yake jambo ambalo ndilo tatizo la watanzania wengi - ukiambiwa ukweli unaoweza kutokea kutokana na uamuzi wako -- oooh unatishiwa.

Huyu jamaa na Hosea nawaweka kapu moja; tofauti ni kuwa angalau Hosea anayafanya ofisini akiwa na wafanyakazi wenzake,ila huyu yeye anaytoa ofisini anayaleta hadharani halafu andhani kuwa ni mwadilifu. Kaz kazi za kutoa habari hadharani zina wenyewe, ndiyo maaana mimi kwa zaidi ya miaka mitatu nimekuwa mtazamaji JF hadi juzi niliposhindwa kuvumilia nikaamua kuingia ulingoni. Huenda na ndugu yangu pia alishindwa kuvumilia majidai ya Hosea akayamwaga hadaharani, lakini yeye alikula kiapo kwa hivyo standard yake ni ya juu kuliko mimi ambaye nimwemwapia mke wangu na bado naibia kwa siri wala siyo hadharani ! That's the point I want to drive home ! Kuna namna ya kushughulikia tuhuma kama hizo na huyu jamaa anazijua fika kwa vile kavundikwa na hata kapelewa kusoma mikoani na majuu!

MENOSUGU
 
Back
Top Bottom