NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Inafurahisha kuona kijana kama Paul Mashauri Rais wa East Africa speakers Bureau jinsi alivyoweza kulielewa tatizo la nchi yetu. Amefafanua kwa kina majukumu ya kila asasi ktk kumundaa mTanzania na binadam kwa ujumla ili awe mfanya kazi mzuri. Amesisitiza sana kudeliver, accountability na mengineyo.
Ispokua kitendo cha kukumbushwa kua muda wake wa presentation umemalizika kidogo kimetia dosari. Kwa hali yoyote anafaa kuhamasishwa na kusaidiwa ili awe kiongozi bora.
Ispokua kitendo cha kukumbushwa kua muda wake wa presentation umemalizika kidogo kimetia dosari. Kwa hali yoyote anafaa kuhamasishwa na kusaidiwa ili awe kiongozi bora.